Muigizaji na mchekeshaji maarufu Zimwi amekuwa akisumbuliwa na maradhi kwa muda mrefu
Hivi karibuni amefanya mahojiano na waandishi wa habari na kuwaeleza kuwa yeye ni baba wa mtoto mmoja na...
Kwa muda mrefu kumekuwa na hiyo ligi kama card b kimuziki yuko vizuri kuliko Nick Minaj ila binafsi kila nikijaribu kusikiliza ngoma za huyu mwamama card b nashindwa kabisa kuzielewa nabaki...
Huyu mmakonde alisema tarehe 8 mwezi huu anaachia album kama kawaida yake huwa anaachia usiku wa kuamkia ijumaa Sasa mpaka Sasa hivi yupo kimya hata majina ya nyimbo hajapost je amewafanya...
Msanii maarufu wa muziki wa Hip Hop kutoka Tanzania, Nikk Mbishi, amepata pigo kubwa kufuatia kifo cha baba yake mzazi, John Marwa Machuche, kilichotokea tarehe 02 Agosti 2025.
Msiba ulihudhuriwa...
Any way tukiwa tunasubiri Daku ngoja tupitishane humu kwanza,
Kwa kizazi cha sasa kinaweza kuwa hakilifahamu hili jina la Steve Kabuye aka Steve kafire mtu mwenye Sauti yenye mamlaka pale...
Nani anamfahamu vizuri pastor Tony kapola.
Kanisa lake liko wapi ?
Nilisikia liko morogoro kutwa yupo Dar,dodoma
Kwanini waumini wake na mke wanavaa nguo za ovyo ?
Inakuaje ameungana na hawa...
Karibu sana Mdogo wangu Diamond katika Umri wa utu uzima, Sasa wewe jijuwe sio Kijana Tena, Kwa maana Umri wa ujana mwisho ni miaka 35. Kama ilivyo Kwa mwanamama Jokate ambaye naye si kijana Tena...
Taharuki hii ilianza baada ya binti mzungu anayeitwa Sweeney kuwekwa kwenye tangazo la American Eagle. Tangazo hilo limefanya vizuri sana kibiashara, lakini kwa upande mwingine, lilizua kilio...
Ashraf Hakimi , mchezaji wa timu ya PSG ya Ufaransa, unaweza kusema ni Mungu anampenda, pia maombi ya mama yake yanamsaidia.
Kwa mara nyingine mwamba amenusurika kufanyiwa umafia na mpenzi wake...
Kuna stori ilisambaa eti Ngwea alibeba madawa tumboni kuyaleta TZ baada ya show aliyofanya South, hiki kitu hakijawahi kumake sense
Soko la madawa kubwa zaidi kwa Africa lipo South Africa, Madawa...
Kuna viitikio ninavyokumbuka TBT kutokana jinsi baadhi ya wadau walivyotafsili ktk Nyimbo mblmbl
1.wimbo wa AY ,YULE ktk kiitikio Cha wimbo huo
nampenda sana jinsi alivyoo
yuleee nampenda sana...
Wakali wa movies Sina haja ya kumuongelea Tom Cruise ni nani wengi wenu mtakua mnamfahamu
Ila nimeumia sana sana kama vile ndio mke wangu huyu, anapiga hii mashine nadhan mnamfaham huyu dada...
Nimeskiliza ngoma zote za album ya Alikiba ngoma zimepoa sana. Kati ya nyimbo zote nimependa nyimbo mbili tu
*Niteke
*Let me
Nyimbo zingine zote hamna kitu na marudio tu ya ngoma zake...
Wapi alipo Misanya Bingi?
Alikuwa kati ya watangazaji mahiri ndani ya ITV na Redio One na aliongoza vipindi mbali mbali ikiwemo Kipusa akirithi mikoba ya Abdallah Majura.
Ningependa kujua alipo...
Hello wakubwa (weka mbali vijana wa 2000)
Leo nimemkumbuka sana huyo dada NANCY MITIKISIKO SALAMBA,Yupo wapi siku hizi ?
Ana chimbo jipya?Kama anachimbo jipya tuambiane wakuu
Vitu vyake vilikua...
Wakuu,
Sema kuna watu wana siri jamani.
Mbona kwenye harusi hakuwa hivi?
Kwa jinsi wanavyopenda shughuli hawa wawili unaweza kuta BABY SHOWER ikafanyikia Nigeria na Tanzania.
Ngoja tuone!
Hii diss-track aisee ambayo motra ameitoa like seven days ago ni noma sana according to my ears, Mex Cortez needs a serious comeback. Hajamuacha mtu salama humo hadi kina Freddy Mullah, Conboi...