Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Nimeshangaa sana wasanii bado wanapeleka burudani kwenye mji wa Mbeya uliojaa binadamu washamba kupindukia. Acheni kupeleka burudani kwa watu wasiostaarabika kama wakati ule mlivyofanya kwa...
27 Reactions
211 Replies
9K Views
Yaani tokea nianze kumsikia na kumfuatilia Yeye kila siku tu utamsikia anafanya ' reference ' kuwa alipokuwa na Mwanaume fulani mara huku na kule hadi najiuliza mpaka hivi sasa ameshawahi kutembea...
6 Reactions
86 Replies
25K Views
Yo! I don’t care what anybody says. Zari is the truth. How old is she now? 39/40/41? She makes 20-some year old girls look like dirt. What red-blooded man wouldn’t want to smash that...let alone...
7 Reactions
59 Replies
6K Views
Rumor has it , kuwa yale mahusiano yaliyokua na tashtiti mjini, kati ya mwanamuziki benpaul na mrembo kutoka kenya , Annerlisa ambaye katokea kwenye familia ya kitajiri , inasemekana mahusiano...
1 Reactions
48 Replies
8K Views
Msanii maarufu ambaye alitikisa Katika kampeni za CCM akiwa na nyimbo kadhaa za kukinadi chama, ameomba internet kuachiwa ili aweze kuachia wimbo wake mpya. Tulishaiweka CCM madarakani Sasa na...
12 Reactions
63 Replies
7K Views
Salute Jf. Am tell u brother unatumia gari zuri land cruiser V8 lakini series J200 yake yakizamani bro Hilo toleo lilianza kutumika 2007 hadi 2010. Embu jaribu kufanya upgrade basi unaonekana...
4 Reactions
62 Replies
11K Views
Hii iwe fundisho kwa wasanii wote,mmejinasibisha mko upande gani badala ya kuwa neutral basi waombeni kura wanachama wenzenu.
26 Reactions
200 Replies
19K Views
Mwanamitindo wa kimataifa kutoka Ununio amethibitisha ujio wa kituo chake kipya cha redio kitakachoenda kwa jina la Madam FM. Hayo ameyasema leo ktk kipindi cha Bongo movie roundtable pale...
10 Reactions
121 Replies
14K Views
Hello dear. i just think its time to move on, leave Wasafi. Fungua kampuni yako binafsi, Wasanii wawe Free kuja kwako,uwatengenezee nyimbo zao. Awe Diamond,Harmonize au msanii yeyote. Ila...
19 Reactions
105 Replies
12K Views
Wanaita 'star look' right? YES! ”Leo kwenye ustaa simo kisa sina mwonekano!” ~Msodoki. Sikuwahi kuwaza hili, japo hisia tu na kuona kila 'msanii' anahangaikia mwonekano fulani. Iwe ni msanii wa...
3 Reactions
11 Replies
1K Views
Huyu Msanii wanawake wanampendea nini? Naangalia hapa TV-E wanavyo mshangilia yani ukiacha sauti nzito sioni cha ajabu kutoka kwake lakini naona ndio msanii ambaye wanamshangilia sana...
4 Reactions
103 Replies
13K Views
Mbunge wa jimbo la Singida Magharibi, Elibariki Kingu, amekumbwa na kashfa ya kungonoka na wasichana watatu tofauti na mmoja kuzaa naye, mdada aliyezaa naye anaitwa Nicole Franklin na pia...
5 Reactions
290 Replies
81K Views
Producer wa muziki Bongo, S2kizzy alivyoingia ukumbini baada ya kutangazwa jaji mpya wa Bongo Star Search msimu wa 15.
4 Reactions
21 Replies
2K Views
Wimbo ulivuma kitambo nimemkumbuka huyu dada leo.
12 Reactions
94 Replies
12K Views
Binafsi nimekuwa mfuatiliaji wa nyimbo za bongo fleva haswa kwa upande wa R&B, na nimejiridhisha kwamba toka uanzishwaji wake ulipoanzia miaka zaidi ya 25 iliyopita, hadi leo hii hakuna msanii wa...
30 Reactions
87 Replies
7K Views
KUMBUKIZI YA WASANII MKOANI KIGOMA. Cliton Revocatus Chipando a.k.a Baba Levo wa kwanza kutoka kushoto enzi za ubarobaro wake, picha ya kwanza akiwa kijana mdogo kabisa, picha inayofuata akiwa...
3 Reactions
6 Replies
2K Views
LADY JAY DEE NDANI YA BONGO FLEVA HONOURS USIKU HUU... Kuanzia ‘siku hazigandi’ hadi ‘ndindindi’, kupita kwenye ‘wangu’ hadi ‘mambo matano’ hizo ni baadhi tu ya nyimbo kutoka kwenye collection...
3 Reactions
5 Replies
838 Views
Awali nitambue kipaji cha Braza K toka Kigoma, 1. Ndaro hana kipaji zaidi ya kufosi. Na hivi hamna shule mule basi unaboa Tu. 2. Hapa kati tena umejichanganya kwa kurumbembe ndo limekupoteza...
16 Reactions
34 Replies
3K Views
Mpenzi wa zamani wa TigerWoods, EricaHerman, amefungua kesi Mahakamani akitaka kulipwa Dola Milioni 30, baada ya kufukuzwa nyumbani walipoishi wote kwa takriban miaka 6. Erica amesema Woods na...
7 Reactions
51 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…