Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

U Heard leo Soudy Brown kampata msichana ambae ametoka Mkoani kuja Dar kwa ajili ya kukutana na Aslay wa Yamoto Band.. Msichana huyo anadai ametoka Geita kuja Dar kukutana na Aslay. Dada...
1 Reactions
11 Replies
8K Views
Muigizaji wa filamu, Aunty Ezekiel ambaye hivi karibuni alijifungua mtoto wa kike, amedai kuwa licha ya kuzaa nje ya ndoa, bado anaamini ndoa yake ipo pale pale. Akizungumza na Bongo5 leo...
0 Reactions
63 Replies
22K Views
Hawa watu wa bongo fleva na bongo movie tamati yao ya kujitamba na kuitaja Ikulu ovyo ovyo imewadia rasmi. Rais JK ndio rais pekee aliyeirahisisha ikulu na watu wakaanza kuiona ni sehemu ya...
4 Reactions
31 Replies
5K Views
Kwa uchunguzi uliofanyika kwa muda wa miezi miwili imegundulika kuwa TZ inaongoza kwa idadi kubwa ya macelebrity kwakua asilimia 90 ya watanzania ni macelebrity na hii inatokana na umaarufu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Moja ya wasani maarufu duniani na nyota wa miondoko ya hiphop, rapa 50 Cent, aomba sheria ya kufilisika yenye kifungu cha 11 imlinde na mali zake huko Marekani. Hoja hiyo ilikuja siku chache...
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Umofia kwenu wana JF, Ukisikiliza wimbo wa Qchief I'm a dreamer, kuna mstari unasema "Tangu mdogo Nilikuwa na Ndoto kuishi kitajiri Kama John Kaboko hata mbuyu ulianza kama mchicha Nina imani...
2 Reactions
11 Replies
6K Views
Vazi la suti ni vazi linaloheshimika sana duniani. Ni vazi pekee ambalo linavaliwa kwenye matukio makubwa na mtu kuonekana nadhifu. Leo nataka tuone mastaa sita wa hapa Bongo wanaoongoza kwa...
2 Reactions
56 Replies
25K Views
Huyu dada jamani simtaji ila huwa namuona karibu kila siku ya Alhamisi katika kile kipindi,kwakweli anavutia sana. Nimalizie kwa kusema tu,nawe camera man kwa kummulika tu huyu dada haujambo...
1 Reactions
161 Replies
54K Views
1. Ni yeye ndiye aliyemfanya TID aanze kuimba. TID alikuwa rapper na mshereheshaji (MC). Girlfriend wa CBM Crew ndio wimbo waa kwanza kwa TID kuingia studio. “Wakati TID ana host show nakumbuka...
1 Reactions
40 Replies
12K Views
HII KALI! Mdau na promota wa muziki wa bongo fleva aliyejichimbia kwa muda mrefu, ameibuka na kali nyingine, safari hii ni kwenye uwanja wa siasa. Kupitia ukurasa wake wa Facebook na Instagram...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Alikiba anashangazwa na jinsi watanzania na mastaa wenzake wanavyoupa uzito mdogo ubalozi wake wa shirika la Wild Aid licha ya kujumuika na mastaa wakubwa duniani kwenye kampeni ya kuzuia ujangili...
2 Reactions
95 Replies
13K Views
Ali Kiba na Jokate, Diamond na Zari,Jux na V money wadau endelea na list
0 Reactions
79 Replies
18K Views
Habari nyingi kuhusu wasanii(nawaita wasanii japo sio wasanii) wetu wa filamu na muziki ni kuhusu ngono tu! hakuna misuguano ya kikazi au uboreshaji wa kazi zao bali ni tuhuma tu za kunyang'anyana...
0 Reactions
34 Replies
6K Views
https://www.youtube.com/watch?v=Ovtb1pO9Cmw https://www.youtube.com/watch?v=QhRS6gpKV-c https://www.youtube.com/watch?v=XDGcG2K3u6o https://www.youtube.com/watch?v=cIGopSOPmEk...
1 Reactions
14 Replies
4K Views
hili penzi mnalionaje?
0 Reactions
15 Replies
11K Views
Kuna watu wana bahati zao duniani, ila huyu kazidisha, kila siku bidada anazidi Ku shine tu, Mara katoka kwenye magazine kubwa uko USA, kashakuwa nominated kwenye awards kubwa duniani na zenye...
4 Reactions
63 Replies
16K Views
Salaam Wadau... Nimevutiwa na Habari hii ya Mh Lazaro nje ya Uwanja wa Siasa... 1. What bonded you two initially when you met and what is still binding you as man and wife? Fa: I felt a deep...
3 Reactions
20 Replies
6K Views
Sote tunajua Mohamed Dewji amitisha mkutano wa hadhara kuwajulisha wananchi wake mambo aliowafanyia katika kipindi cha uongozi wake. Kwakujua sasa anahitaji attension kubwa amemualika Diamond...
7 Reactions
164 Replies
21K Views
Kama ilivyoripotiwa hivi karibuni kuhusu Msanii wa Marekani, Bill Cosby, amekumbwa na kashfa nyingi sana za ubakaji zilizoibuliwa hivi sasa, wengi waliobakwa wanasema walifanyiwa hivyo miaka mingi...
3 Reactions
14 Replies
3K Views
kwa mara kadhaa nakuwa nahuzunishwa sana na wasanii wa mziki hasa kwa instagram yaan unakuta msanii amepost kitu umelike na kucomment na umemtag kwa kumuuliza kitu lakin hakujibu nimeshanga...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Back
Top Bottom