Wachagga, Wamasai, wameru na wapare wamejitahidi sana kuchanganya damu na makabila mbalimbali Duniani; makabila yote xmass macho kaskazini

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
877
4,105
Haya makabila manne ya mikoa ya Arusha na Kilimanjaro wanachojinlvunia ni kwamba waliamua zamani kwenda kuishi Duniani na kuzaliana.

Leo hii tunaposema Kaskazini ndipo ilipo Christmas's si kwa sababu ya haya makabila pekee bali hata wasukuma ,wabaya, wayao, wajaluo ,wanyakyusa na makabila mengine yanaungana na hawa watu ambao kwa bahati nzuri awajawahi kukataa kwao.

Leo yakitokea madhara kaskani katika sikukuu hii hakuna nchi ambayo mwanachi wake hatoaathirika , hakuna kijiji hapa nchini ambacho kitakosa mwakilishi huko Kaskazini.

Jambo jingine ni kwamba hawa wafu wanapenda kwao bila kujali ngazi ya maendeleo. Mfano Masai pamoja na ujio umaskini wake lakini anajisifu kuzaliwa ngorongoro. Kuna watu wamezaliwa Pwani na wanaishi DAr ila ukiwaambia waende kwao mtagombana.

Wahaya na Wanyakyusa wamesoma na kuelimika lakini umewahi kuwaona wakiungana na familia Mbeya au Kagera? Wakinga wanapesa nyingi, wanamiliki uchumi wa Kariakoo lakini hakuna siku utawasikia wanakwenda Njombe.

Wasukuma ndo kabisa usiseme. Lakini pia tuna waha kutoka Kigoma hata viongozi tu kwenda kwao na kujenga huko hawataki....lakini makabila haya yote yanaungana na wachaga kwenda kaskazini mwisho wa mwaka. Tunahitaji kuwapongeza hawa wenzetu kwa kupenda kwao na kupathamini.

Tunapaswa kujifunza.Mikoa yote na majiji yote hakuna watu isipokuwa Arusha na Kilimanjaro.......huu umoja wao utufunze umuhimu wakishikana.

Mwisho, hawa jamaa ukiangalia magari yanayopeleka misiba kwao ni mengi si kwa sababu wanapenda tu kuzika kwao ila kwa sababu wanaouwezo wakuchangishana wakapata fedha, wana vikundi vyakusaidiana, wanapendana na mwisho wanainuana.

Sisi wengine tumebaki kusema hatutaki ukabila, bila makabila kuna Tanzania?
 
Haya makabila manne ya mikoa ya Arusha na Kilimanjaro wanachojinlvunia ni kwamba waliamua zamani kwenda kuishi Duniani na kuzaliana.

Leo hii tunaposema Kaskazini ndipo ilipo Christmas's si kwa sababu ya haya makabila pekee bali hata wasukuma ,wabaya, wayao, wajaluo ,wanyakyusa na makabila mengine yanaungana na hawa watu ambao kwa bahati nzuri awajawahi kukataa kwao.

Leo yakitokea madhara kaskani katika sikukuu hii hakuna nchi ambayo mwanachi wake hatoaathirika , hakuna kijiji hapa nchini ambacho kitakosa mwakilishi huko Kaskazini.

Jambo jingine ni kwamba hawa wafu wanapenda kwao bila kujali ngazi ya maendeleo. Mfano Masai pamoja na ujio umaskini wake lakini anajisifu kuzaliwa ngorongoro. Kuna watu wamezaliwa Pwani na wanaishi DAr ila ukiwaambia waende kwao mtagombana.

Wahaya na Wanyakyusa wamesoma na kuelimika lakini umewahi kuwaona wakiungana na familia Mbeya au Kagera? Wakinga wanapesa nyingi, wanamiliki uchumi wa Kariakoo lakini hakuna siku utawasikia wanakwenda Njombe.

Wasukuma ndo kabisa usiseme. Lakini pia tuna waha kutoka Kigoma hata viongozi tu kwenda kwao na kujenga huko hawataki....lakini makabila haya yote yanaungana na wachaga kwenda kaskazini mwisho wa mwaka. Tunahitaji kuwapongeza hawa wenzetu kwa kupenda kwao na kupathamini.

Tunapaswa kujifunza.Mikoa yote na majiji yote hakuna watu isipokuwa Arusha na Kilimanjaro.......huu umoja wao utufunze umuhimu wakishikana.

Mwisho, hawa jamaa ukiangalia magari yanayopeleka misiba kwao ni mengi si kwa sababu wanapenda tu kuzika kwao ila kwa sababu wanaouwezo wakuchangishana wakapata fedha, wana vikundi vyakusaidiana, wanapendana na mwisho wanainuana.

Sisi wengine tumebaki kusema hatutaki ukabila, bila makabila kuna Tanzania?
Dini ilianzia Kaskazini, ustaarabu ulianzia kaskazini.... UJINGA uliazia Dar....
 
Yeah this is truth

Hapa umesema kila kituu

Niko huu Ukanda wanaojiita wasomi na akina Ngosha kwa majukumu

Sijawai kupapendaaa hataa ngo

Naenda nyumbani sasa iviii hapaa

Huniambiii kituu kuhusuu Arushaaaaa

Kunywa bia mbili hapo nakuja kulipa
 
Kajitokeza shimoni fasta kama nguchiro.
Unawaita wasomi wa Kagera Nguchiroooooooo, huku tumelogwa ujue mkoa kama Kagera hata stand hakuna. Wakija nyumbani mabasi yatasimama wapi?

Ofcoz wanapenda kupanda ndege ila uwanja mdogo aaahaaaaaa

Wasukuma tupo nyuma ila wahaya wapo nyuma zaidi....wabishi hata kutoa michango ya maendeleo
 
Unawaita wasomi wa Kagera Nguchiroooooooo, huku tumelogwa ujue mkoa kama Kagera hata stand hakuna. Wakija nyumbani mabasi yatasimama wapi?

Ofcoz wanapenda kupanda ndege ila uwanja mdogo aaahaaaaaa

Wasukuma tupo nyuma ila wahaya wapo nyuma zaidi....wabishi hata kutoa michango ya maendeleo
Mimi hata sioni Mantiki ya andiko lako! Sasa hao wanasai au wapare wanawazidi nini wahaya na Wasukuma?
 
Back
Top Bottom