Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Tunajua Joseph Kusaga yupo karibu sana na Diamond (Diamond Karanga, Wasafi media). Pia tunasikia Clouds Media wana beef na Wasafi. Kumbuka Kusaga ni Mkurugenzi wa Clouds na Ruge ni mkurugenzi wa...
0 Reactions
38 Replies
9K Views
Stori: Erick Evarist na Imelda Mtema NYOTA wa Nyimbo za Injili Bongo, Rose Mhando (pichani)amefungukia eneo fupi la maisha yake magumu ambapo alisema amewahi kutekwa kwa bastola na mwanaume...
0 Reactions
35 Replies
30K Views
Baada ya wao kugundua vyuma vimekaza wakaja na kauli mbiu ya "local artists", wakijinasibu kua sasa wamezamilia kuifanya bongo fleva kua ya kimataifa na uzalendo kwanza, sasa matokeo yake yamekua...
25 Reactions
58 Replies
11K Views
Daaah nimesikitika sana baada kuziona hizi taarifa. Hivi madaktari wa Tanzania wanatumia aina gani ya vipimo vipimo vyao ni vya kubahatisha sana. Nakumbuka hata kwa ommidimpozi walituambia...
13 Reactions
102 Replies
14K Views
Kuna time ilifika hakuna msanii anayeangaliwa zaidi ya diamond na alikiba... Nakumbuka Barnaba aliwahi kusikika akisema imefikia wakati hawapewi nafasi ya kusikilizwa. Pia nilimsikia nay wa...
2 Reactions
32 Replies
10K Views
Hivi nyiye mnajuwa alikiba anafaidi sana bifu kuliko Diamond mana asingekuwepo diamond alikiba angekuwa ashapoteya ... sasa hili bifu la Clouds na Wcb wasafi limemuyumbisha Alikiba alikiba...
1 Reactions
2 Replies
832 Views
Hii imevujaa baada ya Adam Mchomvu kulopoka kabla ya tangazo rasmi kutoka afu wakajifanya kupotezea ila ndio ivo kesharopoka.
5 Reactions
157 Replies
22K Views
Msanii mkongwe na asiyesahaulika katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya dudu baya amekivua nguo kituo cha clouds fm kwa kuwaita ni wanafki wakubwa, wanyonyaji wa wasanii, na wenye kuharibia...
23 Reactions
223 Replies
23K Views
Fid Q uwezo wako unashuka sana, Fid Q wasasa si Fid Q wa miaka michache iliyopita Fid Q naheshimu sana uwezo wako wa kuandika japo flow yako si nzuri sana. Kuhusu kuandika Joh Makini hakwambii...
2 Reactions
46 Replies
8K Views
MSANII Naseeb Abdul (Diamond) leo anashikiliwa na polisi, siku moja tu baada Meneja wake Babu Tale kuhojiwa na kulala mahabusu kuhusiana na matumizi ya mavazi ya kijeshi katika onyesho la Fiesta...
3 Reactions
188 Replies
54K Views
Despite the profanities these guys are making beaucoup sense. For real, $55,000 for child support? Please..... YouTube - Broadcast Yourself.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Chris Brown, R&b crooner mwenyewe kiboko ya wabana pua ndani ya Dar fiesta Noma sana, triple threat he is a super dancer great singer and great artist jamaa mchoraji hatari.
0 Reactions
31 Replies
8K Views
Super business woman, Jokate Mwegelo amemuandikia AliKiba ujumbe mzuri ambao amedai umetoka kwenye sakafu ya moyo wake. Mwanamitindo huyo ambaye yupo karibu zaidi na mkali huyo wa wimbo ‘Aje’...
14 Reactions
91 Replies
14K Views
Salaam, Najiuliza kwa baadhi ya watanzania wenzetu, tatizo ni nini au tatizo liko wapi? Hivi wengine wakifanya kazi BOT, wengine wakawa TRA, wengine wakawa PUMA na wengine wakawa machinga na...
0 Reactions
0 Replies
944 Views
Msanii Diamond Platinumz amewapiga dongo Clauds media kwa kile alichokiita " Taratiibu Wameanza kushika adabu yao". "Mambo Yamekuwa Magumu hadi imebidi waombe poo na kuomba msaada kwa mlezi...
5 Reactions
47 Replies
7K Views
Mtoto WA Tandale ataperform nyimbo 52. Baada ya kuvutana sana kuhusu bei hatimaye Lemutuz athibitisha kushiriki.
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Hawa jamaa ni smart sana. Wanajua kabisa watu wa mtwara watakuwa washajazwa pesa za korosho kwa hiyo kuingia kwenye show ya 10000 kwao itakiwa sio issue. Kumbuka hapa mtu hata kama atakuwa bado...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Baada ya mdau Humble African kuweka hapa uzi Wakuu!! Njooni hapa tuongee na Fareed kubanda(Fid Q). - JamiiForums Hatimaye kuna page moja Instagram nayo iliupost na hatimaye kumfikia Fid Q kama...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Marais wa dunia walitajwa kuwa ni watanashati handsome,waafrika wamo Kenyatta na Nkurunzinza wametubeba. jionee mwenyewe. 1.Justin Trudeu -PM Canada 2.Tigme Khesar Namgyel Wangchuck- King Of...
3 Reactions
105 Replies
16K Views
Wanamuziki,kama Madee, Dogo janja( huyu yupo fiesta) Keysha Kassim mganga Tunda man Mbona hawapo kwenye tamasha la wasafi festival?
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…