Miriam Odemba na majigambo kipindi cha Mkasi

LUBEDE

JF-Expert Member
May 7, 2013
4,320
6,686
Leo nimepata muda wa kuperuzi nikaona mahojiano ya huyu mwanamitindo na timu ya mkasi huko youtube,huyu mwanamke amejisifia hadi kama wahusika wameshindwa kuendana na kasi yake,kipindi kimegeuka tamthilia,miriam uswahili umekujaa,umeharibu kipindi cha watu,ujuaji mwingi mno,daah!!

 
Kipindi kilikuwa kizuri sana, Miriam anajitambua, anajiamini, anajithamini yeye na anathamini utanzania wake. Anaweza kuwa motivational speaker mzuri sana watanzania tuache mentality mbovu mtu anapofanya vizuri apewe sifa zake.
 
Kabombe always ukiwaza negative utakuwa broke, kwahiyo ulitaka awaze kufulia ili azidi kufulia? Watu wengi wenye mafanikio walisota so ishi kwa mentality hiyo ufukara unakuita
 
Kipindi kilikuwa kizuri sana, Miriam anajitambua, anajiamini, anajithamini yeye na anathamini utanzania wake. Anaweza kuwa motivational speaker mzuri sana watanzania tuache mentality mbovu mtu anapofanya vizuri apewe sifa zake.
Hatujasema hafanyi vizuri,tunazungumzia jinsi alivyokuwa anaongea,alikitawala sana kipindi kiasi ikawa kama hakuna muongozaji,maana hakuwa akiwapa nafasi akina salama wamuhoji,yule ni celeblity wengi wanataka kujifunza kutoka kwake,kwahiyo akiwa sehemu kama ile anatakiwa afuate protokali ili watazamaji wajifunze,asa wewe kuwa mkweli cha maana ulichojifunza pale ni nini?
Ni sifa tu ndio zilimjaa...
 
Hatujasema hafanyi vizuri,tunazungumzia jinsi alivyokuwa anaongea,alikitawala sana kipindi kiasi ikawa kama hakuna muongozaji,maana hakuwa akiwapa nafasi akina salama wamuhoji,yule ni celeblity wengi wanataka kujifunza kutoka kwake,kwahiyo akiwa sehemu kama ile anatakiwa afuate protokali ili watazamaji wajifunze,asa wewe kuwa mkweli cha maana ulichojifunza pale ni nini?
Ni sifa tu ndio zilimjaa...



Kama hukujifunza kitu inabidi ukapimwe akili, kulikuwa na mafunzo ya waziwazi, tatizo jambo lolote ukiliangalia in a negative way huwezi kuona a positive side ya hilo jambo.
 
Kama hukujifunza kitu inabidi ukapimwe akili, kulikuwa na mafunzo ya waziwazi, tatizo jambo lolote ukiliangalia in a negative way huwezi kuona a positive side ya hilo jambo.
Pole sana TAECOLTD
 
Pole sana TAECOLTD
Nikupe pole wewe hapo ambaye unapenda usikilize porojo za kina Nisher na wajinga wenzie...rudia kuangalia upya utakutana na mafunzo haya
1) Kujiamini na hutakiwi kutetereka kwasababu ya umaarufu wa mtu
2) Kujituma kwa bidii sana
3) Kuwa na malengo makubwa ambayo yatafanya jina lako lisifutike, ni nani ambaye leo ukitaja jina Miriam Odemba halijui?
4) Elimu na utashi as lolote unalolifanya hakikisha una elimu na uelewa wa kutosha kuhusu hilo swala
Kama hayo hukuyaona badala yake umeishia kuona anajigamba tu basi pole saaaana tena sana
 
Nikupe pole wewe hapo ambaye unapenda usikilize porojo za kina Nisher na wajinga wenzie...rudia kuangalia upya utakutana na mafunzo haya
1) Kujiamini na hutakiwi kutetereka kwasababu ya umaarufu wa mtu
2) Kujituma kwa bidii sana
3) Kuwa na malengo makubwa ambayo yatafanya jina lako lisifutike, ni nani ambaye leo ukitaja jina Miriam Odemba halijui?
4) Elimu na utashi as lolote unalolifanya hakikisha una elimu na uelewa wa kutosha kuhusu hilo swala
Kama hayo hukuyaona badala yake umeishia kuona anajigamba tu basi pole saaaana tena sana
Una mipasho,siwezi kufanya critisism na wewe,coz hatuelewani,unachozungumzia na ninachozungumzia ni vitu viwili tofauti,nahisi umekurupuka na kuvamia jukwaa..hata sielewi ni nini kimekupanikisha..
 
Leo nimepata muda wa kuperuzi nikaona mahojiano ya huyu mwanamitindo na timu ya mkasi huko youtube,huyu mwanamke amejisifia hadi kama wahusika wameshindwa kuendana na kasi yake,kipindi kimegeuka tamthilia,miriam uswahili umekujaa,umeharibu kipindi cha watu,ujuaji mwingi mno,daah!!

Sijawahi Kuona Tofauti Ya MHAYA Na MJALUO Hasa Ktk Suala Zima La " MASHAUZI " Labda Mnaowajua Zaidi Leo Mnipe Tofauti KUU Ya Haya MAKABILA Mawili Ila Binafsi Nathubutu Kusema WAHAYA NA WAJALUO Ni Baba Na Mama Mmoja Huku Mtoto Wao Akiwa Ni Wenye Kabila La WAJITA.
 
Back
Top Bottom