Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

  • Redirect
Leo tr 25/05/2017 amefaliki dunia Ivan the Don Mungu amlaze mahala pema peponi. Sunday, 14 May 2017 habari hii ilichapishwa huko UG kua jamaa anauza nyumba yake pia,' wadukuzi wanasema aliona...
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Chanzo cha habari ni page ya instagram ya zali mwenyewe mda huu Huyu ivan mi mzazi mwenzie zali kabla zali hajazaa na msanii Diamond pumzika kwa amani the don ivan.
0 Reactions
Replies
Views
Naenda moja kwa moja kwenye mada yangu, Kutokana na maelezo ya mkuu wa mkoa Leo katika kipindi cha MBIVU NA MBICHI Rc wetu huo (jina mnalijua) amekiri kuwa hawa jamaa au pale ndani palikuwa ndo...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Naomba kujuawaliko hawa watu Yuko wapi bishanga bashaija Yuko wapi nyamayao Yuko wapi kibakuri Yuko wapi kiroboto Wapi jeby Wapi joslini Yuko wapi back rhino Yuko wapi abdalah husen alikuwa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Tangu Diamond Platnumz azindue mtandao wake wa kuuza nyimbo online (Wasafi.Com) kitaani kumekuwa na story kuwa Diamond hana maelewano mazuri na mitandao mingine ya kuuza ngoma online. Diamond...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nauliza tu jamani maana Nina Siku kadhaa sifiki ofisi za Lumumba. Huyu mwenzetu kashaanza kazi hapo? Au yuko kwenye operations za mikoani? Naomba tujuzane alipo Hutu mwanadada mahili
2 Reactions
68 Replies
11K Views
Wasalaam wana jamvi. Baada ya Ben pol kutoa wimbo na watu kupata wasaha wakuusikiliza. Msanii mwenzie ameibuka na kusema kuwa ni upumbavu mtupu... Nami naungana nae kusema ni upumbavu mtupu...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Bwana Jb na Ray kigosi ni kweli majuzi mmlikuwa mwanza na Bashite????kwamba wewe Jb ndiye mhamasishaji wa wasanii kupost mambo ya bashite mtandaoni? Ni kweli kwamba yale madai ya Rais wa Taff ya...
6 Reactions
11 Replies
2K Views
Moja ya picha zilizopata comments nyingi Instagram siku mbili hizi ni picha za mwimbaji wa RNB Tanzania Ben Pol ambazo zilimuonyesha akiwa hajavaa nguo. Nay Wa Mitego aongelea swala hilo.
1 Reactions
10 Replies
7K Views
hello, huyu jamaa alipata phd akiwa na miaka 26, hlf anahoji watu mbali mbali wazito katika kipindi cha uongozi kinachorushwa itv. Huyu jamaa ni intellectual hlf ana personality flan hiv amazing...
3 Reactions
21 Replies
5K Views
  • Redirect
Gigi Money anasema alikuwa hamjui Albert Msando wala alikuwa hajawahi kumsikia, aliambiwa kuna mtu anakuhitaji anamiliki club basi akaenda akaspend nae time na walipokuwa garini akarekodi video...
3 Reactions
Replies
Views
Kampuni ya Burudani Tanzania WCB iliyo chini ya mwanamuziki namba moja Tanzania na Afrika Mashariki, leo inatarajia kutambulisha msanii wao mpya. Kampuni hiyo kwa sasa ina wasanii kama Diamond...
0 Reactions
50 Replies
13K Views
Baada ya kutoka kwenye matangazo kwenye kipindi cha Clouds 360. Mtangazaji Baby Kabae akikaribisha alisema karibuni tena Sta.. then akarudi kusema Clouds 360. Kweli kilichomjaa mtu ndio...
5 Reactions
10 Replies
3K Views
Ney wa Mitego amedai yeye haimbi siasa ila anaimba mambo yaliyopo kwenye jamii, na mbunge au waziri au rais ni sehemu ya jamii
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Huyu mtangazaji wa Clouds TV, Sielewi hawa watu anaowahoji lengo lake ni nini, naona upumbavu anaoongea Gigy Money kwenye kipindi chake cha Take One, najiuliza kwanini anaruhusu ujinga huu...
13 Reactions
318 Replies
71K Views
Msanii kutoka Moro Town, Stamina amesema haoni tatizo msanii wa kiume kujichubua kwani mtu huyo kabla hajawa msanii alikuwa kawaida ila baada ya kuwa msanii unakuta anachora tatoo na kuvaa hereni...
0 Reactions
10 Replies
6K Views
Halafu nikija kuwasema humu JF mnaanza kukasirika na hadi kuninunia wakati kumbe ukweli ni kwamba mnafanya makosa makubwa sana ya Kitaalauma na Kiueledi hasa katika suala zima la Utangazaji na...
29 Reactions
67 Replies
9K Views
Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa Tanzania, BASATA, Godfrey Mngereza amelaani picha za nusu za utupu za msanii wa muziki, Ben Pol ambazo imezua tafrani kubwa kwenye mitandao ya kijamii. Akiongea...
2 Reactions
35 Replies
6K Views
Kama kichwa kinavojieleza,huyo msanii namkubali sana,ni msanii wa hip hop hapa bongo na ana ladha na uandishi wa kipeke yake,ana mashairi ambayo huwezi kukalili kamwe,sanasana utaambulia vimistari...
5 Reactions
122 Replies
20K Views
Back
Top Bottom