Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Sio vibaya hawa wakijipanga sehemu nyingine. Muziki ushawaacha. 1. Fid Q Si vibaya ukapumzika. Maisha sio music pekee. 2. Joh Makini Samahani. Inauma lakini ndo ukweli. 3. Mwana FA Kaka umebaki...
7 Reactions
128 Replies
14K Views
OGOPA mno kuchanganya mapenzi na kazi! Saa kadhaa baada ya Harmonize au Konde Boy kumtangaza Kajala Masanja au Mama Paula kuwa C.E.O na meneja wake mpya, meneja mwingine wa jamaa huyo, Beauty...
5 Reactions
33 Replies
7K Views
Wanawake wenye tamaa huwa wanafiki sana. Hasa hawa wetu huku. Huyu ni mwanamke maarufu aliandika yake ya moyoni kuwa anavutiwa kingono na wanaume weusi. Ijapo bwana yake simfahamu, hiyo ni...
6 Reactions
61 Replies
6K Views
Huyu msanii wetu amepost kwenye facebook story, video za ajabu sana. Lengo lake nini? Anajiuza? Au ametumwa kutumahasisha tufanye visivyo sawa?
3 Reactions
28 Replies
5K Views
Ukubali ukatae ila kwa sasa harmonize na konde gang ndio wanaongoza kimuziki hapa nchini. Mangoma makali sana kutoka kwao na kipesa yuko vizuri. Ana Show zake nyingi nje ya nchi nikwanzia dola...
6 Reactions
30 Replies
4K Views
Huyu kijana namuona sana mitandaoni, hata hivyo ana wafuasi wengi sana Instagram, ambapo kwa mtandao wa Tiktok ndiyo mtu mwenye wafuasi wengi sana Afrika Mashariki. Juzi ameenda kutumbuiza India...
22 Reactions
67 Replies
9K Views
Huyu ni Mtawa wa Kifaransa, Lucile Randon. Ana umri wa miaka 118 na ndiye mtu mzee zaidi ulimwenguni. Alizaliwa tarehe 11.02.1904. Marafiki zake wote, na jamaa aliowajua wameshakufa. Yeye ni...
17 Reactions
46 Replies
4K Views
Franco Luambo Makiadi A.K.A Le Grand Mitre (Mwalimu Mkuu) atakumbukwa kwa mengi ila makubwa ni haya yafuatayo; 1. Utunzi makini. 2. Upangiliaji wa nyimbo. 3. Upigaji bora wa solo gitaa. 4...
4 Reactions
24 Replies
3K Views
Hivi kati ya Enrique Iglesias na Ed Sheeran nani zaidi kwenye mziki(hasa hits na sauti)
1 Reactions
151 Replies
12K Views
Ndiyo, nawakumbusha tu. Kila siku utasikia Anko Shamte piga YOPE! Anko Shamte! Ankali wa Taifa! Yaani hadi unatamani kabisa kuoa single mama. Hii si kwa bahati mbaya, kijana anamkubali baba’ke wa...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Mke mpya wa Haji Manara Rushaynah Bugati amevunja ukimya kwa wanaomshambulia kudai kwamba amefuata pesa kwa Manara jambo ambalo amelikana na halina ukweli wowote. Rushayna amesema alianza kufanya...
6 Reactions
38 Replies
6K Views
Ni hizi redio za mikoani kwenye kipindi cha watoto, leo kwenye kipengele cha vipaji kuna katoto kameimba huu wimbo, kamekariri vizuri kabisa.
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Aman iwe nanyi wakuu katika bwana. Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu. Msanii wa kizazi kipya Ambwene Yesaya siku ya leo amafunga ndo na mpenzi wake mnyarwanda na ndio hiyo imefungwa...
11 Reactions
304 Replies
44K Views
Mwijaku amevuka mipaka ya umbea, na amefikia Mahali pabaya kiasi Cha kujaribu kuidhalilisha familia ya Harmonize na Kajala. Mwijaku anadai Hamo analala na Kajala pamoja na Pau Kwa wakati mmoja...
2 Reactions
27 Replies
4K Views
Promota maarufu Kim & The Boys amefariki jioni ya leo mida ya saa 9 (kwa masaa ya Tanzania). Jina lake ni Joakim lakini la kiislam alipewa AbdulHakim akijulikana zaidi kwa majina ya "Kim & The...
0 Reactions
47 Replies
9K Views
  • Closed
KAJALA MASANJA: KUZAMA KUZIMU NA KUIBUKA TENA KILELENI. Moja ya wanawake wanaopaswa kupigiwa mfano kwa aina ya maisha ya ajabu sana ambayo ameyapitia basi ni mwanadada Kajala Masanja...
28 Reactions
83 Replies
16K Views
Inasemekana msanii Harmonize a.k.a Kondeboy anafunga ndoa leo kwenye ukumbi wa mlimani city. Inasemekana ndoa ni ya waalikwa wachache sana hata WCB hawajaalikwa. Mwenye taarifa za uhakika...
4 Reactions
45 Replies
11K Views
Segmund Freud kwenye kitabu chake," Introductory Lectures on Psychoanalysis " anasema "Words and magic were in the beginning one and the same thing and even today words retain much of their...
7 Reactions
37 Replies
6K Views
Baada ya staa mkongwe wa Bongofleva Ambwene Yesaya wengi tunamfahamu kamaAY kutoa mahari nchini Rwanda siku ya February 10,2018 ambapo ndio nyumbani kwa mchumba wake Remy na mastaa wengi kutoa...
3 Reactions
149 Replies
27K Views
Back
Top Bottom