Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Hivi kati ya Diamond Platnumz na Samatta nani anaweza kuwa na pesa nyingi kumzidi mwenzie? Mimi naona Samatta, kuishi Ulaya zaidi ya miaka nane halafu kucheza Aston villa huku unalipwa milion Mia...
7 Reactions
30 Replies
6K Views
Samatta analipwa kwa Siku Milioni 21 Tsh Wiki: Milioni 153 Tsh Mwezi: Milioni 610 Tsh Mwaka: Bilioni 8 Tsh Sijui Diamond kipato chake, Ila ningependa kujua nani zaidi? Sent using Jamii Forums...
3 Reactions
44 Replies
46K Views
Msanii wa Bongo Fleva, Nuh Mziwanda, ameibua hisia kali mitandaoni baada ya ku-share ujumbe wa kusikitisha kupitia ukurasa wake wa Instagram. Kupitia posti hiyo, Nuh alieleza machungu...
17 Reactions
168 Replies
8K Views
Ukiongelea kijana mwenye magari makali bongo wengi watakuambia Diamond ila wachache sana hawajui mondi hayupo hata kwenye top 100 ya vijana wakali wa town kwa mandinga makali. Huyu hapa ni...
15 Reactions
420 Replies
78K Views
Ile NDOA iliyosimamisha internet. Imevunjika rasmi. NB: Je atarudia FANTASY ya Zamani kama Shishi? Source: Wolper mwenyewe BCC: kataa ndoa
17 Reactions
295 Replies
18K Views
Andrew Tate ni kati ya watu wanatajwa sana kwa hivi sasa, bila shaka. Ikiwa hii ni mara yako ya kwanza kusikia kuhusu jamaa huyo, fuatilia hapa. Mtumiaji huyu wa mitandao ya kijamii aliye na...
12 Reactions
52 Replies
9K Views
Swali langu ni hilo wakuu, japo kwa upande wangu nilimkubali na nitaendelea kumkubali sana mzee Hassan Rehani Bitchuka. Wewe je unakubaliana na huyo huyo wa kwangu? Au Cosmos Chidumule? Au...
4 Reactions
49 Replies
2K Views
Wanazengo mnamtambua mrembo hapo pichani. Naona anatrend sana mitandaoni ikiewemo IG kiufupi anaonekana kuwa level moja na sanchoka kwenye maswala yalee. Inasemekana anatoka Iringa. Kwa mwenye...
6 Reactions
187 Replies
41K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akiwa na viongozi mbalimbali kwenye Iftar aliyowaandalia viongozi wa dini na wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam katika viwanja...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Msanii wa Bongo Fleva, Harmonize, amemuomba msamaha Diamond Platnumz kwa tofauti zilizowahi kutokea kati yao. Kupitia Insta Story yake, Harmonize ameandika kuwa anatumia mwezi mtukufu wa Ramadhani...
12 Reactions
45 Replies
3K Views
Kwemaaaaaaaaa... Sauti ni kubwa japo nina swaumu Kwa wapenzi wa hip hop, upande wa freestyles nadhani wengi wenu jina la Cado Kitengo, Cado nondo, Mzee wa Midamu au Mzee wa AYEEEEEE... nadhani...
0 Reactions
5 Replies
624 Views
Kwa kifupi harmonize ana muonekano wa kishamba sana yani hata afanyeje hawezi kubadilika hata mambo anayoyafanya ni kishamba sana yani ni ya ajabu mpaka anajiaibisha kila kukicha. Hata akipiga...
8 Reactions
27 Replies
4K Views
Cheki mwenyewe akiongea mbele ya Rais Lazarus Chakwera https://www.facebook.com/share/v/1BFDLjgATo/ Kwa msiomfahamu Namadingo mchekini hapa kaimba na Mzee Chalamanda...
2 Reactions
2 Replies
617 Views
Kwa upande wangu skendo iliyonishangaza na kunichekesha ilitokea mwaka 2016. Wema sepetu na İdris Sultan walipofeki ujauzito ili kuwanyamazisha timu zari na timu diamond 😂 unaambiwa walinunua...
9 Reactions
37 Replies
2K Views
Mwigizaji nguli Gene Hackman na mkewe Betsy Arakawa wamepatikana wakiwa wamefariki dunia nyumbani kwao huko Santa Fe, New Mexico. Polisi wamesema kuwa hakuna dalili za uhalifu, lakini sababu...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Kuna watu wanajiulizaga zile nguo za ajabu ajabu za wasanii katika majukwaa na safari za kimataifa wanazitoaga wapi au wanaiga wapi? Ukweli ni kwamba fani ya mitindo kidunia ni kati ya fani...
12 Reactions
99 Replies
6K Views
Tangu kumeibuka wimbi la wachekeshaji kibiashara nchini sijawahi kusikia comedian Mzanzibar aliye maarufu. Huko Zanzibar wao hawafanyi comedy au wapo ila hawajawa maarufu tu?!
7 Reactions
51 Replies
2K Views
ONYO kama huu Usimba na Uyanga tumeanza Kuuingiza na katika Mambo mengine tusije Kulaumiana hiyo Oktoba Oky?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu, Kama mnavyojua usiku wa leo ndio zinafanyika hizo tuzo za Trace huko Zanzibar. Wakati napitia pitia nominations nimekutana na majina ya wasanii 2 ambao hawakustahili kabisa kuwepo kwenye...
13 Reactions
36 Replies
2K Views
Wakuu, Hawa ndio washindi wa tuzo za Trace Awards zilizofanyika jana huko Zanzibar. Kutoka Tanzania ni wasanii wawili tu ndio wamepata tuzo. Diamond Platnumz ameondoka na kipengele cha Best...
5 Reactions
28 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…