Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Msanii mbosso Khan a.k.a Mr romantic au unaweza kumwita jina lingine muhindi wa kibiti amefurahia kufikisha miaka 2 tangu ajiunge na record label kubwa ya WCB na tangu hapo ameteka mioyo ya...
11 Reactions
115 Replies
16K Views
Aman iwe nannyi wakuu Nataka leo tumalize ubishi mazee Iv ni msanii gan wa rap yaan hip hop anaweza fikia hata nusu ya fidq kwa michano na mistar iliyoenda shule Je kuna msanii mgumu kama fidq...
1 Reactions
181 Replies
26K Views
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu Yule dada mrembo wema isack sepetu, madam, sepenga ambaye aliwah kuwa kada wa chadema na sasa kutimukia ccm...
5 Reactions
147 Replies
16K Views
Moja Kati ya Jambo nimeona Kuna improvement kwenye mziki wetu ni suala la ubunifu wa majukwaa na hii imechangiwa na competition ya matamasha yetu especially Wasafi festival na fiesta kwa upande wa...
3 Reactions
19 Replies
2K Views
Mkali wa R&B Duniani Chris Brown amefanya mnada wa uuzwaji bidhaa zake ambazo tayari ameshazitumia au kuzivaa hasa nguo na viatu nyumbani kwake, mnada ambao utachukua siku mbili na jana. =====...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Wakuu Kwema?? Weekend hii nikiwa zangu Home napumzika baada ya Pilikapilika za Week nzima nikasema nipitie Channels za TV za Music hapa Bongo nione wana Mpya gani. Mara ukaja Wimbo wa Young D wa...
5 Reactions
39 Replies
6K Views
Kuna kipindi kipya kinaitwa cruise kareok,kuanzia saa 3 usiku hadi saa 6 jumatatu hadi alhamisi,kuna watangazaji wapya Mayaga Shishi na Kid Kiomboi wakiwa na King smash na Queen Fifi,yaani kipindi...
6 Reactions
23 Replies
4K Views
Msanii wa kimataifa kutoka Tanzania Diamond Platnumz aweka record ya kuwa most African artist mwenye subcribers wengi baada ya kufikisha million 3 na hii imefanya uongozi wa YouTube kumpa...
4 Reactions
24 Replies
5K Views
Chid Benz akiwa stejini akiperform kwenye show ya Harmonize alibamba mashabiki kwa dk chache halafu akasema "napiga hii show kwa laki 3 tu kutoka kwa Rajabu Hassan ,kisha akashuka stejini. Hii ni...
8 Reactions
64 Replies
9K Views
  • Closed
ALBERTO MSANDO GIGY MONEY A to Z ya Video Chafu ya Gigy Money na Wakili Msando...Msando Adai Gigy Amelipiza Kisasi Aibu! Siri nzito imevuja baada ya video chafu iliyomhusisha wakili maarufu hapa...
3 Reactions
759 Replies
148K Views
Aman itamalaki Mavoko umeshuka sana kimziki haukiki wala hausikiki kabisa nyota yako imefifia na huna tena ngoma kali Sitaki kuhusisha na kuondoka kwako wasafi na kushuka kwako No ila tu...
2 Reactions
13 Replies
3K Views
Mondi ametangaza anakwenda tour Europe akiambatana na bendi na dancers. Live band! Hii itakuwa ni mara ya kwanza kwa msanii wa BONGO FLEVA kufanya hivi katika historia na nchi inayonyemelewa na...
8 Reactions
54 Replies
4K Views
Inasemekana atatua bongo next month ,kushoot project yake mpya ambayo haijawekwa wazi
1 Reactions
30 Replies
4K Views
Haka kadada nilikua nakachukia, kalikua kana mapepe mno na nyodo flan hivi , ila toka wanazengo wampe makavu Naona siku hizi akili zimemrudia, kako focused hakana mapepe kama zamani, ameanza kukaa...
1 Reactions
26 Replies
5K Views
Kazi nyingine toka kwa hamo, Je unaipa alama ngapi kati ya 10? Hainistui Lyrics – Harmonize Intro chorus Yaaweya, Jeshi Konde Boy Hainistui, Hainistui, Hainistui Apa nilipo kesho yangu siijui...
9 Reactions
142 Replies
29K Views
Demi Rose prides herself on her voluptuous curves which she regularly shows off in sexy photoshoots. But one part of her body has changed more than any other - her bountiful bum. Not its confirm...
0 Reactions
1 Replies
34K Views
I smell a fish To me the death of Kobe Bryant sound like it was premeditated. Ndege haiwezi kulipuka yenyewe bila sababu hasa ikizingatiwa kuwa kabla ya kuruka ili fanyiwa thoroughly check up...
23 Reactions
325 Replies
35K Views
Wiki hii baadhi ya watu maarufu kutoka Ghana wametrend Sana kutokana na kauli zao ukiachana na kauli ya mchungaji Nigel Gaisie aliyedai atamfufua Kobe Bryant kama atapata 10% ya Mali zake...
1 Reactions
23 Replies
4K Views
Akijibu juu ya kupendwa sana na kusababisha taflan mitandaoni, a 31 years old Diva Gissele Malinzi au Al maarufu Kama Diva' Mtangazaji wa #Alazaroho ya Cloudsfm , anasema yeye huwa hajali wala...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…