Kumbe hizo tuzo anakusanya Diamond ni kwa mgongo wa Davido. Ina maana hakuna hata wimbo alioimba peke yake ambao umekuwa nominated.
Ngoja niachie hapa wazee wa data waanze kuzishusha kuona kama kweli anabebwa na Davido au lah.
Kama huna data potezea
kivipi sasa si ndo utiriririke..?Kumbe hizo tuzo anakusanya Diamond ni kwa mgongo wa Davido. Ina maana hakuna hata wimbo alioimba peke yake ambao umekuwa nominated.
Ngoja niachie hapa wazee wa data waanze kuzishusha kuona kama kweli anabebwa na Davido au lah.
Kama huna data potezea
we jamaa hauoni kwama Davido ndie wa kumshukuru dai?
mi sio shabiki wa dai ila hii post imeniudhi sana
yaani hamkosi sababu za kipuuzi!
Duu madame amekasirikaWe unabebwa na nani? Ma. ku wewe. Umeniboa Sana. Kijana was watu kutoka kwenye familia ya shida kajipigaaaa weeee kapata walau hela ya pilau na mboga 10 mezani..sasa amepewa japo tuzo kuonesha kwamba jamii ya kimataifa imetambua juhudi zake wewe unaitolea sababu. Utakufa kwa donge moyoni kisa wivu
Duu madame amekasirika
we jamaa hauoni kwama Davido ndie wa kumshukuru dai?
mi sio shabiki wa dai ila hii post imeniudhi sana
yaani hamkosi sababu za kipuuzi!
hv nyie mabwege hamuez nenda choon bila kumtaja na kumuwaza diamond 2shachoka mje na vitu vingne sasa duu cha kushangaza mnamwongelea vibaya mtu mzma na akili zako badala uwe na wivu wa maendeleo mwenzako anazid kushine ww uumize kichwa utatoka vp umebaki kumdis shame on you