Leo tr 25/05/2017 amefaliki dunia Ivan the Don Mungu amlaze mahala pema peponi.
Sunday, 14 May 2017 habari hii ilichapishwa huko UG kua jamaa anauza nyumba yake pia,'
wadukuzi wanasema aliona...
Chanzo cha habari ni page ya instagram ya zali mwenyewe mda huu
Huyu ivan mi mzazi mwenzie zali kabla zali hajazaa na msanii Diamond pumzika kwa amani the don ivan.
Naenda moja kwa moja kwenye mada yangu,
Kutokana na maelezo ya mkuu wa mkoa Leo katika kipindi cha MBIVU NA MBICHI Rc wetu huo (jina mnalijua) amekiri kuwa hawa jamaa au pale ndani palikuwa ndo...
Tangu Diamond Platnumz azindue mtandao wake wa kuuza nyimbo online (Wasafi.Com) kitaani kumekuwa na story kuwa Diamond hana maelewano mazuri na mitandao mingine ya kuuza ngoma online.
Diamond...
Nauliza tu jamani maana Nina Siku kadhaa sifiki ofisi za Lumumba. Huyu mwenzetu kashaanza kazi hapo? Au yuko kwenye operations za mikoani? Naomba tujuzane alipo Hutu mwanadada mahili
Wasalaam wana jamvi.
Baada ya Ben pol kutoa wimbo na watu kupata wasaha wakuusikiliza. Msanii mwenzie ameibuka na kusema kuwa ni upumbavu mtupu... Nami naungana nae kusema ni upumbavu mtupu...
Bwana Jb na Ray kigosi ni kweli majuzi mmlikuwa mwanza na Bashite????kwamba wewe Jb ndiye mhamasishaji wa wasanii kupost mambo ya bashite mtandaoni?
Ni kweli kwamba yale madai ya Rais wa Taff ya...
Moja ya picha zilizopata comments nyingi Instagram siku mbili hizi ni picha za mwimbaji wa RNB Tanzania Ben Pol ambazo zilimuonyesha akiwa hajavaa nguo. Nay Wa Mitego aongelea swala hilo.
hello,
huyu jamaa alipata phd akiwa na miaka 26, hlf anahoji watu mbali mbali wazito katika kipindi cha uongozi kinachorushwa itv. Huyu jamaa ni intellectual hlf ana personality flan hiv amazing...
Gigi Money anasema alikuwa hamjui Albert Msando wala alikuwa hajawahi kumsikia, aliambiwa kuna mtu anakuhitaji anamiliki club basi akaenda akaspend nae time na walipokuwa garini akarekodi video...
Kampuni ya Burudani Tanzania WCB iliyo chini ya mwanamuziki namba moja Tanzania na Afrika Mashariki, leo inatarajia kutambulisha msanii wao mpya.
Kampuni hiyo kwa sasa ina wasanii kama Diamond...
Baada ya kutoka kwenye matangazo kwenye kipindi cha Clouds 360. Mtangazaji Baby Kabae akikaribisha alisema karibuni tena Sta.. then akarudi kusema Clouds 360.
Kweli kilichomjaa mtu ndio...
Huyu mtangazaji wa Clouds TV, Sielewi hawa watu anaowahoji lengo lake ni nini, naona upumbavu anaoongea Gigy Money kwenye kipindi chake cha Take One, najiuliza kwanini anaruhusu ujinga huu...
Msanii kutoka Moro Town, Stamina amesema haoni tatizo msanii wa kiume kujichubua kwani mtu huyo kabla hajawa msanii alikuwa kawaida ila baada ya kuwa msanii unakuta anachora tatoo na kuvaa hereni...
Halafu nikija kuwasema humu JF mnaanza kukasirika na hadi kuninunia wakati kumbe ukweli ni kwamba mnafanya makosa makubwa sana ya Kitaalauma na Kiueledi hasa katika suala zima la Utangazaji na...
Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa Tanzania, BASATA, Godfrey Mngereza amelaani picha za nusu za utupu za msanii wa muziki, Ben Pol ambazo imezua tafrani kubwa kwenye mitandao ya kijamii.
Akiongea...
Kama kichwa kinavojieleza,huyo msanii namkubali sana,ni msanii wa hip hop hapa bongo na ana ladha na uandishi wa kipeke yake,ana mashairi ambayo huwezi kukalili kamwe,sanasana utaambulia vimistari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.