Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

BONGO FLEVA NI STORY YA SUGU, MIKE NA TAJI JOSEPH Mbilinyi ‘2 Proud’, kazi yake “Ni Mimi" ndio wimbo wa kwanza wa Swahili Rap kusikika Radio One Stereo mwaka 1994. Vilevile akawa Rapper wa...
34 Reactions
93 Replies
11K Views
Jana usiku wakati nachapa code za JavaScript (hii language siipendi basi tu!!) huku nasikiliza album ya Joyner Lucas -ADHD kuna wimbo mmoja unaitwa 10 Bands uli-popup. Ndani ya ngoma hii...
95 Reactions
262 Replies
44K Views
Huyu mtu hata akiwa kwenye mazungumzo ya kawaida na mtu/watu, EarPods hatoi. Na anahakikisha zinaonekana. EFM jogging nako, akiwa jogging na masela basi kila siku picha apigwe yeye tuuuuuuu...
24 Reactions
65 Replies
7K Views
Hello 👋 Ingependa kujuzwa kwanini Celebrities wengi hasa actors wa hollywood wanapenda kuoa wanawake waliowazidi umri. Tatizo ni nini hasa maana kwa pesa na umaarufu wao wanaweza kupata mwanamke...
9 Reactions
60 Replies
9K Views
Lucky Dube anatimiza miaka 10 tangu auwawe kwenye eneo la Rosettenville, Johannesburg, Afrika Kusini. Hii ilikuwa tarehe 18/10/2007. Dube aliyeuwawa akiwa na umri wa miaka 43, alizaliwa sehemu...
38 Reactions
210 Replies
45K Views
Orodha ipo hapa. Inashangaza mtu kama Davido, Wizkid & Burna boy hawapo kwenye orodha hii. Icheki hapa. Utashangaa
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Huyu hapa mshindi wa Supa Diva 22 inayosimamiwa na Fiesta kipindi cha kuendesha show za fiesta mikoani. Afichua siri ya mafanikio yake hadi kushinda. Full story:
3 Reactions
7 Replies
2K Views
Ikiwa ni saa chache baada ya Zuchu kupitia page yake ya Facebook aliwaeleza washabiki wake malalamiko zidi ya kudhalilishwa na ustadh Jumaa yeye na familia yake kuhusu kuruhusu kila wakati...
5 Reactions
29 Replies
6K Views
1) SHAHRUKH KHAN (UTAJIRI$600 Million) Huyu ndie actor namba moja mwenye mkwanja mrefu kwa india, wenyewe wahindi wanamwita “THE KING OF BOLLYWOOD” . amezaliwa 2 November mwaka 1965 mjini New...
5 Reactions
246 Replies
67K Views
Nimeamka asubuhi nikakutana na ujumbe kutoka kwa rafiki yangu ambae ni mfanyakazi wa Airtel (TSM), akiwa amenitumia Tangazo jipya la Joti. Nikatabasamu kwa kuwaza kwamba Airtel wamefanikiwa...
13 Reactions
70 Replies
8K Views
Huyu mtu mbona Mamlaka za nchi hii zinazo heshima kubwa kwake? Yupo bungeni leo lakini unaweza kuona mara zote hukaa kwenye viti vya watu mashuhuli kabisa! Ni nani huyu mtu kwenye siasa za...
1 Reactions
23 Replies
3K Views
Rapa na mfanyabiashara huyo ameiandikiwa barua kampuni ya GAP na kuijulisha rasmi kwamba atasitisha ushirikiano wake na kampuni hiyo ya mavazi, Ushirikiano huo uliokuwa kwenye misukosuko ulianza...
4 Reactions
18 Replies
3K Views
Hawa jamaa jana tarehe 13/09/2022 kwenye sherehe za kumuapisha Rais mteule wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Kenya Mhe.Ruto walifanya makubwa sana walipowainua na kuwachezesha maelfu kwa mamia ya...
14 Reactions
23 Replies
5K Views
DJ wa harmonize ajulikanaye kwa jina la DJ Seven atajwa kushindania tuzo za Afrimma. Wametajwa wasanii wengine was bongo. Full story hapa:
3 Reactions
3 Replies
914 Views
Nimeiona hii nikaona isinipite nishee na wenzangu. Hivi, kama mtu atasaliti dini, kumsaliti binadamu mwenzake je? Full story
3 Reactions
38 Replies
3K Views
Ina maaana Mrema na ushushu wake hakufanya due dilligence? Sasa mbona anadaiwa kupora mke wa mtu? 👇 Ndoa ya Mwenyekiti wa Chama cha TLP, Augustino Mrema imeibua utata...
11 Reactions
79 Replies
10K Views
Vigezo vilivyotumika: 1. Muziki wenye ujumbe maridhawa 2. Nyimbo zenye uhalisia wa maisha ya Tanzania 3. Mashairi yanayochochea fikra za kimapinduzi 4. Ubora wa kazi zenyewe 5. Muziki unaoishi...
5 Reactions
65 Replies
5K Views
Wapinzani wake wanasema kuwa anatumia juhudi nyingi sana za mazoezi na kujizuia kula ili asinenepe. Kweli ni mnene anayejikondesha ama ni kimbau mbau wa asili?
5 Reactions
45 Replies
5K Views
HONGERA MKUU Pongezi tele kwa mbunge wa Mikumi, Joseph Haule "Profesa Jay" kwa kuipa mkonon wa kwaheri klabu ya ukapera.
18 Reactions
238 Replies
31K Views
Back
Top Bottom