Jamani Tasnia ya Bongo Movie haiishi Vituko. .. kila kukicha lazima kuna kiki
Weekend ilikuwa Gigi Money Jana ni Dadaetu Johari
Mdogowangu Johari nakupenda umetoka Mbali, umesotaaa sijui...
Gavana wa Mombasa Ali Hassan Joho Jumatatu, Desemba 31 alidhibitisha urafiki wake wa dhati kwa msanii wa Bongo Ali Kiba kwa kumsaidia baada ya mashabiki kufeli kuhudhuria tamasha yake ya mwaka...
But kuna watu wanasema jamaa kwisha, hajui Kuimba, anawezaje kuandaa shoo yenye kiingilio hiko? But kati ya hao wanaombeza waliwahi kumuomba ashiriki kwenye shoo yao akachomoa.
Ifike mahala huyu...
sauti ya huyu mwanadada 'huwa inanifanya nijihisi daudi mbele ya goliath' namaanisha pindi nimsikiapo akiwa anaimba nasahau shida zote 'ghafla nijihisi nipo ndani ya pepo...
Moyo unafarijika...
Actor anayekuja kwa kasi sana katika filamu za mapigano Jonathan Joancy wengi wamemzoea kwa jina la agent Bravo ndiye mtu pekee anayetazamwa kiumakini mkubwa haswa kwa wapenzi wa filamu za...
Mmh naona ben Paul siku hizi mambo yake super , anakula bata ughaibuni ( sio show) kama Hana akili nzuri . Huenda msanii huyo ndiye anayoongoza kwa kula bata expensive kwenye msimu huu wa...
Habari JF members.
Kichwa cha habari kama kinavyosema
Watu bora kwa MWAKA 2018 na wenye mafanikio makubwa kwa MWAKA 2018.
Mr.Lovebite kipenzi cha walimbende I am lavalava amesema...
Tuliokua Jana ukumbini au tunafatilia kwenye mitandao show nzima ya alikiba" Funga mwaka na king kiba" tulete mrejesho.
Nakiri tu kwamba alikiba ni talented professional musician na atabaki kuwa...
Kama kichwa cha habari kinavyosema
Siku kadhaa sasa Mtangazaji maarufu na msomaji wa taarifa ya habari clouds Tv Harris Kapiga haonekani Mjengoni,yuko kwenye kazi zake binafsi ya uhamasishaji...
Waungwana habari!
Nimekuwa nikisikia mara nyingi watu wakisema msanii ni kioo cha jamii. Wamekuwa wakisema hivyo kwa maana kwamba watu humtazama msanii na maisha yake na wao huishi vivyo hivyo...
Akiongea na bongo5 msanii Abdul Kiba amesema Mbosso ni moja kati ya wasanii anaowasikiliza sana mwaka huu 2018. Na wimbo anaoupenda zaidi ni Nadekezwa... Kiba aliyasema hayo huku akiimba kwa hisia...
The biggest lesson learned this year 2018 is probably to not give so much of yourself to people who will not do the same for you! #mdgoat
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana msela alipoona Diamond kaanzisha mahusiano na Tanasha, King Akaamua kuachia ngoma ya Yeeeebabaaaaaaa aaaaaa! Sikujua hicho kionjo kilikuwa kinalennfa Nini ila Sasa nimeshajuwa
Kijana diamond toka alipoanza kufahamika mwaka 2009 kupitia wimbo wake wa nenda kamwambie amekuwa ni mtu wa kupanda tu bila kutetereka... licha ya kutabiliwa mabaya mengi lakini wapi....
Kuna...
Kiukweli hakuna kitu kinachotuumiza kichwa kama chanzo cha mapato cha Irene Uwoya.
Nimejaribu kupeleleza sana haswa kwa watu wa karibu wa Irene Uwoya nipate kujua anafanya kazi gani lakini...