Msanii Harmonize (CCM) aomba Internet kuachiwa ili aachie wimbo mpya

Maumivu ya kichwa huanza polepole na hatimae yamehamia kwa misukule ya Lumumba!!

Hata misukule iliyojaa hapa JF inaona aibu kusema ukweli lakini na yenyewe inaumia , tena vibaya sana!!

Halafu wanatokea mazuzu wengine wanapinga tunaposema Jiwe ni Dikteta manake Madikteta yote yote duniani, katika dunia ya leo moja ya mambo ambayo hukimbilia kuyafanya ni ku-destablize social media kwa sababu adui yao mkuu ni sauti za watu!!

Mimi nasema hivi, NA BADO... Jinga sana nyie watu!!
 
Maumivu ya kichwa huanza polepole na hatimae yamehamia kwa misukule ya Lumumba!!

Hata misukule iliyojaa hapa JF inaona aibu kusema ukweli lakini na yenyewe inaumia , tena vibaya sana!!

Halafu wanatokea mazuzu wengine wanapinga tunaposema Jiwe ni Dikteta manake Madikteta yote yote duniani, katika dunia ya leo moja ya mambo ambayo hukimbilia kuyafanya ni ku-destablize social media kwa sababu adui yao mkuu ni sauti za watu!!

Mimi nasema hivi, NA BADO... Jinga sana nyie watu!!
Tunahitaji wazee kama nyie mkemee ushabiki maandazi.
Safi sana Mzee.
 
Msanii maarufu ambaye alitikisa Katika kampeni za CCM akiwa na nyimbo kadhaa za kukinadi chama, ameomba internet kuachiwa ili aweze kuachia wimbo wake mpya.

Tulishaiweka CCM madarakani Sasa na muda wa kuisoma namba wote kwa pamoja.View attachment 1617960
We mmakonde hizo Caption zako huko Istagram usiandike kwa herufi kubwa zinakua hazina mvuto
 
Back
Top Bottom