Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

WAKATI bebi wake, Nasibu Abdul ‘ Diamond Platnumz’ akiugulia maumivu ya kuzomewa na mamia ya mashabiki wa muziki katika Tamasha la Fiesta jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wikiendi iliyopita ...
1 Reactions
102 Replies
17K Views
Leo nimepata muda wa kuperuzi nikaona mahojiano ya huyu mwanamitindo na timu ya mkasi huko youtube,huyu mwanamke amejisifia hadi kama wahusika wameshindwa kuendana na kasi yake,kipindi kimegeuka...
2 Reactions
62 Replies
19K Views
Nimaona kionjo chake kidogo, ngoma iko poa japo sijajua kama ni official release kwa kuwa Jason hajaiweka kwa page take ya IG. Vijana was WCB wanazidi kuchanja mbuga.
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Dar es Salaam. Msanii wa filamu, Vincent Kigosi maarufu ‘Ray’ amesema kitendo cha kumvisha mtoto wake hereni ni kutokana na kuwa nyota kama yeye. Ray amesema hayo alipozungumza na MCL Digital...
2 Reactions
89 Replies
11K Views
"MAELEZO YANGU HAYA YATAONDOA UTATA WOTE NA HOPE MTANIELEWA" Kiruuuuuuuuuuuuuuuu wananchi wenye hasira kali angalieni msinitoe roho! Kwa yeyote niliyemkwaza anisamehe bureeee.. Wacha...
0 Reactions
107 Replies
26K Views
Huyu jamaa muigizaji wa steshen moja ya radio kama comedian nampenda sana. Yeye anaigiza kama mtu mlafi sana yani chauroho. Ila hana umaarufu sana
5 Reactions
33 Replies
6K Views
Msanii wa muziki bongo Rachel maarufu kama Rachel Kizunguzungu, amefunguka juu ya sakata lake la kwenda nchi za Uarabuni na kukutwa na mabalaa, ikiwemo kutumia madawa ya kulevya na kutelekezwa...
1 Reactions
45 Replies
8K Views
Habari za ijumaa wakuu Moja kwa moja niende kwenye mada kama kichwa kinavyojieleza hapo juu Kumekuwa na promo nyingi sana kumhusu aslay na nandy , kutoa nyimbo mbalimbali pamoja, kufanya shoo...
9 Reactions
29 Replies
8K Views
Daaah huyu jamaa niliwahi kusema akirudi kuimba Tena Dunia itasimama. Yasome mashairi yake hapa. Verse 1. Dunia inazama, naangalia, Sina cha kufanya,moyoni naumia. Mawazo yangu oh, naangamia...
7 Reactions
78 Replies
16K Views
Hivi kama ni kweli yule dada anatufanyia movie anatoa wapi moyo wa ujasiri kiasi hichi? Yani anatufanya sisi kama watoto wadogo. Watu wanachanga pesa yeye sijui anaenda kufanya nini huko nje ya...
13 Reactions
496 Replies
89K Views
Wasanii wa kizazi kipya Aslay pamoja na mwanadada Nandy wanaoendelea kufanya vizuri na kibao chao cha 'Subalkheri mpenzi' wanatarajiwa kuburuzwa Mahakamani kutoka na kuimba wimbo huo bila ya...
6 Reactions
120 Replies
25K Views
MTANGAZAJI aliyewahi kujiachia kimalovee na Nasibu Abdul ‘ Diamond ’ , Penniel Mungilwa ‘ Penny’ amesema mwanamuziki huyo kwa sasa alie tu kwani ameshachumbiwa na hawezi kumpata tena Kauli ya...
0 Reactions
40 Replies
7K Views
Kuonesha kwamba hana mpango wa kurudi nyuma, staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz' amefungukia msimamo wake juu ya mwandani wake wa zamani, Wema Sepetu ‘Madam' kwa...
1 Reactions
100 Replies
18K Views
Nadhani nimechelewa sana kujua nyimbo za huyu fundi wa nyimbo za injili Ambwene Mwasongwe,jamaa anaimba vitu vinatouch kinyama Nasikiliza hapa wimbo unaitwa CHOZI LA HAKI. Huu wimbo ni touching...
3 Reactions
63 Replies
21K Views
Mrembo na mwigizaji wa filamu, Wema Sepetu amefunguka na kudai kuwa mwigizaji Van Vicker wa Ghana, alichania kwa kiasi flani, kupelekea aachane na aliekuwa mpenzi wake, Diamond. Kwamujibu wa...
0 Reactions
67 Replies
14K Views
Ni sheedah ! Pamoja na kukanusha kwa kutumia nguvu kubwa , nyuma ya ushosti wa mastaa grade one wa sinema za Kibongo, Wema Sepetu ' Beautiful Onyinye ' na Aunty Ezekiel kuna siri nzito...
0 Reactions
80 Replies
24K Views
Supastaa wa Bongo, Wema Sepetu‘ madam' ameanika siri zilizojificha nyuma ya pazia kati yake na aliyekuwa mume wa mwanamuziki nyota wa Uganda, Zarina Hassan ' Zari ', Ivan Semwanga...
1 Reactions
89 Replies
23K Views
MWANADADA asiyeishiwa habari , Beautiful Onyinye , Wema Isaac Sepetu ' Madam' anadaiwa kujutia mimba yake aliyopachikwa na aliyekuwa staa mkubwa wa sinema za Kibongo , marehemu Steven...
0 Reactions
62 Replies
20K Views
JINA la Zari hivi sasa limekuwa jina maarufu katika masikio ya Watanzania, Afrika Mashariki na kwingineko hasa baada ya mwanadada huyo mfanyabiashara na mwanamuziki wa Uganda kuwa na urafiki na...
18 Reactions
269 Replies
50K Views
Lile gari jipya aina ya Nissan Murano la staa wa Bongo Fleva , Nasibu Abdul ' Diamond Platnumz' alilompa aliyekuwa mwandani wake , Beautiful Onyinye , Wema Isaac Sepetu ' Madam'...
0 Reactions
47 Replies
9K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…