Sio vibaya hawa wakijipanga sehemu nyingine. Muziki ushawaacha.
1. Fid Q
Si vibaya ukapumzika. Maisha sio music pekee.
2. Joh Makini
Samahani. Inauma lakini ndo ukweli.
3. Mwana FA
Kaka umebaki...
OGOPA mno kuchanganya mapenzi na kazi! Saa kadhaa baada ya Harmonize au Konde Boy kumtangaza Kajala Masanja au Mama Paula kuwa C.E.O na meneja wake mpya, meneja mwingine wa jamaa huyo, Beauty...
Wanawake wenye tamaa huwa wanafiki sana. Hasa hawa wetu huku. Huyu ni mwanamke maarufu aliandika yake ya moyoni kuwa anavutiwa kingono na wanaume weusi.
Ijapo bwana yake simfahamu, hiyo ni...
Ukubali ukatae ila kwa sasa harmonize na konde gang ndio wanaongoza kimuziki hapa nchini. Mangoma makali sana kutoka kwao na kipesa yuko vizuri.
Ana Show zake nyingi nje ya nchi nikwanzia dola...
Huyu kijana namuona sana mitandaoni, hata hivyo ana wafuasi wengi sana Instagram, ambapo kwa mtandao wa Tiktok ndiyo mtu mwenye wafuasi wengi sana Afrika Mashariki. Juzi ameenda kutumbuiza India...
Huyu ni Mtawa wa Kifaransa, Lucile Randon. Ana umri wa miaka 118 na ndiye mtu mzee zaidi ulimwenguni. Alizaliwa tarehe 11.02.1904.
Marafiki zake wote, na jamaa aliowajua wameshakufa. Yeye ni...
Franco Luambo Makiadi A.K.A Le Grand Mitre (Mwalimu Mkuu) atakumbukwa kwa mengi ila makubwa ni haya yafuatayo;
1. Utunzi makini.
2. Upangiliaji wa nyimbo.
3. Upigaji bora wa solo gitaa.
4...
Ndiyo, nawakumbusha tu. Kila siku utasikia Anko Shamte piga YOPE! Anko Shamte! Ankali wa Taifa! Yaani hadi unatamani kabisa kuoa single mama. Hii si kwa bahati mbaya, kijana anamkubali baba’ke wa...
Mke mpya wa Haji Manara Rushaynah Bugati amevunja ukimya kwa wanaomshambulia kudai kwamba amefuata pesa kwa Manara jambo ambalo amelikana na halina ukweli wowote.
Rushayna amesema alianza kufanya...
Aman iwe nanyi wakuu katika bwana. Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu.
Msanii wa kizazi kipya Ambwene Yesaya siku ya leo amafunga ndo na mpenzi wake mnyarwanda na ndio hiyo imefungwa...
Mwijaku amevuka mipaka ya umbea, na amefikia Mahali pabaya kiasi Cha kujaribu kuidhalilisha familia ya Harmonize na Kajala.
Mwijaku anadai Hamo analala na Kajala pamoja na Pau Kwa wakati mmoja...
Promota maarufu Kim & The Boys amefariki jioni ya leo mida ya saa 9 (kwa masaa ya Tanzania).
Jina lake ni Joakim lakini la kiislam alipewa AbdulHakim akijulikana zaidi kwa majina ya "Kim & The...
KAJALA MASANJA: KUZAMA KUZIMU NA KUIBUKA TENA KILELENI.
Moja ya wanawake wanaopaswa kupigiwa mfano kwa aina ya maisha ya ajabu sana ambayo ameyapitia basi ni mwanadada Kajala Masanja...
Inasemekana msanii Harmonize a.k.a Kondeboy anafunga ndoa leo kwenye ukumbi wa mlimani city.
Inasemekana ndoa ni ya waalikwa wachache sana hata WCB hawajaalikwa.
Mwenye taarifa za uhakika...
Segmund Freud kwenye kitabu chake," Introductory Lectures on Psychoanalysis " anasema "Words and magic were in the beginning one and the same thing and even today words retain much of their...
Baada ya staa mkongwe wa Bongofleva Ambwene Yesaya wengi tunamfahamu kamaAY kutoa mahari nchini Rwanda siku ya February 10,2018 ambapo ndio nyumbani kwa mchumba wake Remy na mastaa wengi kutoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.