Mayunga234
JF-Expert Member
- Feb 17, 2017
- 1,726
- 1,989
Nimeskiliza ngoma zote za album ya Alikiba ngoma zimepoa sana. Kati ya nyimbo zote nimependa nyimbo mbili tu
*Niteke
*Let me
Nyimbo zingine zote hamna kitu na marudio tu ya ngoma zake zingine.
Ngoma chache sana ndo zenye vibe, na siku hizi watu wanapenda ngoja zenye vibe sio za kuskiliza
Tupe maoni yako juu ya hii Album ya Alikiba #Onlyking
!Ila king atendelea kuwa king tu!
*Niteke
*Let me
Nyimbo zingine zote hamna kitu na marudio tu ya ngoma zake zingine.
Ngoma chache sana ndo zenye vibe, na siku hizi watu wanapenda ngoja zenye vibe sio za kuskiliza
Tupe maoni yako juu ya hii Album ya Alikiba #Onlyking
!Ila king atendelea kuwa king tu!