Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Wengi wetu naamini mnajua kwa kina jinsi monii na Roma walivyokuwa washikaji..Na hata lile tukio la kutekwa walitekwa wote..... Sasa shida imekuja baada ya kurudi uraiani wamekua sio washikaji...
2 Reactions
17 Replies
4K Views
Nauliza tuu kwa sababu naona kama wenzetu wapo tofauti sana au na huko ibadani nako wanaenda kisanii tu!
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Viongozi wa taasisi ya Uzalendo Kwanza wameamua kujiweka pembeni kwa kile walichodai kwamba hawamuelewi mwenyekiti wao, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’. Chanzo makini kililieleza kuwa viongozi...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kim Kardashian yupo radhi kufanya jambo lolote ilimradi apate fedha. Mrembo huyo wa Kanye West amepiga picha za utupu kwa ajili ya tangazo la vipodozi vya KKW Beauty. Mara ya mwisho kwa Kim...
1 Reactions
56 Replies
19K Views
Naandika ujumbe kwa majonzi makubwa. Ikumbukwe kuwa Leo kama ilivyokuwa ikitangazwa kuwa ni siku ya wanafunzi kushuhudia show pale mliman city. Mimi kama mmoja wa wanafunzi hao nimeacha madesa...
6 Reactions
47 Replies
8K Views
MAMA SEPETU AFUNGUKA Mama mzazi wa Wema Sepetu amesema kitendo cha mwanae kurudi CCM bila kumuomba ushauri ni kitu ambacho kimemdhalilisha kama mzazi, asema yeye atabakia CHADEMA. Adai...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Aman iwe nanyi wapendwa Kama kichwa kichwa kinavyosomeka hapo juu Wale magwiji na wababe wa vita za kiait huko inster wamefutilia mbali acount zenye wafuas wengi za kimbeya mbeya Acount ya...
1 Reactions
74 Replies
10K Views
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana Husika na kichwa cha habar hapo juu Kuna huyu bwana mdogo dimond licha ya kutumia nguvu kubwa lakin zinapotea bure tu Jamaa anabebwa lakin habebek kabisa...
1 Reactions
28 Replies
3K Views
Mchekeshaji kutoka Timamu, Mama Ashura amesema hakuumizwa na maneno makali katika mitandao ya kijamii kutoka kwa mashabiki wa Alikiba baada ya kumkosoa msanii huyo kwa kukaa muda mrefu bila kutoa...
4 Reactions
103 Replies
12K Views
Video inayosambaa ikimuonyesha Ferouz wa Daz Nundaz msanii aliyetikisa na wimbo uitwao wa Starehe uliofanya vizuri mpaka akapewa zawadi na mh rais wa zamani mkapa. Hapo awali inasemekana maisha...
2 Reactions
88 Replies
22K Views
Wadau Ray C yupo live TBC akiwa Mlimani City ana perform kwenye tamasha la Dar fresher's day. Ukweli yupo vizuri sana tofauti na niliaminishwa hapo awali. Mungu azidi kumtia nguvu na afya.
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Hii ni orodha ya wasanii ambao kwa mwaka huu umekua mzuri kwao, nikimanisha ndio wanaongoza kwa kulipwa pesa nyingi.. Namba 10- Le Bron James mchezaji kikapu mahiri mwaka huu kaweka kibindoni...
4 Reactions
12 Replies
3K Views
Ndo maana ni vigumu kuona mweusi akiwa sehem ya mamlaka akamnyanyua mweusi mwenziye kwa kumpa tenda atampa mtu wa rangi tofauti tuu ndo maana nchi yetu uchumi umetawaliwa kwa %80 na watu wenye...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Mara nyingi kipindi cha hivi karibuni amekuwa akitoa Audio ambazo huwezi kusikiliza mara mbili sikioni tofauti na mwnzake king kiba Domond amekuwa akiuza sana kupitia vidio tofauti na Audio maana...
5 Reactions
28 Replies
8K Views
Ulishawahi kujiuliza kwamba maisha yatakuaje kama ungekua na utajiri wa Bilioni 900 za kitanzania.? Fikiria umeipata hicho kiwango kwa siku moja au kwa kujumuisha miaka yako yote..utazitumiaje...
17 Reactions
129 Replies
18K Views
Asiwapigie rafiki zangu..niacheee....nasema niacheeeee....Ntakudanganya kwa tabasamu..ntakudanganya kwa kulikie picha.. wanasema kitanda ukitandika lazima ukilalie.. kijana unajua sana. hata...
24 Reactions
120 Replies
59K Views
Ipi kati ya maumivu per day (kutoka kwa simba anayepatikana mbuga ya kariakooo) na hii ya waka waka ( kutoka kwa simba anayepatikana mbuga ya tandare) ambayo platnumz kamshirikisha yule mvuta...
2 Reactions
14 Replies
4K Views
habari za majukumu wana jamvii..? kama kichwa cha uzi kinavojieleza. Nina ka hotel kangu huko mikoa ya pwani.Tokana na wimbi kubwa la wateja wangu wanapenda singeli.Nimeonelea hawa wasanii...
0 Reactions
24 Replies
9K Views
Msanii Nasib Abdul maarufu Diamond Platinumz, amedai mahakamani kuwa hana uwezo wa kumlipa Mwanamitindo Hamisa Mobeto, Sh milioni tano kama gharama za matunzo ya mtoto kwa mwezi. Diamond...
6 Reactions
312 Replies
34K Views
Bilionea wa Jiji la Dar es Salaam ambaye kwa sasa amekuwa gumzo Dkt Louis Shika aliyejizolea umaarufu baada ya kuibuka mshindi katika mnada wa nyumba za mfanyabiashara maarufu, Said Lugumi...
6 Reactions
25 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…