Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,450
- 12,316
Hii iwe fundisho kwa wasanii wote,mmejinasibisha mko upande gani badala ya kuwa neutral basi waombeni kura wanachama wenzenu.
Hajui huyo. Hiko kitu cha kawaida sana kwa mashabiki pinzani kutoa maneno fulanifulani ili kumtungisha kidogo au kumkatisha tamaa mpinzani.Trust me hao ni fan wa upande wa pili...mim siwez mchukia lets say Kiba kisa ccm...kuna maisha ni personal atajua yeye mwenyew msanii...
Na wasanii sio kama wanpenda...Ukileta kiburi jamaa wanakula sahani moja naww kuptia basata na tcra...Mda msanii anafungiwa Shakib upo zako geto umelala...tusifanye kama hatuijui hii bongo yetu...
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
HahahahahNaona Mayor Jacob anaendelea kuchombeza mdogo mdogo.View attachment 1597641
Ndio namshangaa... miaka yote awards wanazoshinda hao wasanii si wapo na ccm miaka yote...anataka kusema safar hii ndio wasanii wmekua na ccm? Na hapo mwanzo hawakuwah shinda hizo tuzo? Unajua ukiwa team flan unaeza sahau hata team yako nayo ni ccm hao haoHajui huyo. Hiko kitu cha kawaida sana kwa mashabiki pinzani kutoa maneno fulanifulani ili kumtungisha kidogo au kumkatisha tamaa mpinzani.
Labda ndio Mara yake ya kwanza kuona kitu kama hicho.
Kumbe mabao ya mkono ndo zao?Hahah atakubali mziki tu.View attachment 1597646
Tatizo wasanii hawa sio mara ya kwanza hii kua ccm na kuwania awards,,unataka kusema Diamond hapo mwanzo alishinda awards zote akiwa chadema?Akaombe kura kwa polepole..
Watu wanapiga spana sio mchezo
Yaani wasanii wakatae deals kwa sababu kuna watu watachukia? Mtawalisha?Hii iwe fundisho kwa wasanii wote,mmejinasibisha mko upande gani badala ya kuwa neutral...basi waombeni kura wanachama wenzenu.View attachment 1597596View attachment 1597599View attachment 1597601View attachment 1597598View attachment 1597598
Lakini kama ndo hivyo mbona tunalazimishana kupiga kura sababu sisi mbona hatukuwalazimisha wasiende ccm?Tatizo wasanii hawa sio mara ya kwanza hii kua ccm na kuwania awards,,unataka kusema Diamond hapo mwanzo alishinda awards zote akiwa chadema?
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
Akili hii unayo wewe tu, wenzio wanatofautisha itikadi na burudaniHatupaswi kuwapigia kura wasanii wa Tanzania wala kwenda kwenye matamasha yao.Ccm wametesa na kuua watu kwa miaka mitano lkn,wasanii wameshindwa kuutumia umaarufu wao vzr matokeo yake wanakubali kuinamishwa na ccm!
Nipo moja ya makundi hayo na ni muathirika wa mapungufu ya MagufuliWewe mtoto,wewe mtoto,wewe mtoto....nimekuita mara tatu itika.Kumbuka kupotea kwa Ben Saanane,Azory Gwanda na wengineo.Kumbuka kupigwa risasi kwa Tundu Lissu,kumbuka manyanyaso kwa watumishi wa umma na Wazee wastaafu,kumbuka manyanyaso kwa wakulima na wafanyabiashara.Nafahamu wewe ni mnufaika na uwepo wa ccm so,haupo kwenye kundi lolote kati ya hayo niliyoyataja lkn,Zuchu ameungana na watesi na wauaji wa jamii yake hastahili kutendewa wema hata kidogo!
Tatizo wasanii hawa sio mara ya kwanza hii kua ccm na kuwania awards,,unataka kusema Diamond hapo mwanzo alishinda awards zote akiwa chadema?
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app