Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Carina alishindwaje kumjengea mama yake hata kibanda huko kivule mpaka leo familia nzima wanaishi nyumba za kupanga ?. Wasanii mnajisahahu Sana
5 Reactions
50 Replies
3K Views
Mjomba wa Mke wa Jux ni tafsiri tosha ya kauli ya mjomba ni mama, kijana wetu Jux kayakanyaga Pozi la mjomba pamoja na madoido akina dada wakasome kwasababu hawaingii ndani
4 Reactions
17 Replies
2K Views
Huyu kijana Juma Lokole anapokuwa kwenye matukio ya kijamii anakaa upande wa Wanawake badala ya kukaa na Wanaume Hii ni tabia mbaya sana hasa katika utamaduni wetu sisi Watanzania na kwa baadhi...
10 Reactions
83 Replies
4K Views
Huyu dada yetu Lady Jay Dee akubali tu jua lishazama haya mambo awaachie kina Abigail jaman, sasa paja la mtu mzima mkongwe nani alitamani.
19 Reactions
116 Replies
5K Views
MOJA ya habari zinazotreni mitandaoni na vyombo vya habari ni iliyokuwa ndoa ya Haji Manara na Zaylissa ambayo imefikia mwisho na inaelezwa mwanadada huyo amepanga kushusha bonge la pati...
8 Reactions
67 Replies
3K Views
Msanii Carina , hajarogwa na mtu yeyote ila amefariki kifo cha kawaida.
3 Reactions
15 Replies
1K Views
Salute iende kwenye mada, kiukweli hapa mjini Dar es salam kuna watu nadhani wanaishi maisha mazuri ni kama wako Dubai au New York .Binafsi nimekuwa chawa promax wakumfatilia huyu kijana anaejiita...
14 Reactions
226 Replies
53K Views
Habari zilizotufikia hivi punde, Msanii na MC Maarufu, Gladness Chiduo 'Zipompa Pompa' amefariki dunia katika hospitali ya Rabinisia jijini Dar es Salaam. Msiba upo nyumbani kwa Marehemu Ununio...
4 Reactions
56 Replies
13K Views
Steve Mweusi sijui ana tatizo gani, kuna comedy ambayo waigizaji wake wanafanya masihara na kila mmoja anajua hilo Lakini Muziki sio aina ya sanaa inayotaka mzaha. Huyu kijana aliimba wimbo wake...
2 Reactions
25 Replies
1K Views
Huyu mkaka ni nani hapa mjini anafanya mishe gani maana huwa namuona akila bata kila mahala dunia mara Marekani mara ulaya mara Dubai mara anaendesha magari ya gharama sana Anafanya mishe gani...
5 Reactions
162 Replies
72K Views
Tuwe makini sana na Wachungaji na Manabii na Dini zao wanaoibuka enzi hizi. Kwa bahati mbaya siku hizi za mwisho, watu wanadanganywa sana na wengi wataangamia.
15 Reactions
124 Replies
5K Views
DM Nikupe prompt ya kutengeza action figure yenye picha yako
0 Reactions
3 Replies
301 Views
Amani kwenu wadau, Wiki moja iliyopita niliwaeleza jinsi Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la habari Tanzania (TBC), AYOUB RYOBA alivyotaka kupigana na mtangazaji wa EFM Radio, Gerald Hando Dr. Rioba...
22 Reactions
101 Replies
20K Views
Msanii maarufu wa kundi la Jagwa Music ambaye alikuwa nyota wa kundi kwa sauti yake tamu na Nzuri bwana Jack Simela ametutoka kwa ajali ya gari aliyoipata mkoani Morogoro kwa kugongana na Scania...
7 Reactions
143 Replies
53K Views
Naona kama umri umeshasonga sana vile. Au yeye ni mdogo kwa Celebrities wengine kama Zamaradi nk
7 Reactions
200 Replies
8K Views
Haiwezekani mtu mmoja anaoa na kuacha kila kukicha, halafu haogopi maradhi yaliyozagaa kila mahali?
7 Reactions
32 Replies
1K Views
Unajua bwana...! Kila jambo lina muda wake na kila jambo lina wakati wake. Unaweza ukajiuliza wakati ni nini na muda ni nini, natumai unaweza ukajijibu mwenyewe, ila kama utashindwa kujijibu...
6 Reactions
39 Replies
2K Views
Toka wiki iliyopita naona Mwanadada Munalove aliyekuwa mke wa Peter komu sijui makomu (anayemjua atanisahihisha) analeta maombi Instagram Mungu ampitishe kwenye kikombe anachokunywa saivi, anaomba...
8 Reactions
87 Replies
5K Views
MAKALA hii imeandaliwa na Kaka MWAFRIKA Alizaliwa kwa majina ya Amri Athuman mnamo 1948 Mkoani Tanga, TANZANIA. Alisoma shule ya Msambweni iliyoko,mkoani TANGA Alianza kuigiza akiwa na umri...
3 Reactions
5 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…