Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Leo mchana kwenye kipindi cha TAKE ONE cha Clouds tv nimemuona na kumsikia Diamond platnumz akisema kwamba mwaka 2011 mwishoni akaunti yake ilikua na million 100, sikatai coz kweli dogo...
2 Reactions
183 Replies
64K Views
Celebrity couple Diamond Platnumz and Zari were in Zanzibar to celebrate their Valentines day since Zari had never been there. The two have been dating for a couple of months and she is now...
3 Reactions
72 Replies
34K Views
Msanii Naseeb Abdul a.k.a Diamond akiwa chini ya ulinzi wa mashabiki uwanja wa Samora Iringa baada ya kushindwa kufanya show katika uwanja huo. Msanii huyo na wenzake wamekamatwa na polisi Iringa...
0 Reactions
35 Replies
20K Views
Tujuzane ile sinema fake imeishia wapi ilitambulishwa tarehe 02 mtu kujitangazia kavamiwa na majambazi 20 (Sasa sijui hii idadi yote walikua wanafanya maandamano au laa coz hata bank haijawahi...
6 Reactions
79 Replies
10K Views
STAA wa filamu Bongo, Wema Sepetu aka mama ubaya ametaja sababu zinazomfanya aingie katika mgogoro na mama yake mzazi , Miriam Sepetu kuwa ni suala la uchumba wake na Nasibu Abdul ' Diamond...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Imevuja! Kuna madai kwamba staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz' ametupiwa jini lakini likamkosa na kumpata mama yake mzazi, Sanura Kassim ‘Sandra' kisha kumsababishia...
5 Reactions
105 Replies
25K Views
Kijana wetu anatuwakilisha vyema kwenye jumba la BBA kwenye Disco Night. Wale wenye kuona BBA wa-tune 198 wamuone kijana wetu anavyofanya maajabu. Alli Kiba atasubiri sana kwa mkali huyu mpaka...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Msanii Diamond Platnumz amepost moja ya nyumba yake akisema hiyo ni moja ya kumi ya nyumba alizonazo, huku akisema ina vitu kama gym, jaccuzi,swimming pool, studio, pooltable, lounge etc
8 Reactions
519 Replies
105K Views
Benki ya CRDB imepanga kumjengea ukuta wa fensi wa nyumba ya Daimond Platnumz ulioangushwa na mvua zinazoendelea kunyesha nchini. CRDB wamesema hayo kuwa watamjengea ukuta huo kwa kuwa Dai...
0 Reactions
35 Replies
9K Views
Wakuu, Tujuzane kuna nini nyuma ya pazia kuhusu Diamond kwenda kwa Raisi Ikulu mara kwa mara. Mbona sijaona Mwanamuziki mwingine akienda Magogoni, au huwa anatumwa kazi maalum?. Karibuni tujuzane..
0 Reactions
118 Replies
14K Views
. Wakati tunajiandaa kuona mfilipino anavyochakzwa hii leo... Hawa ni baadhi ya mastaa wa bongo ambao ni mashabiki wa The money team #TMT
0 Reactions
1 Replies
3K Views
KWAKO mtoto mzuri, Beutiful Onyinye, Wema Sepetu !'Madam'. Vipi uko poa? Ukitaka kujua afya yangu, mimi ni mzima namshukuru Mungu, hofu na mashaka ni kwako wewe uliye mbali na upeo wa maisha...
5 Reactions
48 Replies
11K Views
Huyu mtoto anaitwa Mziwanda ni ndorobo wa hatari,Jamaa katoka hapa na demu wake shilole kwenda kufanya show Ubeligiji cha kushangaza kafika kule kazi ni kupiga picha yeye na jukwaa tu(bila...
3 Reactions
37 Replies
6K Views
Tangu Miaka 15 baada ya kifo cha West Coast rapper Tupac Shakur,Mpelelezi wa zamani wa LAPD,Greg Kading amemtaja Sean 'diddy' Combs kwenye kitabu chake cha Murder Rap,kuwa alihusika na...
0 Reactions
72 Replies
39K Views
Kijana Jack Pemba amezua kizaazaa uwanja wa ndege Dar. Hii ni baada yakuanza kuvamia meza za watu na kujitangaza kuwa amerudi Dar. Huku akiongea kwa sauti kubwa hadi bar yote ya Flamingo...
3 Reactions
29 Replies
9K Views
Msanii wa ‘ long time ’ kwenye anga la filamu Bongo , Vincent Kigosi ‘ Ray ’ amefungukia sababu za kutooa licha ya kwamba umri umekwenda . Akizungumza na Ijumaa katika mahojiano maalum , Ray...
0 Reactions
38 Replies
8K Views
Nimeona leo watu wakimtakia happy birthday Faraja kwa kutimiza miaka 30 lakini mbona nahisi ni michache sana kwa mtu aliekuwa Miss Tanzania 2004? Isijekuwa kajipunguzia miaka kama wanavyofanya...
0 Reactions
20 Replies
9K Views
Mashosti wa kufa na kuzikana, Wema Isaac Sepetu na Aunt Ezekiel Grayson wanadaiwa kugombana baada ya Aunt ' kuposti ' kwenye ukurasa wake wa Instagram tangazo lililohusiana na pati ya...
1 Reactions
91 Replies
17K Views
An Indian court has sentenced Bollywood star Salman Khan to five years in jail for killing a homeless man in a 2002 hit-and-run driving incident in Mumbai. The man was among five people who...
1 Reactions
22 Replies
4K Views
Siku chache baada ya ndoa ya Legendary wa Bongo Fleva, Judith Wambura Mbibo ' Jide ' na mtangazaji mahiri nchini , Gardner Gabriel Habash ' G Habash' kudaiwa kuvunjika, gumzo limeibuka...
0 Reactions
121 Replies
18K Views
Back
Top Bottom