Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Wana JF Watu wengi wamekalia lawama nyingi sana na kuhukumu kila kukicha nafasi ya kondeboy Harmonize katika mikakati ya kuangushwa na mpenzi wake na mtu mzima Kajala. Pengine ufagio mpya...
7 Reactions
18 Replies
3K Views
Wale wapenzi wa muziki wa Congo watakua sio wageni wa Petit/Little Reagan. Bwana mdogo aliesherehesha albamu ya mwanamuziki wa Congo B. Bula Ponderation 8 ya mwaka 1999/2000. Kwenye hiyo albamu...
10 Reactions
12 Replies
4K Views
Kwa wanaofuatilia Amapiano watakuwa wamesimkia Uncle Waffles....He is a South African Amapiano artist.... Ana track yake inaitwa Tanzania....Tanzania ni club iliyopo Jozi. Sababu za kuiita track...
3 Reactions
11 Replies
1K Views
Nyie mjini kuna mambo, Mashalove a.k.a Masha ze Don, mdada mwenye vigodoro vyake, inasemekana ana mimba ya Jimmy Mafufu msanii na mtunzi wa tamthilia za Azam TV. Ila bahati mbaya Jimmy kaikana...
8 Reactions
102 Replies
13K Views
Kwa upande wangu kuna hawa jamaa yani wanasauti nzuri sana tena huenda kuzidi baadhi ya msanii wanao sumbua kwasasa MB Dog Huyu jamaa alisumbua sana miaka ya 2005 na kidogo,,anasauti nzuri sana...
6 Reactions
93 Replies
9K Views
Malkia wa Urembo wa Argentina na Puerto Rico wafunga ndoa Malkia wa Urembo wa Argentina Mariana Varela na Malkia wa urembo wa Puerto Rico Fabiola ValentinImage caption: Malkia wa Urembo wa...
1 Reactions
32 Replies
4K Views
Ripoti mbalimbali zinasema rapper maruufu wa kundi la 'Migos' amefariki kwa kupigwa risasi huko Houston,Marekani. Bado hakuna taarifa ya kina kuhusu namna tukio lilivyotokea.
2 Reactions
193 Replies
17K Views
Hivi hii video hapo chini ni ya kweli au ni photoshop?
8 Reactions
100 Replies
10K Views
Na huo ndio ukweli, tukiwatoa wasanii wale 10 wenye mafanikio ni wachache sana waliobaki kama kina shilole mwenye shishi food na young dee mwenye kibaa chake wanaweza kujitegemea kiuchumi...
4 Reactions
19 Replies
2K Views
Wakuu, Inakuwaje giant wa industry music Afrika ambao ni Nigeria, celebrities wao kwa upande wa Instagram wana idadi ndogo ya followers tofauti na hapa kwetu bongo? Wakuu hii imekaaje, wenzetu...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
I'm the next 2Pac and Biggie Scaled dope for 2Pac, pockets on Biggie Pop a molly have you shaking like that n***a Diddy Your pockets fat but now they slim, call it Missy TakeOff (lyrics 2pac and...
5 Reactions
7 Replies
985 Views
Watu sisi tuna angalau kidogo sio kwamba sisi ni matajiri lakini vidogo vidogo vya kusukuma maisha mbele na kusaidia wapendwa na watoto wazuri hatuwezi kosa. Lakini mapenzi yanatusumbuwa kinoma...
3 Reactions
32 Replies
3K Views
Rest easy man...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu kwema? Hivi huu mstari wa DIZASTA UNATOKA KWENYE NYIMBO GANI? Dizasta vinna ni kina jo sabini,so wakazi kadhaa wakitongoji mkija njoo makini. naona vipepeo kwa bustani wanaruka ila sioni...
0 Reactions
7 Replies
954 Views
Wasalaam Kuzaliwa katika zama hizi za maendeleo ya sayansi na teknolojia ,mara nyingi tunasahau jinsi mambo tofauti yalivyokuwa kabla yetu. Watu wangeweza kujua tu mtu anaonekanaje kulingana...
12 Reactions
59 Replies
8K Views
Baada tu ya kuachia EP yake sasa nchi yote imesimama inamsikiliza Mbosso. Kila kona ya taifa la Tanzania basi Mbosso ndiyo habari ya mjini. Kwa wale waliyokuwa wanaulizia matokeo, kwenye soka...
5 Reactions
73 Replies
7K Views
Refer the heading above Kama mnavyojua Bob Marley alikuwa na vipaji viwili hit maker(hakuna atakaye kuja kama yeye mpaka yesu arudi) and footballer na watoto wake 12 wameingia kwenye hivyo vipaji...
1 Reactions
62 Replies
10K Views
Habari wakuu, Je, wajua pesa aliyoitumia bilionea elon musk kununua twitter $44B inaweza ikanunua asset zote za bilionea mwanzilishi wa Facebook Mark Zuckerberg ikiwemo mitandao yake ya Facebook...
8 Reactions
26 Replies
2K Views
  • Closed
FIRST OF ALL IS TUPAC DEAD OR ALIVE ? My SPIRITUAL OPINION: Kwa sauti ya KEJUAN Muchita ( Havoc ) wa Mobb Deep. Yes Tupac is Dead without a doubt!!! Mwisho wa kunukuu...
19 Reactions
71 Replies
16K Views
Habari ya mchana huu wakuu, leo nimekuja na historia ya huyu mwamba na mtawala wa aina mbali mbali za miziki laini, yan ile inayogusa mioyo ya mamilioni ya wapenzi wa miziki hapa duniani. Aina...
28 Reactions
134 Replies
11K Views
Back
Top Bottom