Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Aisee haya maisha ya mastaz ni shida,mtu unavaa fake ili ionekane upo juu,sasa hii account ya Insta nadhani ya huko majuu,ilimwumbua jamaa mpaka akadelete account akaja na mpya.
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Jana nilistuka kumuona aliyekua mtangazaji wa Radio One, Amina Mollel kwenye kipindi cha Malumbano ya hoja kinachoendeshwa na ITV. Nakumbuka kwa mara ya mwisho alikua TBC na amekuwa haonekani siku...
0 Reactions
15 Replies
7K Views
Nigerians think kwamba matokeo yamechakachuliwa, wanahisi South Africans na nchi zote za SADC zimeungana kuwa toa kwenye entertainment Industry. Tokea tuzo za Channel O last weekend na leo BBA...
12 Reactions
552 Replies
76K Views
Wasifu wa Wema Sepetu Miss Tanzania 2006 Wema Abraham Sepetu (amezaliwa 28 Septemba 1988) alikuwa Mrembo wa Tanzania kwa mwaka wa 2006. Miss Tanzania 2006 Wema Sepetu(Katikati) Maisha ya...
1 Reactions
238 Replies
29K Views
Kama Siti alivua taji la Miss Tanzania baada ya kuonekana kuna udanganyifu kwenye wasifu wake . Na wewe tuzo ya utunzi bora mrudishie Barnaba, tuzo ya utumbuizaji bora mpelekee Diamond. Hizo...
5 Reactions
120 Replies
11K Views
Kiukweli diamond yupo level nyingine kabisaaaaaa.... Leo unakuta diamond unamwita kwenye show mil 40 anakataa labda ujipange kuanzia mil 50/60 wakati hakuna msanii Tanzania anaelipwa hata nusu...
6 Reactions
68 Replies
20K Views
Latest news ni kwamba majina ya wasanii watakaowania tuzo za MTV Africa Music Awards 2015 yametangazwa jana June 11. Miongoni mwao ni watabe wa Bongo Diamond Platnumz na dada mwenye swagga za...
0 Reactions
166 Replies
19K Views
SALAMU nyingi zikufikie mrembo usiyechuja umaarufu tangu mwaka 2006, Wema Isaac Sepetu ‘Madam' vipi uko poa? Mishemishe zinakwendaje? Ukitaka kujua afya yangu, mimi namshukuru Mungu kwani...
1 Reactions
57 Replies
6K Views
Akizungumza katika kipindi cha jioni cha E-FM kinachoongozwa na Gadner G. Habash mama mzazi na kaka wa damu wa mwanamuziki fundi na bora wa kizazi cha kati cha watanzania Ramadhani Masanja a.k.a...
2 Reactions
38 Replies
7K Views
  • Closed
Hii kali soma ka screenshot chini.... Davido msanii wa Nigeria, baada ya kuchoshwa na kufatiliwa na Tanzanians ambao hawataki mTanzania mwenzetu Diamond Platnumz ashinde kura kisa kumsaidia wema...
1 Reactions
160 Replies
12K Views
Hafla ya utoaji wa Tuzo za Muziki za Tanzania (KTMA) 2015 iliyofanyika jijini Dar es Salaam juzi usiku iliwavutia wengi. Mamia walihudhuria tukio hilo na mamilioni wakashuhudia yanayojiri...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Haya sasaaa nikireport kutoka insta ni mim Dinazarde Je Hua Kuna makalio ya ukubwan Tu???
13 Reactions
202 Replies
25K Views
0 Reactions
31 Replies
17K Views
Huyu binti amewashangaza wengi hasa ndugu zake kwa kitendo chake cha kukataa ushauri wa kwenda shule. Mtoto huyu mpemba mwenye matusi, anahusudisha uhuni tu anajisahau kuwa ujana una mwisho, hivyo...
1 Reactions
63 Replies
24K Views
Aisee natamani kumuoa huyu mdada, maana daah ananipagawisha sana. Nijuzeni mawasiliano yake na taratibu za posa kwa kabila la Wapare. Nimejipanga na nina mvuto najua akiniona tu atanikubali
0 Reactions
51 Replies
10K Views
Kwa maoni yangu Kiba alistahili tunzo zile,sehemu nadhani imeibua mjadala mzito ni kwenye tunzo ya mtumbuizaji bora tu. Sasa ni vema hoja na mjadala ujikite kwenye category hiyo ili kuepusha...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Happy 60th Birthday to Denzel Hayes Washington, Jr.!!! Actor, producer and director. Washington has received two Golden Globe awards, a Tony Award and two Academy Awards: Best Supporting Actor...
8 Reactions
44 Replies
7K Views
Bruce Jenner really gave me the inner strength to admit to my kids, my family, my friends, my fans and ultimately to myself that I am gay.I've known I was gay since I was a young boy that I was...
0 Reactions
29 Replies
5K Views
Muigizaji mkongwe na maarufu nchini, Nuru nassoro, maarufu kama Norah, ivi karibuni amejikumbushia enzi zake alivyokuwa aking'ara kwenye magazeti na vyombo mbali mbali vya habar apa nchini...
0 Reactions
145 Replies
30K Views
Bruce Jenner ambaye ni baba wa The Kardashian girls, amekua akitamani kuwa na jinsia ya kike kwa siku nyingi, hatimae kafanikiwa na kuwa rasmi mwanamke tena mwenye mvuto, ambaye kajitambulisha...
0 Reactions
71 Replies
14K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…