Mdogo wangu Kalala.
Umejipatia mashabiki wengi sana kutokana na kipaji chako cha kuimba. Uko katika band ambayo inasifika na yenye jina kubwa la Twanga pepeta. Kinachonishangaza hivi ni nini...
nawauliza swali dogo tuu kwa leo, mbona video queen tunaowaona katika video zenu ni wazuri balaa kuliko mademu zenu na pia mara ingine hawafanani na umri wenu (agemates)
Nimeona tena mavazi ya Rais wa Zambia wakati wa chakula cha usiku alichomuandalia mgeni wake Uhuru Kenyatta(Rais wa Kenya) ktk mitandao mbalimbali.
Ni ubunifu wa...
Imekua ni vigumu sana kwa watu wenye majina makubwa kama diamond kutambua mchango wa watu flani waliomsaidia kufika level flan ya maendeleo...
Personally nimependa sana alichokipost huyu kijana...
Mwigizaji Bongo, Esha Buheti, licha ya kuwa ndani ya ndoa, amekiri kuchepuka na mcheza mpira mmoja ambaye hakutaka kuweka wazi jina lake.
Akizungumza na na gazeti la Ijumaa, Esha aliweka wazi...
KING wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul Diamond Platnumz ametengeneza kichwa cha habari nchini Nigeria baada ya kufunguka kuwa anampenda vibaya staa wa filamu nchini humo, Omotola Jalade Ekeinde...
Hii ni Baada ya washabiki Wa mwanamuziki Diamond Platnumz kusambaza uongo kwamba msaanii Wa Nigeria Davido hajapendezwa na mchango Wa kura kutoka Tanzania.
Pia msanii huyu ameonesha mapenzi kwa...
Desmond Elliot (born Desmond Oluwashola Elliot; 4 February 1974) is a Nigerian actor and director, and politician[3][4] who has starred in over two hundred films and a number of television shows...
Mbunge wa kawe halima mdee amesema hana mpango wa kuolewa ila anampango wa kutafuta mwanaume wa kuzaaye mtoto kwani hiyo ndio zawadi pekee atakayoiachaduniani. Alipoulizwa anataka mwanaume wa...
Kwenye moja ya magazeti ya udaku ya leo nimeona habari ya Lulu kumwaga million 1 na laki 4 kwenye birthday ya Kajala, halaf wengine wanamwita yeye tajiri mtoto. Jamani kumwaga 1.4 million tshs ndo...
Katika Kipindi cha TV cha Wema Sepetu Kiitwacho In My Shoes Wema Usiku huu wa Leo Amedai kuwa hawezi Kumsapoti Mwanamuziki Diamond kwenye Tuzo za Mtv Awards kwa vile Kufanya Hivyo ataonekana...
Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi aka Sugu amemshtaki aliyewahi kuwa mchumba wake Faiza Ally na aliyezaa naye mtoto kwa madai kuwa mwanamke huyo hana maadili na anahofia atamharibu mtoto wao...
...Wa kwanza kuuza tape mwenyewe, wa kwanza kufanya biashara na Wadosi, wa kwanza kwenda Ulaya kufanya show, 98 jukwaa moja na Oliver Mutukuz Sweden, wa kwanza kuleta wanamuziki toka America Lost...
Mama wa EGYPT kaja na list mpya sasa iwahini muiweke hapa kabla hao waliotajwa hawajamwakia awaondoe from her blog
10 MOST INFLUENTIAL TANZANIAN WOMEN FOR THE YR 2011......
Kwangu binafsi ni mtangazaji niliyekuwa namkubali mno kipindi hicho alipokuwa redio Tanzania Dar es salaam na sasa ni TBC.
Alikuwa akinivutia mno hasa wakati wa matangazo ya mpira wa miguu aka...
Mimi ni mdau mkubwaa sana wa mziki sana. Huwa napenda kufuatilia kila mwanamziki awe mdogo au awe mkubwa.
Tatizo lina kujaa palee baadhi ya wanamuziki wanapotoa music video utasikia anaenda ku...
DMX is getting within shooting distance of a deck of cards populated by his mug shots, because he was arrested again Friday night.
Law enforcement sources tell TMZ, the rapper was en route to...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.