GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,689
- 109,117
1. UKIMWI umeanzia kwenu Kagera
2. Ajali za Kuua kwa Jumla Jumla ( Watu wengi za Meli ) kama ile ya MV Bukoba imeanzia kwenu Kagera
3. Tetemeko Kubwa la Ardhi nchini Tanzania limeanzia kwenu Kagera
4. Ajali mbaya ya Ndege ( hii ya Majuzi ya Precision Air ) ni ya Pili Kihistoria bado imetokea kwenu Kagera
5. Ajali mbaya za Madereva Bodaboda Kufa hovyo kama Mbu wa Malaria imeanzia kwenu Kagera.
6. Matumizi mabaya ya Watu ( Watanzania ) kutotumia Condoms ipasavyo Kujikinga na Magonjwa ya Zinaa limeanzia kwenu Kagera
7. Ugonjwa mpya na Usiojulikana ulioripotiwa Jana na Vyombo mbalimbali vya Habari nchini Tanzania umeanzia kwenu Kagera.
Wahaya mmemkosea nini Mwenyezi Mungu nyie? Mbona matatizo haya kamwe huwezi kuyakuta Mkoa uliobarikiwa na Mwenyezi Mungu Tanzania nzima wa Mara / Musoma?
2. Ajali za Kuua kwa Jumla Jumla ( Watu wengi za Meli ) kama ile ya MV Bukoba imeanzia kwenu Kagera
3. Tetemeko Kubwa la Ardhi nchini Tanzania limeanzia kwenu Kagera
4. Ajali mbaya ya Ndege ( hii ya Majuzi ya Precision Air ) ni ya Pili Kihistoria bado imetokea kwenu Kagera
5. Ajali mbaya za Madereva Bodaboda Kufa hovyo kama Mbu wa Malaria imeanzia kwenu Kagera.
6. Matumizi mabaya ya Watu ( Watanzania ) kutotumia Condoms ipasavyo Kujikinga na Magonjwa ya Zinaa limeanzia kwenu Kagera
7. Ugonjwa mpya na Usiojulikana ulioripotiwa Jana na Vyombo mbalimbali vya Habari nchini Tanzania umeanzia kwenu Kagera.
Wahaya mmemkosea nini Mwenyezi Mungu nyie? Mbona matatizo haya kamwe huwezi kuyakuta Mkoa uliobarikiwa na Mwenyezi Mungu Tanzania nzima wa Mara / Musoma?