Wakuu,
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza lilitoa taarifa ya ajali ya gari iliyotokea tarehe 27.03.2026, majira ya saa 12:30 jioni, katika barabara ya Jojiro, na kusababisha majeruhi kwa madaktari...
Fuatana nami kwa makini kwenye hii mada hii..!
Katika ndoto, udongo unawakilisha misingi ya maisha yako, uwezo wako wa kukua kiroho, na utayari wa kupokea mambo mapya..
Kwa kuwa udongo ndio...
Nimesikiliza Leo bungeni, mbunge Ado akiichangia kutaka mfumo wa police uwe wa police service!
Najiuliza wataanza upya mafunzo? Na Hawa waliopo madarakani Police watabadilika au wataachishwa...
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu amefikishwa katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Juni 2, 2026, .
Akizungumza mahakamani hapo, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA John...
Wanasiasa na wafuasi wa upinzani wanatumia nguvu nyingi sana kupinga kila jambo linalofanywa na serikali au CCM, hata yale ambayo hayana uzito mkubwa wa kisiasa au kiuchumi kwa wananchi.
Leo JF...
Ndugu zangu Watanzania,
Hivi ndivyo Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Alivyokuwa akiondoka na kujiandaa kuiacha Ardhi ya...
Leo nimekumbuka sehemu ambayo ilitengeneza vijana wengi kuliko ilivyotengeneza majengo...
Moshi Technical Secondary School.
Kuna shule ambazo unaondoka na cheti tu, lakini kuna shule unaondoka na...
Ukifikisha miaka 35-40 huna mbele wala nyuma, si bora utolewe kafara ukoo uambulie hata kirikuu.
Nimeingia jukwaani nikiwa na kichefuchefu na hawa viumbe wanaojidanganya ni wanaume wakati ni...
Kwa mara ya kwanza katika Historia Jiji la Dodoma limepindua meza na kuwa Kimbilio la Biashara ya makazi yaani real estates.
Dom ndio Jiji linajengwa Kwa kasi makazi ya kuishi na biashara kiasi...
Kwa Tanzania na Ivory Coast kuaga pambano la Nchi kumi zilizokuwa zinatawala Uchumi wa Afrika Haina maana kwamba Uchumi umeshuka Bali kasi ya kukua Uchumi wa Nchi zingine uliongezeka zaidi...
Kuna jambo ambalo limenitia mashaka kuhusu mfumo wa Ajira Portal na namna baadhi ya mitihani inavyoendeshwa.
Mimi nilifanya usaili mmoja tarehe 11/4/2026 wa nafasi ya Afisa Tehama Msaidizi (IT...
Kwasa ieleweke mapambano dhidi ya ukimwi hatawezi kumalizwa na upande mmoja peke yake, nijambo linalohitaji ushirikiano wa pande zote katika utafiti wangu nimebaini wanawake wanahofia labda mimba...
Soka la sasa limetawaliwa na peni zaidi kuliko vipaji kwaiyo msimu huu tusitegemee namba 9 asili,tusitemegee kuona wapiga vichwa hodari,tusitegemee wawinga wengi wanaokimbia kushoto na kulia...
Rapper Zainab Lipangile ( Zay B) amefariki Leo asubuhi na anatarajiwa kuzikwa Leo saa kumi kwenye makaburi ya Tabata Kinyerezi.
Inna lilahi wa innah ilayhi raji'un.
Rest In Peace Zay B.
Hizi ni fikra zangu tu binafsi, kuwashangilia na kuwatambua kwa ghafla, kuwazawadia, kuwatumia ndege, kuwajazia waheshimiwa tele, huenda vijana wetu wakaingia ubaridi hofu na woga, maana...
Midoli ya jinsia ya kike yenye kuonyesha viungo vya uzazi vya mbele na vya haja kubwa imekuwa ikizagaa madukani na kuvalishwa chupi na mingine sidiria pasi na kusahau shanga!
Midoli hiyo pia...
Achana kabisa na miaka ya tisini. Those were the days.. Ilifika kipindi nikawa najiuliza why am so much possessed by the 90s? Is it because I was still a Lil Bow Wow( a very young boy) or what...
1. Maagano ya Damu (Blood Covenants)Ulimwengu wa giza hufanya kazi kupitia maagano ya damu ya siri, ambapo kafara za wanyama au wanadamu hutumika kama sarafu kuu ya kiroho. Kwenye dunia ya asili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.