Nakumbuka miaka hiyo Aggrey Marealle nilikuwa namuona sana kwenye media akiwa mkurugenzi wa mawasiliano wa kampuni ya TBL. Yupo wapi siku hizi huyu ndugu kwa anayefahamu.
Nyota ya Diddy inaonyesha nguvu kubwa sana ya uthibiti katika kila hali siku hizo so kwa makadilio Diddy anaweza kutoka Jela kati ya Tar 5 hadi tar 9 january na reccond zaidi Tar 8.
Msanii wa Bongo Fleva Rashid Makwiro almaarufu Chid Benz akifanya mahojiano na shirika la habari la BBC ameeleza sababu ya yeye kutojihusisha na siasa kama ilivyo sasa wasanii wengi wamejikita...
Akiwa Mdogo na Kaka yake, walikuwa Ndani huku wakicheza mchezo wa tiali bado.
Ilipofika zamu yake kujificha, O’shea Jackson alifungua Friza na kudumbukia ndani kwa malengo ya kujificha.
Kaka...
Wadau habari.
Muziki wa hiphop wa sasa umebadilika sana.Lakini kwa sisi wenye kumbukumbu za zamani hebu tukumbushane.
1.Je unaikumbuka ngoma ya kwanza Unit aliimba Bugz Malone na D Rob.Bug...
Rashid Makwiro almaarufu kama Chid Benz Msanii wa Bongo fleva ameonekana akiwa pamoja na Msanii Shetta ambaye pia ni Mgombea Ubunge CCM Kata ya Mchikichi wakiwa katika mkutano wa kampeni za...
Staa wa muziki wa Bongo Fleva, Omary Nyembo maarufu kama Ommy Dimpoz amepost zawadi ya simu toleo jipya iPhone 17 Pro Max aliyonunuliwa kama zawadi na mke wa GSM.
Baada ya kupost zawadi hiyo...
Kajizolea umaarufu kwa video za ushauri huko tiktok na instagram
Si hivyo tu, kajizolea umaarufu kwa namna ya kipekee, mwisho wa video zake husisitiza "Nachoka mimi Baba yenu Clemence Mwandambo"...
Sio biashara tuu, Niffer pia anaujuzi mkubwa sana wa kudance midundo mbali mbali!
Tazama hapa katika video akionyesha umahiri wake katika nyanja ya kudance akiserebuka mdundo wa amapiano kutoka...
Kaka maarufu na mtangazaji wa Wasafi TV, Juma Lokole, amejikuta anaanikwa wazi kweupe na kijana Sutibega, kupitia chats zao.
Hali hiyo imekuja baada ya Sutibega kuandamwa na skendo na heka heka...
Mke wa msanii maarufu anayejulikana Kama Tomeka Thiam ambaye ni mke wa msanii maarufu wa R&B Akon ameenda kudai talaka mahakamani baada ya kuwa kwenye ndoa kwa miaka 29 akidai alipwe euro million...
Mrembo Anna Silva, amenukuliwa akisema amechoshwa na tabia ya mchezaji huyo wa Real Madrid kutaka kushiriki naye threesome. Licha ya hivyo pia Vini amekuwa akimtumia picha za nyeti zake mrembo...
Huyu mwanadada enzi hizo alitikisa sana hapa bongo, kiasi kwamba watu tuliamini ndio mwanamke mzuri Tanzania nzima.
Wanaume wote wa dasalama, walishirikiana kumkuwadia mwanetu Mb dogg. Ila...