Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Mwimbaji wa nyimbo za Injili kutoka Rwanda, Gloriose Musabyimana, maarufu kama Gogo, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 36 nchini Uganda. Taarifa zinasema alifariki usiku wa Septemba 3, baada...
4 Reactions
17 Replies
2K Views
Haya ni maneno ya Msanii wa bongo Flavor BekaFlavor na kupostiwa na Msanii Bell9 kutokana na kile alichokisema msanii diamond juu ya vijana kufanya kazi badala ya kulalamika. "Ila kuna vitu...
2 Reactions
10 Replies
717 Views
Sema ee bwana Yesu mikononi mwako naiweka roho yangu. Lazima tupeane toba kwanza. Hii trace awards nimeisikia wasafi leo imenihuzunisha sana sana. Alikiba kuwekwa hotel ya kawaida, Alikiba...
8 Reactions
42 Replies
3K Views
Jioni ya leo February 26 kutakuwa na kilele cha msimu wa pili wa tuzo za muziki zinazojulikana kama Trace Awards huko visiwani Zanzibar. Tukio hilo litakalofanyika viunga vya hadhi ya juu...
14 Reactions
210 Replies
10K Views
Rapa Chid Benz ameongea kwa hisia sana kuhusu familia yake, akisema, "Nilikuwa nawaza siku ifike mama yangu aone situmii tena unga" na aliposaidiwa aliona kama ametua mzigo mzito.
4 Reactions
54 Replies
3K Views
Naam, yeyote aliyeko ‘active’ kwenye mitandao ya kijamii atakuwa anafahamu sakata lililotikisa nchi miaka kadhaa iliyopita ziliposambaa picha za utupu za mwigizaji na msanii wa muziki wa kizazi...
33 Reactions
275 Replies
22K Views
A.Y Representing the initials of his names Ambwene Yessayah. background….. Began his musical career at the tender age of ten. While in primary school he participated in talent searches and...
1 Reactions
17 Replies
9K Views
Katibu Mtendaji Wa Baraza La Sanaa Taifa Kedmon Mapana amesema wimbo wa Mtangazaji Oscar Oscar Jr hautaruhusiwa kupigwa sehemu za wazi, utapigwa kuanzia saa sita usiku na utasikilizwa na watu...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Huyu jamaa alijijengea heshima kubwa sana katika bongo fleva na kuonekana ni mmoja ya wasanii wa bongo wanaopush mziki huo kimataifa. Kuna kipindi akawa yupo mamtoni huko anapiga mitkasi yake...
41 Reactions
321 Replies
11K Views
Amani iwe kwenu watumishi Nianze kwanza na history ya magomen kitaa changu ninachoishi toka kitambo sana Kitaa hiki ni kitaa mabingwa wa ndoa za mkeka hasa mwezi wa Ramadhan unapokalibia Ndoa...
22 Reactions
94 Replies
7K Views
Naona kama ni mpango wa kuzima kelele za Gwajima🤔🤔 Anaandika diamond... "Miongoni Mwa vitu ambavyo nimejifunza ni Ukomavu wa Kukaa kimya… Ukomavu huu unataka uvumilivu wa hali ya juu, Inataka...
4 Reactions
37 Replies
3K Views
Nimeziona baadhi ya picha za mtanzania mwenzetu na mwanaume mwenzetu Frank Maston. Ambae pia ni mwanamuziki. Picha zake zinanipa shida kubwa sana na sijui how ntarecover na nachokiona...
13 Reactions
291 Replies
42K Views
Msanii wa muziki wa Hip Hop, Rashidi Makwiro maarufu Chid Benz amesema, "Kuishi kwangu ilikuwa huwezi kuamka asubuhi uniambie nije Clouds. Nilikuwa siwezi kwa sababu nilikuwa nina sumu mwilini"
3 Reactions
28 Replies
2K Views
Kauli ya Donald Trump imewashangaza watu wengi. Katika hotuba yake, Trump alidai kwamba bila Marekani, kila kitu duniani kingekufa. Hii ni kauli ya kushangaza na ya kujivuna isiyokuwa na mashiko...
1 Reactions
16 Replies
982 Views
Kitabu kipya cha "MY AMERICAN EXPERIENCE" kinatazamiwa kuzinduliwa rasmi Ijumaa ya tarehe 31/8/2018 katika Ukumbi wa King Solomon Hall uliopo Namanga pembeni ya Bestbite na kitazinduliwa rasmi na...
37 Reactions
380 Replies
33K Views
Mitandao ya kijamii imetoa fursa kubwa sana kwa mtu yeyote ‘kwenda mjini’ chap. Hii ni orodha ya baadhi ya watu ambao kusingekuwa na intaneti, wasingepata umaarufu walioupata. DKT. LOUIS SHIKA...
42 Reactions
93 Replies
10K Views
Kulikuwa na pambano jana huko mjini Kampala lililopewa jina la Kampala Ramble Ebana huyo mume wa Zari a.k.a mume mwenza wa Diamond Platnumz kachezea vitasa, yani kapigika haswaa. Tumuombee tu...
0 Reactions
11 Replies
942 Views
Bingwa wa zamani wa Real Madrid, Sergio Ramos, ameingia rasmi kwenye ulimwengu wa muziki kwa kuchapisha wimbo wake wa kwanza wa solo unaoitwa “Cibeles”, uliozinduliwa Jumapili, Agosti 31, 2025...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Leo muziki wa hiphop unatimiza miaka 52 tangu kuanzishwa ukiwa kama shabiki wa muziki huu wa Hiphop tuambie Ni Rapa gani alikufanya uwe shabiki wa Hiphop? Soma pia: Support ya media kwa wasanii...
1 Reactions
30 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…