Wahaya wote inawahusu!!!

hujui unachoongea wewe , hivi unajua kweli hata kuandika essay??? maana nimeangalia hapa nimeona ni blah blah tupu.. umesoma wapi wewe?? unajua kweli hata principles za academic writting?? maana naona unabwabwaja tu hapa..

Hili ndilo tataizo la watu wanao jifanya kuwa bigger than their HEADS - hawana habari social networks zinatumika kufanya nini!!!! Na hii si mara yangu ya kwanza kuona unatumia lugha za mitaani humu - sijuhi umekulia wapi! Huna ustaarabu hata kidogo.

Labda nikukumbushe kwamba hii ni social network forum, hatupo hapa kuandika white paper au kuhulizana academic credentials; wewe tatizo lako ni complex ya aina fulani ambayo siwezi kuzungumzia humu lakini reading between the lines unaonekana wazi wazi kwamba huko kwenye kundi nililo zungumzia humu i.e kuchukia mtu au kabila fulani without any good reason, oh yes - majibu yako ya ajabu ni a spitting image of your true self (arrogant)- wala usifikili kuleta lugha zako za kejeri ndio zitakusaidia ku- compensate uwalakini uliyo nao - huko wired hivyo si rahisi kubadirika.

Wewe kama ungekuwa Mega Smart upstairs (mostly unlikely) ungesoma post yangu kwanza, kama ungeona haina substance basi una-ignore tu na ku-move ON, watu weledi wanao heshimu binadamu wenzao ndivyo wanavyo fanya, lakini wewe hilo huna 'am afraid!
 
leteni mipango ya kuwaondoa akina asumpta,kagasheki,tibaijuka na magamba mengine yanayoirudisha nyuma kagera.
 
its not amatter of fighting, arguing, prouding, seggregation, discrimination, regionalism, tribalism but it is one for all and all for one.

That's whatsup! Kama 100% nakuongeza 20%. Huyu m2 kweli ni Great Thinker.
 
Ndo yale yale waambie nimeenda kuchukua milioni 30 ha ha ha !! Wahaya bana si ungesma 2 umechaguliwa UDSM mpaka utwambie Bsc aseeeeh!!!

Mnyakyusa utamjua tu! sasa mbona wanyakyusa na wahaya hampishani sema tu wanyakyusa mnajisifu kwa kubisha. Wakati mhaya anasema "milioni 600" ya kujengea geti la nyumba yake, mnyakyusa anasema "aseeeh! milioni 600 ndiyo nin?" majigambo yale yale tu.
 
neno ukabila linaonekana kama dhambi hivi, lakini ukabila ndio msingi wa maendeleo yaani kwenu kwanza. kama wahaya hawana umoja watawezaje kusaidia umoja wa watanzania? michango aina ya harambee imekufa, ushindani umekufa, vipaji vya kikabila vimekufa. Kabila la wahaya wamejaliwa mambo ya 'academics', wachaga 'biashara', wapare 'akiba', wakurya 'geshi', wamasai 'ufugaji' wanyakyusa 'kiburi' na wakwere 'ngoma', sasa tudumishe mila zetu jamani!
 
Kweli huyu "msomi au nshomile mpya" amekurupuka, ingawa charity begins at home. Ili aendane na usemi huu wa charity begins at home na ili asionekane mkabila, alitakiwa ayahusishe makabila yote ya mkoa wa kagera
 
Pamoja sana kaka. Mimi sio mkabila, infact ni mpenda haki kwa wote na kwa makabila yote. Ila nilitaka kuanza na nyumbani then ninge extend kwingine.
Tufanye kazi kwa bidii, mimi sijafika nilipo kwa miujiza na wala sitalajii kufaulu kwa miujiza. Naelewa niendako ni kugumu na kunaitaji umakini wa hali ya juu.
I'll do my best and God will do the rest.
hivi hawa jamaa wanakata magovi siku hizi...malayaaa alafu kumbe wana mademu, demu akienda naye siku moja tu, siku inayofuata anaenda kuugua fungus, mhaya yeyote unayekutana naye mtaani ana govi....ndo maana shule za boarding hawataki kuoga au kuvaa mbele za watu. ile operation kata mkono wa sweta iende na kule pia...wanatuaibisha katika nchi yetu aisee.
 
Mkuu napata wasiwasi kama kweli wewe ni mu-ha-ya kwa maana ni mara yangu ya kwanza kuona mu h -a ya akiandika kiswahili kinachosomeka na kueleweka, halafu pia hujataja chochote kinachohusiana na wahaya kama vile senene, etc, wengine wataongezea.
 
kama muhaya akisoma akawa daktar,atawahudumia watanzania wote bila ubaguz,kwa hyo kuhamashisha kund 1 kusoma sio Vibaya
 
daaaaaaaaahhhhhhhhhhhh,TEH TEH TEH TEH! MI SINA TATIZOOOOOOOOOOOOOOOOO NA MTU.GOOD IDEA INGAWA MI SIO MUHAYA
 
hii kitu vyuoni ilishapigwa marufuku......ni hatari kujitambua kama MUHAYA...kwa nini usijiite mtanzania unayeishi kagera??
 
mkakate kwanza mikono ya sweta, tunapopita njiani inanuka tukipishana na mikono ya sweta yenu..alaaa

Jaribu kuwa logic, sio kila comment za wenzako unazi-crush. Nimesoma mabandiko yako mengi kwenye hii post yangu, umeonekana kuchukizwa sana na mtu yeyote anayeniunga mkono. Mbona una fikra za kizamani wewe, kwani kuna yeyote aliyekulazimisha kuchangia? Try to think what you ought to post then cralify the benefits of yo writings.
Mimi sina shida na opposition za watu, b'se its obvious not every one will support you. Lakini tumia lugha nzuri, sio lazima utukane, wewe nani kakutukana?
 
Mimi huwa sichangii threads za kitoto kama hii yako hivyo napita tu. Ukikua na kutoa threads za maana nitarudi na kuchangia.
 
let mi jst leave u alone man coz nishajua ur head z nat okey u need a doctor.na kama wasemavyo ukibishana na taira na ww utaonekana taira n mi nko sawa men real NSHOMIRE.

"taira" ndo nini kama wewe ni real nshomile! Kama unashindwa kuandika vzri kwel ume soma?
 
............Samahani WAHAYA wanatoka mkoa gani.. maana nasikia walikuwepo sana maeneo ya Kisutu miaka ya '80
 
Duh ukabila ni sumu mbaya sana, mbona hukuwahamasisha kabla hujachaguliwa? Wote waliochaguliwa vyuo wakiweka mipango ya kinyumbani kama yako huoni tayari ukabila, ukanda unaanza? Hujakosea sema tu kuheuka tu kuchaguliwa chuo! Pole sana mdogo wangu
 
Ina maana sisi wahangaza hatuko kagera!mbona heading inawahusu wahaya tu.MASKINI AKIPATA,------ HULIA MBWATA.Hilo ndo tatizo lenu.Asili yenu ni UG mko kama Idd Amin,Mseven n.k.Af sura ngumu nyeusiii then mnatamba mna mademu wakali.Mungu angewajalia uwezo wa mali mngetunyea kinywani.JADILI NAMNA YA KUWAPUNGUZA WAMAMA WA KIHAYA TANDIKA,WAMEZIDI KUUZA K.
 
Ina maana sisi wahangaza hatuko kagera!mbona heading inawahusu wahaya tu.MASKINI AKIPATA,------ HULIA MBWATA.Hilo ndo tatizo lenu.Asili yenu ni UG mko kama Idd Amin,Mseven n.k.Af sura ngumu nyeusiii then mnatamba mna mademu wakali.Mungu angewajalia uwezo wa mali mngetunyea kinywani.JADILI NAMNA YA KUWAPUNGUZA WAMAMA WA KIHAYA TANDIKA,WAMEZIDI KUUZA K.

Duh hasira na wivu tu. Wahaya ni wahaya. Hata. Ukienda Musoma lazima nao wana watu wao, kuishi mkoani kwao sio lazima wakuhusishe na mambo yao ya esp vijijini.
 
Back
Top Bottom