Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Huu Ndio Utajiri wa Msanii Diamond Platnumz by Frumence M Kyauke. Nasibu Abdul Juma Issack, almaarufu Diamond Platnumz, ni msanii Afrika mwenye kipaji kikubwa cha uimbaji vilevile ni msanii...
0 Reactions
46 Replies
15K Views
Nasikitika Sana kukuona Dada yangu mziki unavyokupoteza mpaka unavaa nguo zisizo na staha. Mbaya zaidi wewe ni muislamu na waislamu wenzako wanavaa Kwa staha. Am so Disappointed . Why why why...
3 Reactions
139 Replies
32K Views
kiukweli huyu jamaa Baba Levo hapa tu kupewa rungu Wasafi na Media kapitiliza kwenye kuongea. wanakipindi chao cha kutafuta vipaji, una katabia cha ajabu kukosoa wanadamu na kuwakejeli. Hata kama...
2 Reactions
2 Replies
794 Views
Ommy unatuangusha
8 Reactions
297 Replies
22K Views
Sio ubishi, Lakini Mario ni msanii mkubwa kuliko Rayvanny na Harmonize na yuko serious na kazi kuliko kawaida. Mario miaka 3 ijayo atakuwa yuko mbali zaidi kuliko kawaida ya watu wanavyofikiri...
9 Reactions
33 Replies
4K Views
Leo umetimiza umri wa kustaafu kwa hiyari kama ungekuwa ni Mtumishi wa Serikali Mungu wa mbinguni akubariki, akulinde na kukuimarisha zaidi na zaidi Uwe na Uzima kisha uwe nao tele Johnthebaptist
4 Reactions
20 Replies
1K Views
Kama kaisikiliza hii ngoma atakuwa analia sasa hivi.
9 Reactions
149 Replies
14K Views
Toka Diamond atoke kimuziki hakuna mwaka haujapita bila msanii mwenzie yeyote kumlalamikia either anawaroga na kuwaibia nyota au anawafanyia figusu wasiendelee kimziki. Wasanii kama Qchilla...
3 Reactions
28 Replies
3K Views
Tafadhali Shilole usinunue Rolls Royce Cullinan 2021 Nawasalimu kwa jina la Chama Cha Mapinduzi. Natumaini wote mko poa mkiendelea vyema kulipia tozo za miamala. Hakika uzalendo hauepukiki. Leo...
7 Reactions
40 Replies
6K Views
Mama Rooney alionekana akiwa anaingia Old Trafford kuangalia pambano la mpira. Wives and Girlfriends of footballers WAGs
7 Reactions
43 Replies
3K Views
Ni rasmi Diamond Platnumz sasa ni shabiki wa mabingwa wa Tanzania, Dar Young Africans. Diamond ameamia Yanga akimfata supastaa namba moja wa michezo East Africa, Haji Manara. Kabla ya hapo...
6 Reactions
17 Replies
4K Views
Kumekuwa na sintofahamu kuwa hivi sasa Manara tangu tu alipoenda Dubai amepoteza kabisa ubingwa wake, hali iliyopelekea mke wake mdogo kumkimbia. Ikumbukwe kuwa Haji manara ni balozi wa wasafi...
1 Reactions
8 Replies
961 Views
West Moore akiwa katika picha ya pamoja na familia yake wakiungana na Oprah kufurahia uwapisho huo. Westley Watende Omari Moore is an American politician, investment banker, author, and...
2 Reactions
21 Replies
1K Views
Wakati tuhuma za kumtorosha mke wa manara kule Dubai na Kisha kumtembezea rungu pale konde village zikiwa bado hazijapoa , Harmonize a.k a konde boy mnyama amejikuta kwenye vita nzito na boss wa...
2 Reactions
108 Replies
12K Views
Baada ya kuwa na pambano lenye mafanikio supastaa namba tatu wa sport Tanzania Karim Mandonga amepewa ushauri wa bure na Sallam. Hii ni baada ya habari za nyuma ya pazia kuwa Ndonga kalipwa...
24 Reactions
49 Replies
5K Views
Kupitia katika kurasa zake za mitandao ya kijamii wa nguli wa muziki RnB na mwigizaji wa Filamu nchini Marekani Tyrese Gibson ameonesha kupagawa na uzuri wa Zanzibar kuelezea kwa hisia jinsi...
3 Reactions
4 Replies
930 Views
Mzee wa Nasemajeeee... Mizuka ya huyu mwamba ni next level.. Ndiyo Dj anayetrend zaidi kwa sasa kutokana na style yake ya kupiga miluzi mingi pindi anaposherehesha. Hajaajiriwa na kituo...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Wazee wamecharuka. Wamekasirika. Kifupi wamenuna. Wamefura. Hawataki tena kusikia masela wakiimba na kusifia ganja. Yes! Ni ganja pekee ndio dawa za kulevya zenye promo kubwa kwenye ngoma za...
22 Reactions
26 Replies
4K Views
Huyu kaka anapenda kwao kila mara yupo kwao na anasaidia sana kwao jamii ya kwao ni mtu hasahau kwao amewajengea shule watoto bure hakuna ada Anafurahisha sana na anaongea na kila mtu sokoni...
5 Reactions
42 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…