Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Nimeanza kufuatilia Muziki huu wa Hip Hop hapa Bongo kwa kipindi kirefu sasa nimeshihudia list kubwa sana ya wasanii wanaofanya Muziki Aina ya Hip Hop wakiwa wanaonekana kwenye muonekano wa kuvaa...
2 Reactions
9 Replies
422 Views
1. International best author and motivational speaker kutoka Tanzania akifurahia ndoa na mkewe halali. 2. Ikumbukwe pia Mheshimiwa Dr Nanauka aliwahi kuonyesha Nia Kwa Wadada kadhaa (akiwemo...
37 Reactions
271 Replies
17K Views
Washkaji Wenye Vipaji (2002, Cassette) ✍🏾washkaji Wenye Vipaji ni jina la kutaja albamu ya muziki wa kizazi kipya yenye nyimbo mchanganyiko kutoka kwa wasanii mbalimbali wa Tanzania. Wasanii hao...
1 Reactions
5 Replies
219 Views
Mwanamuziki mkongwe nchini Mzee Zahir Ally Zoro ambaye pia ni baba mzazi wa Banana Zoro, amepost picha hii kwenye ukurasa wake wa Facebook na kuandika maneno haya "Chilling at Kisota. Marafiki...
9 Reactions
59 Replies
2K Views
CREW YA KWANZA UNIT . waanzilishi wa "Kwanza Unit" ilikuwa ni Muunganiko wa makundi matatu makuu ya hip-hop kwa kipindi hiko. Makundi hayo ni kama ifuatavyo.. 1. Villain Gangsters 2. Raiders...
6 Reactions
9 Replies
791 Views
NAFSI YA MTU. Watu pori a.k.a washamba a.k.a washamba a.k.a washamba /nyani wapya msitu wa zamani beat mjerumani mambo yote kwa Bonnie/ Verse ..1 ( mc koba) Sikiliza haya ninayo kueleza leo na...
1 Reactions
1 Replies
187 Views
KAZI YAKE MOLA - MADEE Madee Seneda amefunguka na kudai siri ya wimbo wa kazi yake mola kufanya vizuri mpaka sasa ni kutokana na kutuliza kichwa wakati anaandika mashairi yake tofauti na vijana...
3 Reactions
0 Replies
191 Views
Nilianza kuangalia movie yake kitambo akiwa kijana kabisa ikiitwa mississippi masala, zikaja Training Day, Dejavu, Man on fire, Inside job, American gangster, Great debetors, Malcom X, Manchurian...
35 Reactions
171 Replies
8K Views
Hii ni kwa wale wapenzi wa muziki mzuri, hawa wote wanafanya Vizuri. Wizkid nyimbo zake(na alizoshirikishwa kama, sound it, ojuelegba, NOWO) Davido pia unaskia kwenye FIA, FALL, IF, na nyingine...
0 Reactions
100 Replies
15K Views
Mwamba anasema yeye alikuwa mshindi wa pili na alichoambulia ni kupewa ticket za go and return kwenda capetown, bed and breakfast. Alipowaambia kama anaweza kubadili wampe pesa, walikataa...
21 Reactions
142 Replies
9K Views
Eric Dane, mwigizaji mwenye sura ya kuvutia na haiba aliyewasha moto katika tamthilia ya “Grey’s Anatomy” wakati tamthilia hiyo ilipokuwa kwenye kilele cha umaarufu, amefariki dunia, kwa mujibu wa...
2 Reactions
6 Replies
506 Views
Hawa ni wasanii ambao wametoa ngoma kali na kuweza kuhit ukanda wa ziwa wote. Ni wasanii ambao wanajaza sana kwenye show zao. 1. Malingita 2. Bhudagala mwanamalonja 3. Bahati wa bugalama 5...
17 Reactions
97 Replies
28K Views
Soma pia: Nicki Minaj akiwa UN: Nigeria Wakristo wanashambuliwa, wanafukuzwa majumbani mwao na kuuawa “I love Nicki Minaj,” President Trump told guests at the White House Black History Month...
2 Reactions
6 Replies
396 Views
Copy and Pest from lemutuz PART 1 Safari yangu ya USA ulikua ni uamuzi wangu mgumu wa kuacha Ubaharia nikiwa Melini "MV. Luxemburg"ICMB Belgian Shipping Line tukiwa South China Sea tunatokea...
67 Reactions
2K Replies
560K Views
WATU PORI " AFANDE SELE & MC KOBA" NELIE NA NANI Intro: Afande sele Mh..!! Aah.!! Mapenzi Hahahaha Ooh..! Labda haikuwa Bahati Yangu Bwana Haya Aah..! Sawa Chorus: MC koba Mwezenu nalia Nilie...
1 Reactions
1 Replies
356 Views
  • Redirect
2 Reactions
Replies
Views
Saida Karoli Amezaliwa mkoani Kagera tarehe 4 Aprili 1976 ni mwanamuziki wa nyimbo za asili ya Kihaya Saida alipata elimu ya msingi mwisho darasa la tano tu, ambapo ilibidi aache shule kutokana...
1 Reactions
2 Replies
520 Views
Kadri unavyokua na kusonga mbele maishani, unawapoteza baadhi ya marafiki, kwa sababu hiyo inaitwa kuziba pengo. Hili pengo ndilo lilikuwepo tulipoanza safari pamoja. Kadri unavyokua, utaona wewe...
10 Reactions
16 Replies
501 Views
HISTORIA FUPI YA DJ SWEET FRANCIS BUNDALAIMG-20260217-WA0000.jpg Sweet Francis jina kamaili ni Francis James Bundala,mwaka 1964 alianzisha bendi iliyoitwa The Screemers na Dj Sweet Francis akiwa...
0 Reactions
0 Replies
232 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…