Wahaya wote inawahusu!!!

Bwenga upoooo!

Mi nilikuwa nakutania lkn sasa acha nikuchane live. Hiyo tabia yako ya kike. Ku-display mali za kakaako na kujifanya wewe ndio mwenye nyumba ni ujuha. Hakuna mtu aliyetaka kujua umechaguliwa wapi na kwa kozi gani. Hayo mambo ni ya kufanyia kijijini kwenu bwanjai na sio town, hapa unaonekana mshamba tu.

Halafu tuondolee bendera yetu kwenye avatar yako.

Mngekuwa wanaume kweli si mngeungana 1977 wakati Iddi Amini Dada anawaoa kwenye migomba wake kwa waume. Lkn pale mlifyata mpk Nyerere alipoona mmeolewa vya kutosha ndio akaagiza Wa-mume wa kazi kutoka Mara tukaja kuwakomboa. Na ndio maana mpk leo tukioa kwenu hatutoi mahari

we kweli hamnazo!ndo umechangia nn xaxa!
 
Bwenga upoooo!

Mi nilikuwa nakutania lkn sasa acha nikuchane live. Hiyo tabia yako ya kike. Ku-display mali za kakaako na kujifanya wewe ndio mwenye nyumba ni ujuha. Hakuna mtu aliyetaka kujua umechaguliwa wapi na kwa kozi gani. Hayo mambo ni ya kufanyia kijijini kwenu bwanjai na sio town, hapa unaonekana mshamba tu.

Halafu tuondolee bendera yetu kwenye avatar yako.

Mngekuwa wanaume kweli si mngeungana 1977 wakati Iddi Amini Dada anawaoa kwenye migomba wake kwa waume. Lkn pale mlifyata mpk Nyerere alipoona mmeolewa vya kutosha ndio akaagiza Wa-mume wa kazi kutoka Mara tukaja kuwakomboa. Na ndio maana mpk leo tukioa kwenu hatutoi mahari

we kweli hamnazo!ndo umechangia nn xaxa!na mahari ndo nn tena?
 
Nimechoka ngoja nibadilishe thread nyingine...................NEXT............
 
Bsc Electrical ni koz ya failures wengi sana coet..ila ushauri wangu acha ukabila kuna supp, carry over na incomplete zinakusubiri...some people are so poor all they have is money.....hahahahahahaha...so backward nigga so backward...a man who fears is weak and is a slave...
 
Wana JF na hasa wanafuatilia hii thread,


Inaelekea JF inakwenda kidogo kidogo kupoteza umaarufu wake. Watu hata hawasomi maandishi ya mleta mada kwa makini nakumuelewa kabla ya kuanza kutoa kashfa na matusi. Kwa mtizamo wangu finyu sioni kosa la mleta mada liko wapi. Wale wanaotukana na kumkashfu mleta mada basi wana matatizo ya kuelewa. Au kwa kuwa ameleta hiyo hoja hadharani hapa JF? Mimi nampomgeza kwa kuwa muwazi kwani makabila mengine yanafanya hivyo hivyo ila kwa siri. Makabila mengi yanajitahidi kuhamasisha vijana wao kuwa na mwamko na kiu ya elimu lakini bahati nzuri hawafanyi hivyo kupitia JF.,

Maendeleo ya kweli Tanzania yatapatikana kwa kuanzia kwenye kaya zetu, makabila yetu, wilaya zetu, mikoa yetu na hatimaye taifa. Anayekataa ukweli huu halitakii taifa maendeleo. Tanzania ya sasa suala la ukabila halina nafasi kabisa lakini hatuwezi kukataa ukweli kwamba kila kabila lina eneo lake la kujidai.

Labda kwa upande wangu nakubaliana na wazo la kwamba mleta mada angezungumzia mkoa wa Kagera kwa ujumla wake badala ya kuzungumzia wahaya. Kagera kuna wahaya, wanyambo, waangaza n.k. Inawezekana mleta mada lengo lake lilikuwa kuzungumzia suala la elimu katika mkoa wa Kagera ambao kwa ujumla elimu imeshuka sana mkoani Kagera.

Mnaotaka kunishambulia na mimi mnakaribishwa. Dokezo: Sitajibu hoja ya mtu yeyote!!!

Tiba

wewe umepotea,kama unamtizamo finyu hapa siko kwako labdaa jaribu kwa great sinker wenzako
 
Jamani asanteni sana wana jamvi kwa mawazo yenu. Kama nilivyosema mwanzo najaribu kuinua watu wa mkoa wa Kagera kwa kuunganisha wana vyuo mbalimbali hapa nchini. Sio nia yangu kuubiri ukabila, sio nia yangu kutenga jamii fulani lakini nimeona ni vema kumtibu mtoto wa nyumbani kabla ya kwenda kwa jirani.
Siku zote Charity begins at home. Hata Zitto Kabwe kawaunganisha wasanii wa Kigoma na kuweka michakato mbalimbali kwa ajili ya mkoa wa Kigoma, au na huo ni ukabila?
Nashukuru baadhi mmenielewa na ikiwezekana tuanzishe clubs huko vyuoni kwa ajili ya kukusanya mawazo na nyenzo za kuendeleza mkoa wetu. Tutaendelea kupeana taarifa ni vipi tufanikishe haya yote.
Nawakaribisha wote muitakiayo nchi yetu maendeleo. Remember a child is a child to the parents and just a kid to strangers.
NYUMBANI NI NYUMBANI.

Dogo kumbe ndo unajiunga na COET,mi nimepita hapo civil eng.lakini navyoujua mziki wa COet hasa civil and elect engineering ukifika hapo chuo hayo yote ya kuanzisha sijui clab wahaya utasahau,utaanza kuwaza assignment,boom,sap.kijana fika kwanza usome mazingira.
 
Kwa kuwataja Wahaya ushaweka ukabila.

Mara mia hata ungesema "wenyeji wa mkoa wa Kagera" maana unaweza kukuta mtu ni mwenyeji/mzaliwa wa huko na wala si Muhaya.

Sasa huyu atajisikiaje?

Inabidi ujifunze ustaarabu.
Hata sio hivyo tu bali Kagera ina makabila mengi tu Wahaya ndiyo wengi lakini inaonekana jamaa bado ana mawazo ya kizamani kwamba Kagera yote ni Wahaya. Na kwa kweli lugha uliyotumia hata mhaya ambaye ni mstaarabu hawezi kuunga mkono kabisa
 
Hata sio hivyo tu bali Kagera ina makabila mengi tu Wahaya ndiyo wengi lakini inaonekana jamaa bado ana mawazo ya kizamani kwamba Kagera yote ni Wahaya. Na kwa kweli lugha uliyotumia hata mhaya ambaye ni mstaarabu hawezi kuunga mkono kabisa

Ndio hao wenyeji wasio Wahaya.

Lawrence Masha kashawahi kudhaniwa Msukuma katika kipindi cha Mikasi, akasahihisha rekodi kwa kusema yeye si Msukuma, ni Mzinza.

Tanzania ina makabila mengi sana yasiyo maarufu, hizi habari za kulundika watu pamoja kwa makabila si nzuri.

Huko Kagera kuna Wahangaza wa Kagera pia, sasa hawa hawatakiwi kushiriki katika maendeleo ya mkoa kwa sababu si Wahaya?
 
MH!!
Wapendwa kaka zangu na dada zangu...Mimi kama Mtanzania na Muhaya,nimehuzunishwa na matusi,kashfa na kejeli za hii thread kuhusiana na Uhaya...ni kweli tuna mapungufu yetu ila ni kila mwanadamu ana yake,ukabila upo kila sehemu,ni vile kila mtu anamtupia mwenzake kesi badala ya kukubali na kuishi kama wamoja...tunatukanana...

Mwenyezi Mungu atusaidie watanzania sote,na wote waliotukana hapa...na hasa yule aliyemtukana mzazi wa mwenzake na akati mzazi huyo alishafariki...

Kabla ya kuchangia,tuangalie kwanza mtoa maada amejitambulisha vipi,na kama ni kashfa basi waweza kumrekebisha bila matusi....

Amani ya Mungu iwe nasi sote...
 
Kama wahaya wanafanyia kazi sifa basi ni vizuri. Ina maana wamshavuka stage nyingi za maendeleo. Physiological needs wameishaipita ambayo mtu anakuwa motivated na mambo ya msingi kama chakula na nguo. wameipita. ya pili ni socioalogical motivation ambayo mtu anakuwa motivated na sense of belonging to the society kwamba ana marafiki, wageni wanakuja kwake nk. ya tatu ni psychological ammapo mtu anakuwa motivated na sifa zilizo kwenye jina lake. Nataka niwe rais, professor, watu wanijue kwamba mimi mkali. Kama wahaya wako hivyo hawastahili kulaumiwa bali kupewa pongezi.
 
Yaani Watanzania waogope kujadili kuhusu matatizo yanayo kumba mkoa wao eti wasije kuitwa wakabila!! Mara ngapi tunaona matangazo kwenye magazeti/radio/TV raia wa kutoka mkoa fulani wanaitana kujadili maendeleo ya mkoa wao na hakuna anaye PINGA au kulalama, kwani ni lazima tusubiri Serikali kwa kila jambo.

Tatizo hapa kuna baadhi ya watu wanangalia aliye toa wazo hilo anatoka mkoa gani, angekuwa anatoka Katavi au Kasulu ungekaa kimya lakini akiwa ni mtu kutoka: Kilimanjaro, Mbeya au Kagera basi utasikia kwamba hawa watu wana ukabila wanataka kugawa nchi - mambo ya uzushi mtupu, na mara nyingi watu huwa wana-insist kuwaita watu makabila yao hata kama wanajuwa jina lako utasikia unasema yelu Mhaya au yule Mchaga - wanaona ni rahisi kutaja kabila kuliko JINA!

Hebu rudia kusoma mambo uliyo andika hapo juu, yanatoa picha gani? kwa kuwa mtoa hoja ni Mhaya basi hiyo inakuwa issue, nilijuwa watatokea watu wakuleta lame excuses kama hizi specifically mtoa mada akiwa ni MHAYA, mawazo haya ya kushangaza ndio yalifanya awamu ya kwanza kukwamisha maendeleo ya mikoa fulani - mtu una ambiwa eti miji ya Bukoba na Moshi ziliwekewa mikakati ya kimakusudi kuikwamishwa kimaendeleo na kielimu, wala siwezi kushangaa kama hakuna watu wanao endeleza ajenda hizi za siri mpaka leo.
hujui unachoongea wewe , hivi unajua kweli hata kuandika essay??? maana nimeangalia hapa nimeona ni blah blah tupu.. umesoma wapi wewe?? unajua kweli hata principles za academic writting?? maana naona unabwabwaja tu hapa..
 
Back
Top Bottom