Njunwa Wamavoko
JF-Expert Member
- Aug 11, 2012
- 5,745
- 2,338
Bwenga upoooo!
Mi nilikuwa nakutania lkn sasa acha nikuchane live. Hiyo tabia yako ya kike. Ku-display mali za kakaako na kujifanya wewe ndio mwenye nyumba ni ujuha. Hakuna mtu aliyetaka kujua umechaguliwa wapi na kwa kozi gani. Hayo mambo ni ya kufanyia kijijini kwenu bwanjai na sio town, hapa unaonekana mshamba tu.
Halafu tuondolee bendera yetu kwenye avatar yako.
Mngekuwa wanaume kweli si mngeungana 1977 wakati Iddi Amini Dada anawaoa kwenye migomba wake kwa waume. Lkn pale mlifyata mpk Nyerere alipoona mmeolewa vya kutosha ndio akaagiza Wa-mume wa kazi kutoka Mara tukaja kuwakomboa. Na ndio maana mpk leo tukioa kwenu hatutoi mahari
we kweli hamnazo!ndo umechangia nn xaxa!