Mla Bata
JF-Expert Member
- Jan 24, 2013
- 6,764
- 13,815
Wasalaam!
Jumapili tulivu kabisa, nime "tune" Wasafi TV , kumcheki ndugu yangu masanja kwenye Wasafi Sunday worship, nakutana na "Pisi" moja kaliii sanaaa! tena yenye mzigo heavy heavy, naona ndugu yangu masanja concentration imepotea, macho yote yanamsaminisha huyu binti mkali.
Nifupishe tu uzi ,kilichonishangaza zaidi ni baada ya masanja kuanza kumuuliza maswali personal huyu binti....
"Husumbuliwi"?? , Una mchumba/umeolewa?
Unfortunately hii pisi iliyobarikiwa sauti tamu sanaaa inadai haina mahusiano, na hana mpango wa kuwa kwenye mahusiano kabisa 😱,
Bado nimebaki najiuliza hivi huko kanisani kwelii kuna wanaume wenye macho yanayoona???
Mwenye taarifa zaidi za huyu binti (Irene Robert) ebu tusaidiane wakuu, nikipata hata picha zake itapendeza sanaa. Pia naomba kujua lilipo kanisa la mume wake christina shusho naambiwa huwa anahudumu hapo.
Hii pisi imenisisimua sana moyo wangu jumapili ya Leo.
Let's meet at the top, cheers 🍻
Jumapili tulivu kabisa, nime "tune" Wasafi TV , kumcheki ndugu yangu masanja kwenye Wasafi Sunday worship, nakutana na "Pisi" moja kaliii sanaaa! tena yenye mzigo heavy heavy, naona ndugu yangu masanja concentration imepotea, macho yote yanamsaminisha huyu binti mkali.
Nifupishe tu uzi ,kilichonishangaza zaidi ni baada ya masanja kuanza kumuuliza maswali personal huyu binti....
"Husumbuliwi"?? , Una mchumba/umeolewa?
Unfortunately hii pisi iliyobarikiwa sauti tamu sanaaa inadai haina mahusiano, na hana mpango wa kuwa kwenye mahusiano kabisa 😱,
Bado nimebaki najiuliza hivi huko kanisani kwelii kuna wanaume wenye macho yanayoona???
Mwenye taarifa zaidi za huyu binti (Irene Robert) ebu tusaidiane wakuu, nikipata hata picha zake itapendeza sanaa. Pia naomba kujua lilipo kanisa la mume wake christina shusho naambiwa huwa anahudumu hapo.
Hii pisi imenisisimua sana moyo wangu jumapili ya Leo.
Let's meet at the top, cheers 🍻