Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Jamani Tasnia ya Bongo Movie haiishi Vituko. .. kila kukicha lazima kuna kiki Weekend ilikuwa Gigi Money Jana ni Dadaetu Johari Mdogowangu Johari nakupenda umetoka Mbali, umesotaaa sijui...
1 Reactions
77 Replies
12K Views
Gavana wa Mombasa Ali Hassan Joho Jumatatu, Desemba 31 alidhibitisha urafiki wake wa dhati kwa msanii wa Bongo Ali Kiba kwa kumsaidia baada ya mashabiki kufeli kuhudhuria tamasha yake ya mwaka...
1 Reactions
25 Replies
6K Views
But kuna watu wanasema jamaa kwisha, hajui Kuimba, anawezaje kuandaa shoo yenye kiingilio hiko? But kati ya hao wanaombeza waliwahi kumuomba ashiriki kwenye shoo yao akachomoa. Ifike mahala huyu...
4 Reactions
92 Replies
10K Views
sauti ya huyu mwanadada 'huwa inanifanya nijihisi daudi mbele ya goliath' namaanisha pindi nimsikiapo akiwa anaimba nasahau shida zote 'ghafla nijihisi nipo ndani ya pepo... Moyo unafarijika...
5 Reactions
32 Replies
3K Views
wanyonge wakichoka wanageuka waasi
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Actor anayekuja kwa kasi sana katika filamu za mapigano Jonathan Joancy wengi wamemzoea kwa jina la agent Bravo ndiye mtu pekee anayetazamwa kiumakini mkubwa haswa kwa wapenzi wa filamu za...
0 Reactions
17 Replies
6K Views
Mmh naona ben Paul siku hizi mambo yake super , anakula bata ughaibuni ( sio show) kama Hana akili nzuri . Huenda msanii huyo ndiye anayoongoza kwa kula bata expensive kwenye msimu huu wa...
1 Reactions
31 Replies
6K Views
1. Kutokufanya mazoezi 2. Ulaji wa hovyo vyakula vyenye mafuta 3. Ulevi kupita kiasi 4. Ngono zembe 5. Kuto fanya check-up ya afya yako angalau mara moja kwa mwaka. 6. Umasikini Hapa...
26 Reactions
38 Replies
5K Views
Habari JF members. Kichwa cha habari kama kinavyosema Watu bora kwa MWAKA 2018 na wenye mafanikio makubwa kwa MWAKA 2018. Mr.Lovebite kipenzi cha walimbende I am lavalava amesema...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Tuliokua Jana ukumbini au tunafatilia kwenye mitandao show nzima ya alikiba" Funga mwaka na king kiba" tulete mrejesho. Nakiri tu kwamba alikiba ni talented professional musician na atabaki kuwa...
13 Reactions
57 Replies
9K Views
Kama kichwa cha habari kinavyosema Siku kadhaa sasa Mtangazaji maarufu na msomaji wa taarifa ya habari clouds Tv Harris Kapiga haonekani Mjengoni,yuko kwenye kazi zake binafsi ya uhamasishaji...
0 Reactions
47 Replies
15K Views
Waungwana habari! Nimekuwa nikisikia mara nyingi watu wakisema msanii ni kioo cha jamii. Wamekuwa wakisema hivyo kwa maana kwamba watu humtazama msanii na maisha yake na wao huishi vivyo hivyo...
1 Reactions
11 Replies
4K Views
Wameonyeaha creativity ya hali ya juu
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Akiongea na bongo5 msanii Abdul Kiba amesema Mbosso ni moja kati ya wasanii anaowasikiliza sana mwaka huu 2018. Na wimbo anaoupenda zaidi ni Nadekezwa... Kiba aliyasema hayo huku akiimba kwa hisia...
2 Reactions
21 Replies
5K Views
The biggest lesson learned this year 2018 is probably to not give so much of yourself to people who will not do the same for you! #mdgoat Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
11 Replies
2K Views
mwanaume wa nguvu huwezi kuta anaongea hivi aisee hebu tanzama hiyo link mahojiano yake na bongo5
3 Reactions
140 Replies
20K Views
Ndio maana msela alipoona Diamond kaanzisha mahusiano na Tanasha, King Akaamua kuachia ngoma ya Yeeeebabaaaaaaa aaaaaa! Sikujua hicho kionjo kilikuwa kinalennfa Nini ila Sasa nimeshajuwa
0 Reactions
18 Replies
5K Views
Kijana diamond toka alipoanza kufahamika mwaka 2009 kupitia wimbo wake wa nenda kamwambie amekuwa ni mtu wa kupanda tu bila kutetereka... licha ya kutabiliwa mabaya mengi lakini wapi.... Kuna...
5 Reactions
28 Replies
6K Views
A stunning African beauty! Sent using Jamii Forums mobile app
8 Reactions
31 Replies
4K Views
Kiukweli hakuna kitu kinachotuumiza kichwa kama chanzo cha mapato cha Irene Uwoya. Nimejaribu kupeleleza sana haswa kwa watu wa karibu wa Irene Uwoya nipate kujua anafanya kazi gani lakini...
3 Reactions
82 Replies
17K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…