Muigizaji wa Filamu Nchini Tanzania Hawa almaarufu Carina amefariki Dunia akiwa Nchini India ambako alikuwa anapatiwa matibabu
Hawa alitarajiwa kurejea Leo Nchini Tanzania baada ya kufanyiwa...
Sina wa kumlaumu, niilijipoteza mwenyewe, Kwa sehemu kubwa Jamii hainitazami tena kwa jicho la Usaidizi, Jamii inanitazama kama Mlevi au Teja, Lakini pengine Mimi ni Mfano hai unaoweza kutumika...
Ni Wajih Sheikh,..., namumiss sana. Allikuwa ni favourite wangu mkubwa sana. Ilikuwa waki-team up na Othman Miraji, utapenda kuwasikiliza bila kikomo. I really miss him!
Miongoni mwa sintofahamu inayoendelea ni kutojulikana alipo aliyekuwa staa wa Bongo Movies, Mikalla aliyeng’ara kwenye Filamu ya The Lost Twins akitumia jina la Anita; filamu iliyoandaliwa na...
Ipo video inakwenda viral mtandaoni inamuonyesha huyu dada anajiita "Lulu" , Lulu Mapunda ambapo anasema watu walifika kwenye sehemu yake ya biashara wametaka kumteka ikabidi atoroke upesi.
Hii...
Nyota wa Bongo Fleva, diamondplatnumz , ametunukiwa Cheti Maalum cha Heshima baada ya kufanikisha kuuza tiketi zote na kujaza ukumbi maarufu wa Royal Albert Hall jijini London, Uingereza.
Huu ni...
Wakuu, naona Rose Ndauka amejitenga na uchawa tofauti na wasanii wenzake, kwakweli tunahitaji wasanii wa aina hii Cc Waufukweni
Kupitia Instagram page yake ameandika:
"Kwa yanayoendelea...
Ni nani Leo angejua mtoto wa kimasikini kutoka Tandale angefanya Show Uingereza London na ticket kuwa sold out
In this life everything is possible keep chasing ur dreams and don't give up.
Kiukweli nimesikitishwa sana na uandaaji wa kampuni hii ya BRITTS EVENTS iliyoandaa show ya Stuttgart Germany.
Kinachoniuma na kunisikitisha zaidi ni jinsi watu walivyoamua kujitolea kuja...
Wakuu
Tusimame pamoja tupaze sauti tusiyakalie kimya haya yanayoendelea, kama jirani yako hayupo salama ina maana hata wewe haupo salama.
===
Msanii wa muziki Vitali Maembe ametoa wimbo...
C&P kutoka kwa mwandishi akielezea maisha yake haya
Hili gazeti ni la kusoma kwa wiki nzima... Soma taratibu usije fukuzwa kazi huko. Nipo busy si update blog mpaka Friday au Saturday so hii...
Huyu hapa Mbosso aka Mshedede.
Alipotoka kwenye lebo namba moja Africa Mashariki ya WCB kila mtu alisubiri kuona anafanya nini.
Kiukweli nathibitisha sasa Mbosso ameiva.
First touch yake ni...
Nyota wa zamani wa klabu maarufu za Ajax, PSG, AC Milan, Barcelona na Manchester United, Zlatan Ibrahimovic, ambaye kwa sasa ni mshauri wa uongozi wa mabingwa mara saba wa Ligi ya Mabingwa Ulaya...
Wakuu hapa tulipofika mbona kama pabaya. Kuna haja gani ya kumtishia kisa tu ameisapoti No reforms, mbona hao chawa wao wanasapoti Oktoba wanatiki na hakuna aliyewatishia?
Hakuna haja ya...
Mods: Naomba msiihamishe thread hii; nimepata tabu sana kuipata. Kumbukeni wana JF wana haki ya kujua matokeo ya kura zilizopigwa.
Katika Mchakato wa Kumtafuta JF Man of the Year 2010 uliohusisha...
Nikiri tu kwamba mimi namchukia sana huyu dogo. Sababu ni moja tu, kuonesha dharau na Chili kwa mtu aliyemsaidia. Sote tunajua maisha yalivyo magumu mtaani. Sasa ukipata mtu akushike mkono...
https://www.instagram.com/reel/DK2yiqMNG2v/?igsh=aTdsZGNiMHc5bThn
Ni kama ndoto ambayo imegeuka kuwa kweli.
Msanii wa bongofleva kujaza ukumbi mkubwa kwenye jiji la London.
Diamond ameweka...
Rais wa TFF Wallace Karia,amemshitaki Haji Sunday Manara,kwa tuhuma za kuchapisha maandiko mbali mbali kwenye mitandao yake ya kijamii ya kumtaka Rais huyo ajiuzulu kwa tuhuma za TFF kudaiwa na...
Hakika zama zimebadilika sana.
Katika kupita mtandaoni nikakutana na picha ya msanii Platform.. Imenifikirisha sana. Itafikia muda sasa jinsia ya kiume kuwa na mionekano ionekane ni sahihi tu...
Huyu mtangazaji hivi sasa anaendesha kipindi cha ujumbe katika muziki,ana sauti nzuri na anatangaza vizuri na kwa hisia.
Ameanza na wimbo wa sauda aliyepata mimba nje ya ndoa wakati mumewe yuko...