Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Habari wanajamvi hebu tusalimiane na kufahamiana kidogo tukiumalizia huu mwaka... mfano: habari! naitwa James.. anayefuata..habari James naitwa Husein.. anayefuata.. habari husein naitwa Fadhila...
2 Reactions
97 Replies
7K Views
Baada ya kuona vijembe vikiendelea na maneno kuwa mengi kwenye mitandao ya kijamii kati ya Hamisa Mobetto na Zari na kuonekana kama upande wa Diamond Platnumz unadaiwa kuwa umeamua kumsapoti Zari...
0 Reactions
30 Replies
10K Views
Show zake zote ni sold out
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Naisubiria kwa hamu siku yake ya kuzaliwa Abdul Naseeeb mtoto halali wa Diamond Platnumz a.k.a Muuza Karanga na Hamisa Mobeto Chuchunge au ukipenda muite mbu (Anopheles) nataka kuona kama kweli...
2 Reactions
35 Replies
7K Views
Miss Tanzania 2010 GENOVIVA MPANGALA, SIJAWAHI KUMTAMKIA KUMPENDA JAPO NILIKUWA NAMTAKA KIMAPENZI. Mimi Deo Kisandu, Nakumbuka ilikuwa kati ya Mwaka 2012 au 2011 tulikutana Lushoto, Tanga akiwa...
7 Reactions
51 Replies
7K Views
Msikie hapa.. Hana shida na mtoto wa Mobeto..makosa ya wazazi si makosa ya mtoto. Yuko tayari kumpokea mtoto. My Take... Huyu mwanamke nafikiri akili zake si za Africa. Ana akili kubwa sana...
30 Reactions
137 Replies
25K Views
Msanii Nikki wa Pili ambaye ni miongoni mwa wasanii wachache wanaofanya uchambuzi wa masuala mbali mbali ikiwemo uchumi wa taifa, ametupa jiwe gizani kuhusu sera mpya ya viwanda. Kupitia...
1 Reactions
27 Replies
4K Views
Tutililike orodha ya wasanii wanaotumia madawa ya kulevya, 1. Chidi benz 2. Ferooz 3. Recho 4. Young Dar es Salaam 5.
1 Reactions
38 Replies
6K Views
Msanii wa muziki wa bongo fleva Harmorapa amefunguka na kusema kuwa katika mwaka 2017 amehangaika kulipata penzi la mwanadada Wema Sepetu kiasi cha kuamua kwenda kwa mganga wa kienyeji mara tatu...
1 Reactions
30 Replies
7K Views
Kama umekuwa mfatiliaji wa online tv kuna hii Masanja tv ina mwanahabari anaitwa Yusuph Magupa, jamaa ana kipaji sana sema Masanja TV pale siyo mahali sahihi kwake. Jamaa anahitaji mtu ampe...
0 Reactions
25 Replies
6K Views
Leo boxing day tarehe 26 msanii Alikiba aliahidi kufanya tamasha kubwa la funga mwaka na kushukuru mashabiki zake pamoja na kuzindua bidhaa zake mpya sokoni katika eneo la Escape one Lakini...
5 Reactions
19 Replies
3K Views
Tunakupenda ww na mzazi mwenzio Chibu mnajitahidi sana kujitoa kwenye social media najua ndo sehemu ya maisha yenu mana bila hivyo nafikiri mngepotea , Una watoto 5 uliowazaa mwenyewe basi na...
11 Reactions
43 Replies
6K Views
Mimi naanza na Jide na Mwana FA! Hakuna msanii ambae amefanya collabo nyingi na Mwana FA kama Lady Jay Dee a.k.a komando Jide. Kama wasemavyo wahenga, rafiki yako mkubwa anaweza akawa adui yako...
2 Reactions
101 Replies
12K Views
WAPENDWA BWANA YESU ASIFIWE; kutokana na maisha magumu na yaliyojaa na kila aina ya mkanganyiko wanadamu wengi tumexchanganyikiwa na kukuta tunafanya mambo yasiyokuwa sahihi.kibaya zaidi naamini...
0 Reactions
97 Replies
21K Views
Ndugu zangu wana JF mie sie mpenzi sana wa hili jukwaa ila kwa siku ya Leo imenibidi niingie hivyo hivyo Miaka 7 nyuma Tanzania ilipiga hatua kubwa sana kwenye tasnia ya filamu na tasnia hii...
0 Reactions
29 Replies
8K Views
Masanja mkandamizaji ametembealea mgodi wake wa dhahbu na kuonyesha zoezi zima la uchimbaji dhahabu linavyofanyika
10 Reactions
96 Replies
24K Views
"Diamond is on probation and is managing well so far. I can even date 100 men because I love being loved, even if I leave Diamond today I will date someone else tomorrow. Diamond is still fighting...
15 Reactions
145 Replies
23K Views
Mafikizolo alikuwepo na tingdis alikuwepo tatizo zari ali alika watu wengi mno ila mondi kanunua pombe chache mno ndo kisa watu kusepa mapema na kuwaacha wamatumbi wa wcb pekeyao.
2 Reactions
56 Replies
7K Views
1.Masimango-Waziri Sonyo TOT PLUS 2.Mpende akupendaye-Abdul Misambano TOT PLUS 3.Tunda Rmx-Mwijuma Mumin TAM TAM
1 Reactions
1 Replies
5K Views
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu Lagos jana palikuwa na show ya kukata na shoka pale mwamba wa africa adeleji au wizkid alipoitisha show ALIYOIPA...
1 Reactions
56 Replies
9K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…