Mwimbaji wa nyimbo za Injili kutoka Rwanda, Gloriose Musabyimana, maarufu kama Gogo, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 36 nchini Uganda.
Taarifa zinasema alifariki usiku wa Septemba 3, baada...
Haya ni maneno ya Msanii wa bongo Flavor BekaFlavor na kupostiwa na Msanii Bell9 kutokana na kile alichokisema msanii diamond juu ya vijana kufanya kazi badala ya kulalamika.
"Ila kuna vitu...
Sema ee bwana Yesu mikononi mwako naiweka roho yangu. Lazima tupeane toba kwanza. Hii trace awards nimeisikia wasafi leo imenihuzunisha sana sana.
Alikiba kuwekwa hotel ya kawaida, Alikiba...
Jioni ya leo February 26 kutakuwa na kilele cha msimu wa pili wa tuzo za muziki zinazojulikana kama Trace Awards huko visiwani Zanzibar.
Tukio hilo litakalofanyika viunga vya hadhi ya juu...
Rapa Chid Benz ameongea kwa hisia sana kuhusu familia yake, akisema, "Nilikuwa nawaza siku ifike mama yangu aone situmii tena unga" na aliposaidiwa aliona kama ametua mzigo mzito.
Naam, yeyote aliyeko ‘active’ kwenye mitandao ya kijamii atakuwa anafahamu sakata lililotikisa nchi miaka kadhaa iliyopita ziliposambaa picha za utupu za mwigizaji na msanii wa muziki wa kizazi...
A.Y
Representing the initials of his
names Ambwene Yessayah. background .. Began his musical career at the
tender age of ten.
While in primary school he
participated in talent searches
and...
Katibu Mtendaji Wa Baraza La Sanaa Taifa Kedmon Mapana amesema wimbo wa Mtangazaji Oscar Oscar Jr hautaruhusiwa kupigwa sehemu za wazi, utapigwa kuanzia saa sita usiku na utasikilizwa na watu...
Huyu jamaa alijijengea heshima kubwa sana katika bongo fleva na kuonekana ni mmoja ya wasanii wa bongo wanaopush mziki huo kimataifa.
Kuna kipindi akawa yupo mamtoni huko anapiga mitkasi yake...
Amani iwe kwenu watumishi
Nianze kwanza na history ya magomen kitaa changu ninachoishi toka kitambo sana
Kitaa hiki ni kitaa mabingwa wa ndoa za mkeka hasa mwezi wa Ramadhan unapokalibia
Ndoa...
Naona kama ni mpango wa kuzima kelele za Gwajima🤔🤔
Anaandika diamond...
"Miongoni Mwa vitu ambavyo nimejifunza ni Ukomavu wa Kukaa kimya… Ukomavu huu unataka uvumilivu wa hali ya juu, Inataka...
Nimeziona baadhi ya picha za mtanzania mwenzetu na mwanaume mwenzetu Frank Maston. Ambae pia ni mwanamuziki.
Picha zake zinanipa shida kubwa sana na sijui how ntarecover na nachokiona...
Msanii wa muziki wa Hip Hop, Rashidi Makwiro maarufu Chid Benz amesema, "Kuishi kwangu ilikuwa huwezi kuamka asubuhi uniambie nije Clouds. Nilikuwa siwezi kwa sababu nilikuwa nina sumu mwilini"
Kauli ya Donald Trump imewashangaza watu wengi.
Katika hotuba yake, Trump alidai kwamba bila Marekani, kila kitu duniani kingekufa.
Hii ni kauli ya kushangaza na ya kujivuna isiyokuwa na mashiko...
Kitabu kipya cha "MY AMERICAN EXPERIENCE" kinatazamiwa kuzinduliwa rasmi Ijumaa ya tarehe 31/8/2018 katika Ukumbi wa King Solomon Hall uliopo Namanga pembeni ya Bestbite na kitazinduliwa rasmi na...
Mitandao ya kijamii imetoa fursa kubwa sana kwa mtu yeyote ‘kwenda mjini’ chap. Hii ni orodha ya baadhi ya watu ambao kusingekuwa na intaneti, wasingepata umaarufu walioupata.
DKT. LOUIS SHIKA...
Kulikuwa na pambano jana huko mjini Kampala lililopewa jina la Kampala Ramble
Ebana huyo mume wa Zari a.k.a mume mwenza wa Diamond Platnumz kachezea vitasa, yani kapigika haswaa.
Tumuombee tu...
Bingwa wa zamani wa Real Madrid, Sergio Ramos, ameingia rasmi kwenye ulimwengu wa muziki kwa kuchapisha wimbo wake wa kwanza wa solo unaoitwa “Cibeles”, uliozinduliwa Jumapili, Agosti 31, 2025...
Leo muziki wa hiphop unatimiza miaka 52 tangu kuanzishwa ukiwa kama shabiki wa muziki huu wa Hiphop tuambie
Ni Rapa gani alikufanya uwe shabiki wa Hiphop?
Soma pia: Support ya media kwa wasanii...