Maneno ya davido baada ya jina lake kutokutajwa kuwania tuzo yoyote Mtv mzamilmik: Maneno ya davido baada ya jina lake kutokutajwa kuwania tuzo yoyote Mtv
#SukaSuka ni jukwaa la Times FM ambalo linavumbua wakali wa kusuka Mtaa Kwa Mtaa kila wiki mara 3. Kwa miezi miwili tumekua tukiingia kitaani kusaka wakali ambao wanaweza kusuka mitindo yote kwa...
Hii inaonyesha kuwa mziki wetu wa bongo flava unazidi kupaa maana kwa mwaka huu wataperform wasanii wawili kutoka Bongo, Diamond na King Kiba.
My take:
Nakuomba King Kiba usiende kumuaibisha dogo...
Habari zilizopo ni kwamba siku ya Jumatano wiki hii Joh makini anakuwa msanii wa kwanza wa Hip Hop kuingia WCB na kuwa chini ya Diamond Platinumz.
Kwa mtazamo wangu naona si kitu kibaya, ni jambo...
Wadau nimejaribu kuziangalia picha za msanii Baghdad zimenichanganya sana. Nashindwa kuamini kama ni mtu mmoja au sio. Swali langu ni kuwa, je ni kweli inawezekana mtu kubadilika namna hiyo kweli...
Habari zenu wakuu,
Asee sikuwahi kudhani kwamba kuna wanawake wenye kipaji cha comedy nimeona kwa Katarina yaani huyu Dada ni shidaa kila nikiangalia vipande vyake vya video nacheka mbavu sina...
Msanii wa bongo fleva Timbulo amekasirishwa sana na wasanii wa kike na kusema wote hawana akili, hii ni baada ya kumpigia simu vanessa mdee na kutaka kuomba kolabo na Vanessa akasema hamjui
Kama...
Haya sasa kwa wale ambao hamkubahatika kuziona picha za b' day ya Zari iliyofanyika huko ZNZ hizi hapa ndio picha zenyewe
Haya sasa wabongo kazi yao kufikiria mtaachana lini...
Anaweza kuwa ndiye video queen hot&sexy zaidi Bongo na ingawa ameshiriki on two videos pekee anabaki kuwa V,queen mwenye jina kubwa zaidi. Siku za karibuni amekuwa akimake headlines on social...
Mtandao mmoja huko Ujerumani umeripoti kuwa bilionea namba moja Afrika Aliko Dangote amefariki ghafla kwa kuugua kwa muda mfupi
Hata hivyo bilionea huyo alikanusha madai hayo kupitia Twitter na...
Aisee ama kweli nabii hakubaliki kwao,daah waliotunga huu msemo walikuwa ma generous sana kwa kweli
Licha Rayvan na Raj boy Harmonize kuonekana sio lulu kwa kiasi hicho hapa nchini lakini...
Wana jamvi salaam,
Kwako mpendwa msanii wa kimataifa ambaye tunajivunia kutolewa kimasomaso katika kila unacho gusa iwe tunzo na uwakilishi wako pande zote za ulimwengu.
Diamond adui yako mkubwa...
Uongozi wa muziki nchini marekani unao muongoza msanii wa R&B Chris Brown umetoa taarifa kwa uongozi wa muziki Tanzania unao muongoza msanii kutoka Tanzania ALI KIBA msanii ambae yupo chini ya...
Baada ya Diva kudai kuwa hamfahamu Ruby, Ruby akasema anamuona Diva kama mtoto hivyo basi hawezi kubishana na mtoto
"Naona ni ujinga, i dont want to talk about it ,everybody knows me, so nahisi...
Staa wa filamu, Aunt Ezekiel aliye katika mapenzi na Dansa Moses Iyobo, ameamua kukimbilia gym kwa ajili ya kupunguza unene unaomuandama ili kulinusuru penzi lake.
Akizungumza na chanzo cha...
hawa jamaa wameamua kuanza kuonyesha movie(maigizo) yao kwenye tv then ndo dvd mtaani.kwenye comments JB anadanganya eti watu wa Tv(SIBUKA)wamesharudisha gharama za movie kwa kuwalipa..kwendraaa...
Mwanamama mzazi mwenza wa mheshimiwa Joseph Mbilinyi Sugu atangaza kutafuta mwanaume ili ampe ujauzito na hatimaye apate mtoto wa kiume kwa kuwa ana nguvu za kutosha za kulea
Haya sasa kazi...
Mtangazaji wa kipindi cha Jahazi ambaye ukimpa topic hawezi kukosa cha kuchangia, jana alishangwaza na baadhi ya wanafunzi kufeli mitihani yao huku wengine wakichora makatuni kwenye mitihani yao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.