Wana JF
Watu wengi wamekalia lawama nyingi sana na kuhukumu kila kukicha nafasi ya kondeboy Harmonize katika mikakati ya kuangushwa na mpenzi wake na mtu mzima Kajala.
Pengine ufagio mpya...
Wale wapenzi wa muziki wa Congo watakua sio wageni wa Petit/Little Reagan. Bwana mdogo aliesherehesha albamu ya mwanamuziki wa Congo B. Bula Ponderation 8 ya mwaka 1999/2000.
Kwenye hiyo albamu...
Kwa wanaofuatilia Amapiano watakuwa wamesimkia Uncle Waffles....He is a South African Amapiano artist....
Ana track yake inaitwa Tanzania....Tanzania ni club iliyopo Jozi. Sababu za kuiita track...
Nyie mjini kuna mambo, Mashalove a.k.a Masha ze Don, mdada mwenye vigodoro vyake, inasemekana ana mimba ya Jimmy Mafufu msanii na mtunzi wa tamthilia za Azam TV. Ila bahati mbaya Jimmy kaikana...
Kwa upande wangu kuna hawa jamaa yani wanasauti nzuri sana tena huenda kuzidi baadhi ya msanii wanao sumbua kwasasa
MB Dog
Huyu jamaa alisumbua sana miaka ya 2005 na kidogo,,anasauti nzuri sana...
Malkia wa Urembo wa Argentina na Puerto Rico wafunga ndoa
Malkia wa Urembo wa Argentina Mariana Varela na Malkia wa urembo wa Puerto Rico Fabiola ValentinImage caption: Malkia wa Urembo wa...
Ripoti mbalimbali zinasema rapper maruufu wa kundi la 'Migos' amefariki kwa kupigwa risasi huko Houston,Marekani.
Bado hakuna taarifa ya kina kuhusu namna tukio lilivyotokea.
Na huo ndio ukweli, tukiwatoa wasanii wale 10 wenye mafanikio ni wachache sana waliobaki kama kina shilole mwenye shishi food na young dee mwenye kibaa chake wanaweza kujitegemea kiuchumi...
Wakuu,
Inakuwaje giant wa industry music Afrika ambao ni Nigeria, celebrities wao kwa upande wa Instagram wana idadi ndogo ya followers tofauti na hapa kwetu bongo?
Wakuu hii imekaaje, wenzetu...
I'm the next 2Pac and Biggie
Scaled dope for 2Pac, pockets on Biggie
Pop a molly have you shaking like that n***a Diddy
Your pockets fat but now they slim, call it Missy
TakeOff (lyrics 2pac and...
Watu sisi tuna angalau kidogo sio kwamba sisi ni matajiri lakini vidogo vidogo vya kusukuma maisha mbele na kusaidia wapendwa na watoto wazuri hatuwezi kosa.
Lakini mapenzi yanatusumbuwa kinoma...
Wakuu kwema?
Hivi huu mstari wa DIZASTA UNATOKA KWENYE NYIMBO GANI?
Dizasta vinna ni kina jo sabini,so wakazi kadhaa wakitongoji mkija njoo makini. naona vipepeo kwa bustani wanaruka ila sioni...
Wasalaam
Kuzaliwa katika zama hizi za maendeleo ya sayansi na teknolojia ,mara nyingi tunasahau jinsi mambo tofauti yalivyokuwa kabla yetu.
Watu wangeweza kujua tu mtu anaonekanaje kulingana...
Baada tu ya kuachia EP yake sasa nchi yote imesimama inamsikiliza Mbosso.
Kila kona ya taifa la Tanzania basi Mbosso ndiyo habari ya mjini.
Kwa wale waliyokuwa wanaulizia matokeo, kwenye soka...
Refer the heading above
Kama mnavyojua Bob Marley alikuwa na vipaji viwili hit maker(hakuna atakaye kuja kama yeye mpaka yesu arudi) and footballer na watoto wake 12 wameingia kwenye hivyo vipaji...
Habari wakuu,
Je, wajua pesa aliyoitumia bilionea elon musk kununua twitter $44B inaweza ikanunua asset zote za bilionea mwanzilishi wa Facebook Mark Zuckerberg ikiwemo mitandao yake ya Facebook...
FIRST OF ALL IS TUPAC DEAD OR ALIVE ?
My SPIRITUAL OPINION: Kwa sauti ya KEJUAN Muchita ( Havoc ) wa Mobb Deep. Yes Tupac is Dead without a doubt!!! Mwisho wa kunukuu...
Habari ya mchana huu wakuu, leo nimekuja na historia ya huyu mwamba na mtawala wa aina mbali mbali za miziki laini, yan ile inayogusa mioyo ya mamilioni ya wapenzi wa miziki hapa duniani.
Aina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.