Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Maneno ya davido baada ya jina lake kutokutajwa kuwania tuzo yoyote Mtv mzamilmik: Maneno ya davido baada ya jina lake kutokutajwa kuwania tuzo yoyote Mtv
0 Reactions
0 Replies
822 Views
#SukaSuka ni jukwaa la Times FM ambalo linavumbua wakali wa kusuka Mtaa Kwa Mtaa kila wiki mara 3. Kwa miezi miwili tumekua tukiingia kitaani kusaka wakali ambao wanaweza kusuka mitindo yote kwa...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Ile Kesi ya Lulu kuhusika na kifo cha Kanumba imefikia wapi? Isije ikawa imeisha mi tu ndio sina habari.
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Hii inaonyesha kuwa mziki wetu wa bongo flava unazidi kupaa maana kwa mwaka huu wataperform wasanii wawili kutoka Bongo, Diamond na King Kiba. My take: Nakuomba King Kiba usiende kumuaibisha dogo...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari zilizopo ni kwamba siku ya Jumatano wiki hii Joh makini anakuwa msanii wa kwanza wa Hip Hop kuingia WCB na kuwa chini ya Diamond Platinumz. Kwa mtazamo wangu naona si kitu kibaya, ni jambo...
2 Reactions
72 Replies
11K Views
Huyu dogo aaliyesumbua kwenye bongo movie mwishoni mwa miaka ya 2000 yupo wapi sasa maana hasikiki tena
1 Reactions
15 Replies
4K Views
Wadau nimejaribu kuziangalia picha za msanii Baghdad zimenichanganya sana. Nashindwa kuamini kama ni mtu mmoja au sio. Swali langu ni kuwa, je ni kweli inawezekana mtu kubadilika namna hiyo kweli...
0 Reactions
33 Replies
14K Views
Habari zenu wakuu, Asee sikuwahi kudhani kwamba kuna wanawake wenye kipaji cha comedy nimeona kwa Katarina yaani huyu Dada ni shidaa kila nikiangalia vipande vyake vya video nacheka mbavu sina...
11 Reactions
147 Replies
34K Views
Msanii wa bongo fleva Timbulo amekasirishwa sana na wasanii wa kike na kusema wote hawana akili, hii ni baada ya kumpigia simu vanessa mdee na kutaka kuomba kolabo na Vanessa akasema hamjui Kama...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Haya sasa kwa wale ambao hamkubahatika kuziona picha za b' day ya Zari iliyofanyika huko ZNZ hizi hapa ndio picha zenyewe Haya sasa wabongo kazi yao kufikiria mtaachana lini...
6 Reactions
86 Replies
18K Views
Anaweza kuwa ndiye video queen hot&sexy zaidi Bongo na ingawa ameshiriki on two videos pekee anabaki kuwa V,queen mwenye jina kubwa zaidi. Siku za karibuni amekuwa akimake headlines on social...
0 Reactions
13 Replies
6K Views
  • Closed
Mtandao mmoja huko Ujerumani umeripoti kuwa bilionea namba moja Afrika Aliko Dangote amefariki ghafla kwa kuugua kwa muda mfupi Hata hivyo bilionea huyo alikanusha madai hayo kupitia Twitter na...
1 Reactions
55 Replies
7K Views
Aisee ama kweli nabii hakubaliki kwao,daah waliotunga huu msemo walikuwa ma generous sana kwa kweli Licha Rayvan na Raj boy Harmonize kuonekana sio lulu kwa kiasi hicho hapa nchini lakini...
1 Reactions
64 Replies
13K Views
Wana jamvi salaam, Kwako mpendwa msanii wa kimataifa ambaye tunajivunia kutolewa kimasomaso katika kila unacho gusa iwe tunzo na uwakilishi wako pande zote za ulimwengu. Diamond adui yako mkubwa...
9 Reactions
47 Replies
8K Views
Uongozi wa muziki nchini marekani unao muongoza msanii wa R&B Chris Brown umetoa taarifa kwa uongozi wa muziki Tanzania unao muongoza msanii kutoka Tanzania ALI KIBA msanii ambae yupo chini ya...
10 Reactions
48 Replies
6K Views
Baada ya Diva kudai kuwa hamfahamu Ruby, Ruby akasema anamuona Diva kama mtoto hivyo basi hawezi kubishana na mtoto "Naona ni ujinga, i dont want to talk about it ,everybody knows me, so nahisi...
7 Reactions
126 Replies
24K Views
Staa wa filamu, Aunt Ezekiel aliye katika mapenzi na Dansa Moses Iyobo, ameamua kukimbilia gym kwa ajili ya kupunguza unene unaomuandama ili kulinusuru penzi lake. Akizungumza na chanzo cha...
0 Reactions
18 Replies
10K Views
hawa jamaa wameamua kuanza kuonyesha movie(maigizo) yao kwenye tv then ndo dvd mtaani.kwenye comments JB anadanganya eti watu wa Tv(SIBUKA)wamesharudisha gharama za movie kwa kuwalipa..kwendraaa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mwanamama mzazi mwenza wa mheshimiwa Joseph Mbilinyi Sugu atangaza kutafuta mwanaume ili ampe ujauzito na hatimaye apate mtoto wa kiume kwa kuwa ana nguvu za kutosha za kulea Haya sasa kazi...
3 Reactions
24 Replies
6K Views
Mtangazaji wa kipindi cha Jahazi ambaye ukimpa topic hawezi kukosa cha kuchangia, jana alishangwaza na baadhi ya wanafunzi kufeli mitihani yao huku wengine wakichora makatuni kwenye mitihani yao...
3 Reactions
18 Replies
2K Views
Back
Top Bottom