Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Baada ya kujulikana kwa wengi kuwa hana mtoto na madai ya kutokuwa na uwezo wa kuzaa , mwigizaji wa kitambo Bongo , Blandina William Chagula ‘ Johari ’ ameshangaza baada ya siri kuvuja kuwa...
3 Reactions
138 Replies
25K Views
The Tanzanian music superster as he calls himself the Rolls royce musician from East Africa Diamond platnumz has continues prooving that fame and love are seen and not rumored around, Recently...
7 Reactions
26 Replies
5K Views
Mbunifu wa mavazi toka Marekani anaeitwa Roper amelalamika sana kupitia Instagram kwamba Diamond kamuibia design yake... roper anayewavalisha wasanii wakubwa Marekani kama August Alsina, Future...
4 Reactions
109 Replies
23K Views
Mjengo anaoishi mkali wa Bongo Fleva anayetamba na ngoma yake ya Chekecha Cheketua , Ali Saleh Kiba uliopo Kunduchi- Mbezi Beach jijini Dar , unadaiwa kuzua utata mkubwa hivyo kulilazimu kuchimba...
0 Reactions
112 Replies
20K Views
MCHUMBA wa Mbongo Fleva , Nasibu Abdul ‘ Diamond ’ , Zarina Hassan ‘ Zari ’ amedaiwa kuangua kilio baada ya kuvuja kwa picha yake na mfanyabiashara maarufu jijini Dar, Mzamili Katunzi ambayo...
1 Reactions
43 Replies
16K Views
Watu wanampinga sana ndugu Januay Makamba (majority vijana wale wenye roho za kwa nini)...juzi hapa ndani ya white house January kapiga story na Barack Obama kuliko hata Obama alivyoongea na...
0 Reactions
577 Replies
69K Views
Staa wa Bongo Movies, Kajala Masanja amesema hadhani kama ni rahisi kuwa karibu tena na staa mwenzake Wema Sepetu baada ya kugombana. Kajala amekiambia kipindi cha The Sporah Show hivi karibuni...
0 Reactions
70 Replies
15K Views
Ama kweli kuolewa kunazidi kuwa kama fashion. Mnamo mwaka 2012 Aunt Ezekiel aliolewa kwa mbwembwe zote na kijana Sunday Del Monte na baadae kwenda kuishia nae huko Dubai. Sunday wakati huo...
5 Reactions
258 Replies
48K Views
Sexy lady anayefanya poa na ngoma yake ya Leo Leo, Jokate Mwegelo ' Kidoti ' , amemlipua aliyewahi kuwa mwandani wake , Nasibu Abdul ' Diamond Platnumz ' ambaye hivi karibuni alimwita...
1 Reactions
46 Replies
10K Views
wakuu bongo kuna majembe ma 4 tu katika bongo fleva nayo ni K4REAL, JUMA NATURE,JIDE KOMANDOO NA SUGU,haya majembe ni nouma hatari yanajulikana usipimie yaani jamaa ukamua mbaya mbovu jukwaani. je...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Star wetu akiwa na gari lake jipya...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
hivi wanafanya makusudi au..
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Leo kijana wetu mpendwa, kijana anayeipeperusha vyema bendera ya Tanzania katika Tasnia ya muziki katua katika jiji la masamaki yale matamu matamu, Mwanza. Kinachoonekana hapa chini kwenye picha...
1 Reactions
142 Replies
28K Views
Watu wengi ambao wamejikuta wakipata watoto wengi kwa wanawake tofauti, wanatafsiriwa tofauti kwenye jamii. Wengine wanaonekana siyo makini katika suala la kujilinda kwa maana ya matumizi ya...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Wengine tuko mkoa, zimeendaje nimesikia tu watu wanasema Millard, Salim Kikeke, Ladyjdee, Alikiba, Wema wamekinukisha vipi uko ni kweli? Mwanamuziki wa kiume anaependwa - ALI SALEHE KIBA...
0 Reactions
356 Replies
42K Views
Katika wasanii wote waliopata tuzo, hakuna ata mtu mmoja aliyenyanyua kinywa chake na kuthubutu kulalamika kuhusu tuzo ya lady jaydee , unadhani ni kwa nini lady jaydee anapendwa? Je ana scandal...
1 Reactions
21 Replies
4K Views
Kweli show ya Mwanza ya Diamond imewapa watu wengi homa! ------------------ MASSANJA MKANDAMIZAJI LE-MUTUZ JENNISTA BLOG LINAH SANGA DIDA :-
1 Reactions
141 Replies
18K Views
Bwana mdogo Huyu alipokuwa anahojiwa na mtangazaji wa BBC na kuulizwa swali kama ameshajua Jinsia ha mtoto kwa kushangaza kabisa alijibu yes tumeshapima DNA na kujua mtoto wa ni wa kike.ushauri...
0 Reactions
83 Replies
16K Views
  • Closed
Bridal shower ilifanyika wiki iliyipita nyumbani kwa Klyn na Mengi… Mambo ya high tea…. Mambo ya kwa queen hayooo Mashosti ndo kama hivyo walinogesha...
3 Reactions
485 Replies
118K Views
Huwa nasikia kichefu chefu na kutaka kutapika nikipitia page za hawa jamaa Instagram....Hebu pitieni mpate angalau motivation jamani, lakini onyo nenda na limao usitapike bure.... Jembe ndo...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…