New posts

KATIBU MUHTASI (SECRETARY) NAFASI 3. Taasisi ya MUSTLEAD Inatangaza nafasi ya kazi ya katibu muhtasi(Secretary) SIFA ZA MUOMBAJI: 1. Awe na elimu walau ya kidato cha nne. 2.Awe na ujuzi wa...
4 Reactions
37 Replies
115 Views
Leo katika mizinguko yangu nikajikuta nimefika huko uswahilini ukonga mombasa jilani na kikosi Cha kutuliza ghasia (ffu) basi nikapaki gari yangu land cruiser lc 300 zx Basi nikashuka kwenye...
10 Reactions
86 Replies
512 Views
Wanawake ni wajanja sana. Wanawake wanajua kupangilia namna ya kuonwa. Kuanzia make up , nguo lakini pia watu atakao hang nao popote watakapo enda.
3 Reactions
41 Replies
107 Views
Mahakama ya Katiba nchini Senegal imetupilia mbali mswada uliokuwa unalenga kupunguza madaraka ya Rais na kuongeza yale ya Bunge. Uamuzi huo wa Alhamisi ndio maendeleo ya hivi punde katika...
0 Reactions
8 Replies
110 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
165 Reactions
665K Replies
42M Views
Kuna kauli ilitokewa kwenye kikao Cha genge la wanaccm walioitwa wazee wa daresalama inayosema 'who are you ' sasa swali langu je kauli hiyo inafanya kazi? Hapa zingatia hatua ambazo US...
3 Reactions
10 Replies
49 Views
Nimejaribu kupitia na kuangalia maslahi ya walimu kwenye nchi za wenzetu(botswana, South Africa, Rwanda, Qatar n.k) nikagundua walimu wanalipwa vizuri mno kuliko wanavyolipwa kwetu Nikaangalia...
3 Reactions
26 Replies
89 Views
Kuna mama fulani wa makamo anauza genge maeneo ya karibu na mtaani kwangu. Ni mama mcheshi kiasi. Huwa napita kununua matunda kwahiyo nimezoeana nae kidogo. Wiki kadhaa zikizozipita, wikiend moja...
12 Reactions
134 Replies
881 Views
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Baba Mtakatifu Leo XIV amemteua Mheshimiwa Padre Vincent Lawrence Mpwaji wa Jimbo kuu la Dar es Salaam, kuwa Askofu Msaidizi wa Jimbo kuu la Dar es Salaam, leo Julai...
4 Reactions
17 Replies
128 Views
Kwema Kuna baadhi ya vitabu nimewahi kusoma mwandishi anaeleza kuwa kila mwanaadamu ana asilimia ya ukichaa/uchizi kwenye akili yake na hii asilimia ya uchizi imejificha , na sometimes...
3 Reactions
10 Replies
47 Views
Habari wana JamiiForums, Naomba msaada kufahamu zilipo ofisi za Baraza la Wataalamu wa Kemia Tanzania (Chemist Professionals’ Council) . Nimeangalia taarifa za umma; sijaona anwani ya ofisi ya...
0 Reactions
1 Replies
3 Views
Wakuu najua ajira ni ngumu sana. Ila walau ushauri kwa wajuvi, penye nafuu kiajira baada ya kuhitimu. nina dogo matokeo yake ni one ya sita PCM, aende. Civil Mechanical Electtical Mineral Data...
2 Reactions
17 Replies
88 Views
Toka nimeingia humu sikuwahi kufikiria nitapenda mtu, sikuwahi kufikiria Nitakuwa drawn kwa ID ya mtu maana nilikuwa najua maandishi haya reflect physical beauty... Kumbe I was wrong, sikujua how...
17 Reactions
218 Replies
1K Views
watu wengi wamejaribu kutoa tabiri zao kuhusu timu gani itabeba ubingwa wa dunia na wengi kuishia kugonga mwamba kwakuwa timu walizotabiri zimeshaondolewa kwenye michuano ya world cup Kabla...
4 Reactions
71 Replies
449 Views
Sijawahi kufikiria wala kudhani kuwa mazingira ya gym ni hatari kiasi hiki hadi niliposikiliza video hii hapo chini na kumshirikisha jamaa yangu mmoja ambaye anaenda gym mara kwa mara...
8 Reactions
114 Replies
1K Views
Tena waliokuwa wanauza bila hata kufunika nyuso zao Baada ya Lawama kusambaa wakaamua kutumia mbinu ya wasiojulikana huku wakificha nyuso zao
0 Reactions
0 Replies
2 Views
https://www.facebook.com/share/v/193vb1Mttf/
0 Reactions
7 Replies
52 Views
Tamasha la miaka 30 ya Bongo Fleva liliyofanyika usiku wa kuamkia Julai 11 yalikuwa ya shangwe, burudani na kumbukumbu za safari ya muziki huo. Hata hivyo, tukio lililovuta hisia za wengi halikuwa...
11 Reactions
27 Replies
411 Views
Hivi jamani, mzazi mzima mwenye akili zako timamu, unajua kabisa binti yako anatoka nyumbani saa nne ya usiku amepigilia pamba za kikahaba, amejifunga kanga yake juu kuzuia macho ya majirani na...
9 Reactions
55 Replies
462 Views
Nimekumbwa na changamoto ya kifedha ambapo nilipokua nafanyia kazi wamenifanyia fitna nikafukuzwa na fitna hiyo ni baada ya mimi kujenga kajumba kangu mpaka hatua ya kupaua.. Wamenifanyia fitna...
19 Reactions
167 Replies
2K Views

FORUM STATS

Threads
2,071,513
Posts
55,731,208
Back
Top Bottom