Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Yule mrembo matata ambaye kwa sasa yupo karibu sana na msanii matata wa kiume a.k.a Jux, amekiri kupitia kituo kimoja cha redio kwamba Jux ako na hela mingi kuliko Mondi sema hana kelele na wako...
2 Reactions
40 Replies
6K Views
Kama. Kawaida yake ni mmoja wa ma MC wakali sana wanaosimamia misingi ya kweli ya HipHop, hivi sasa yupo nchini Marekani kama kawaida yake na safari za Ughaibuni. Hiyo video akiwa University of...
12 Reactions
74 Replies
8K Views
Kapo pendwa kunako Bongo Fleva, Billnass au Nenga na Nandy ‘The African Princess’ wanatarajia kufunga ndoa Juni 25, mwaka huu. Hiyo ni kwa mujibu wa Baba wa Nandy, Charles Mfinanga alipokuwa...
13 Reactions
109 Replies
14K Views
Taji la u-legendary, 'Hall of Fame' wa Bongo Flavour. Kwanini? 1. Tumekua nae katika tasnia hii. 2. Hajawahi kukata tamaa kupigania tasnia ya Bongo Flavor. 3. Ameyahimili mabadiliko ya...
10 Reactions
117 Replies
19K Views
Hii dunia inapoelekea ni hatari. Watoto watakosa malezi ya baba, huu ni ubinafsi wanaofanya hawa wadada
4 Reactions
37 Replies
7K Views
Wimbo wenyewe unaitwa Sikiliza na marehemu Ngwair ndiye aliyekuwa Mastermind. Aliwashirikisha wasanii Lady Jay Dee na Mwana FA. Japokuwa Ngwair alishatangulia mbele za haki ila kwenye huo wimbo...
1 Reactions
69 Replies
7K Views
Je diamond platinum kapotezwa na Harmonize.. au bado.. piga kura
1 Reactions
44 Replies
6K Views
Wanasema huyu alikuwa ni mchezaji wa zamani wa Simba au wametengeneza? Hapa mimi namwona msaani wa Bongofleva!
0 Reactions
11 Replies
2K Views
  • Closed
Nakupa pole kwa yaliyomkuta mama yako leo kuwekwa hadharani kwa ile video alopost Mange Kimambi kama mtoto utakua umeumia sana kama mm tuu nimeumia hivi sembuse wewe? Jamani mama zetu nini...
2 Reactions
38 Replies
7K Views
Ndiye king of freestyles zinazomake sense na hajuna anaepinga, unashauriwa kuwa na dictionary pembeni maana nahisi anajua maneno yote, Ole wako!!Ole wako ujitie wenda wazimu uanzishe bifu na hiki...
27 Reactions
185 Replies
32K Views
Bruce lee Alikuwa mwana kareti wa kichina na Muigizaji mashuhuri wa Filamu. Aliweza kufanya mambo yasiyo ya kawaida ya kustaajabisha . Alikuwa na Uzani wa pondi 350 kipimo cha uzani wa mapigo...
21 Reactions
59 Replies
7K Views
Ex wa Grand P mwanadada Eudoxie hivi karibuni amekuja na muonekano mpya wa mavazi Mwandada huyu amekuwa kwenye mahusiano na Grand P kwa muda mrefu jambo lililoibua hisia nzito kwa mashabiki wengi...
6 Reactions
77 Replies
11K Views
Icon wa bongo fleva bwana Diamond Platnumz wengi wetu wanahisi kama ni mjenzi huru kutokana na maisha yake matanuzi yake mafanikio yake na endorsement zake. Lakini cha kushangaza ukiachana na...
3 Reactions
15 Replies
1K Views
JE WAJUA SABABU YA HARMONIZE KUJIITA "ROBERT"? Anaandika, Robert Heriel. Kwanza nimpongeze Msanii Harmonize Kwa kujifaraguza kubadilisha jina Kwa sababu ya Mapenzi aliyonayo Kwa Kajala, na...
11 Reactions
40 Replies
5K Views
Wadau habari... Kuna waimbaji na waigizaji ambao ilifika kipindi wakaamua kuachana na kazi zao hizo na kuamua eidha kuendelea na kazi hiyo kwa njia ya kuridhiwa na Mola (mfano qaswida, gospel na...
2 Reactions
38 Replies
4K Views
Binafsi kwa sasa sijaona msanii mwenye kipaji cha aina ya Aslay kwenye bongofleva kwa sasa. Huyu kijana ana uwezo mkubwa mpaka sioni wa kumfananisha nae kwa sasa, kumekuwa na mjadala Diamond...
2 Reactions
21 Replies
10K Views
Nimekuwekea ujumbe husika na picha
1 Reactions
10 Replies
2K Views
The last pre-trial hearing before R. Kelly's federal sex-trafficking trial begins next week featured a laundry list of what will and won't be heard by the jury, including his secret marriage to...
2 Reactions
65 Replies
11K Views
Habari za jioni wanajamvi. Taarifa nilizozipata punde zinasema mfalme huyo wa taarabu anaacha rasmi mziki huo na kumrudia mungu. Mungu amjaalie wepesi afanikiwe katika dhamira yake UPDATES...
9 Reactions
322 Replies
86K Views
Wakuu Huu ndio Muonekano wa Modonna and her adopted son David Banda. . Kama mtakumbuka Kijana Huyu David was adopted when he was 13 months from Malawi [emoji1156] . Daaaah Kijana David ameshapotea...
18 Reactions
193 Replies
23K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…