Habari za mida huu
Nipo mbele yenu kuomba Msaada wa kupata Gari ya kufanyia tax mtandao (Bolt)
Elimu yangu Chuo kikuu
Nina account ya bolt na uzoefu wa miezi 6
Kwasasa natafuta gari yangu...
Hii video imekuwa gumzo na kila MTU ameongea lake Kwa utaalamu wake juu ya magari.
Toyota mark X engine ya 4GR six cylinders imeshindwa kuipita Subaru forester XT engine EJ20. Mwenye mark X yupo...
Ndugu zangu Watanzania,
CHADEMA ni Lichama La Hovyo sana kuwahi kutokea katika Taifa letu. Ni lichama lisilo na mbele wala nyuma. Ni lichama ambalo halinaga Dira wala Muelekeo. Limejaa na...
Ukifuatilia maneno ya Trump akiwa pekee usiku wa manane na yale anayotoa hadharani hakuna shaka yoyote kuwa vita vimemshinda.
Sasa ushindi mwengine wa wazi unakuja kwa kupigwa kwa Israel na wale...
Je, umewahi kujiuliza mustakabali wa mijadala yetu hapa JamiiForums utakuwaje? Fikiria ulimwengu ambapo kuandika hoja nzito, kufanya utafiti wa kina, na kujibu mada mbalimbali kunakuwa rahisi...
Kuna muda mtu unakuwa na mambo mengi hadi unasahau kama upo kwenye "Age go" unaongeza miaka ila ni kama unajiona bado mdogo tu mpaka ukutane na jambo fulani ndio unastuka kumbe umri wangu ushaenda...
Endapo Iran ataanguka ni wazi waislamu wakitaka Hijja viza na mipango yote ya safari za hijja zitapangwa na Isreal, nani aende na nani asiende.
Masjid Aqswa na ardhi yote ya Palestina ambayo ni...
Mbunge wa Jimbo la Tunduru Kaskazini, Ado Shaibu Ado, akichangia Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa mwaka wa fedha 2026/27...
Kwa ufahamu wangu japo mdogo naona chadema wameregeza kamba kwenye hoja na misimamo Yao
Kwadababu
1. Kushangilia ushindi fake wa kuruhusuwa kufanya siasa.
Naona mtandao viongozi wa Chadema...
Two people are feared dead after a passenger boat sank. Rescue operations are underway, but the relevant authorities have not yet commented.
More to follow:
Huyu mtoto wangu amepitia hii changamoto mwaka Jana mpaka mtoto akatoa pesa bila sisi kujua,
Bahati mbaya tena mwaka huu mwalimu alikuwa anawafundisha pia amempa supp na ameahidi hachomoi mpaka...
IBILISI RUDISHA FAHAMU ZETU(MIMI NA MKE WANGU).
BY ISSAI SINGANO .
(Singano jr).
DIBAJI
Saa saba mchana Frida alionekana akiingiza gari ndani ya hospitali na taasisi ya kitafiti ya Neuroscience...
Wakuu habari,
Nimekuwa nikijadili hili jambo na rafiki yangu mmoja hadi akaniita 'Toxic' kwamba sifai
Wakati nipo kwenye umri wa 20+ ilikuwa nikitongozwa na mwanaume wa umri wa 30+ na...
Mlango bahari sasa upo wazi Irani wenyewe wametangaza ila udhibiti wa marekani utaendelea mpaka makubaliano yasainiwe rasmi.. Israeli acha mara moja kupiga magumu Lebanon imetosha sasa..
Physicist mkubwa Eugene Wigner aliandika makala maarufu sana aliita
"The Unreasonable Effectiveness of Mathematics in the Natural Sciences."
Alisema waziwazi na maneno yake ni haya kwa...
Niweze kujua tu hata kifaransa cha kunywea maji
1. Habari yako?
2. Safi/nzuri hujambo
3. Uko wapi, unafanya nini
5. Naomba maji
6. Njoo
7. Fanya haraka
Na maneno mengine ya msingi.
Mamlaka ya Iran yaliwanyonga watu wasiopungua 1,639 mwaka wa 2025, idadi kubwa zaidi tangu 1989, kulingana na ripoti ya pamoja ya mashirika mawili yasiyo ya kiserikali ya haki za binadamu.
Ripoti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.