Wahaya wote inawahusu!!!

Katazeni na wale ndugu zenu wanaoishi kwakujiuza bukubuku huku mjini pia wanajenga vijumba vya udongo ikifika saa 12 jioni wanakaa mlangoni hebu anzeni huku mjini kule kigamboni ,pale uwanjani magenge ya juu,kule magomeni ,kule mwananyamala ,wamezidi mpaka aibu yani wao wanajua kujiuza tutututu wasaidieni na hao pia.

wewe kama cio mmoja wao basi ni mteja mzur 2 ambaye unauliza hadi makabila yao
 
Asante kwa ushauri wako. Hapa sijaonesha ukabila wowote, linapokuja suala la kijamii kama hili lazimi tuwajibike kwa nafsi zetu.
Nimechaguliwa Bsc. Electrical Engineering, UDSM.

Kijana unanifurahisha sana.... haya wenzako tulipita huko 1995 same course, Engineering ikiitwa FoE lakini tuko kimya!!!! Lakini ni wakati wako kufurahia, sema unazidisha kwakuwa wewe Mhaya!!
 
u A*s unazidi kuonyesha ujinga wako hapa mume nimtafutie humu!!c ningetangaza kweny mahusiano na mapenz incase u dnt knw dis z jukwaa la elim na cthan wa2 wenye akil ndogo kama yako kunakufaa?

Nimeishasema unatafuta mme,maana unawashwa kweli
 
Wana JF na hasa wanafuatilia hii thread,


Inaelekea JF inakwenda kidogo kidogo kupoteza umaarufu wake. Watu hata hawasomi maandishi ya mleta mada kwa makini nakumuelewa kabla ya kuanza kutoa kashfa na matusi. Kwa mtizamo wangu finyu sioni kosa la mleta mada liko wapi. Wale wanaotukana na kumkashfu mleta mada basi wana matatizo ya kuelewa. Au kwa kuwa ameleta hiyo hoja hadharani hapa JF? Mimi nampomgeza kwa kuwa muwazi kwani makabila mengine yanafanya hivyo hivyo ila kwa siri. Makabila mengi yanajitahidi kuhamasisha vijana wao kuwa na mwamko na kiu ya elimu lakini bahati nzuri hawafanyi hivyo kupitia JF.,

Maendeleo ya kweli Tanzania yatapatikana kwa kuanzia kwenye kaya zetu, makabila yetu, wilaya zetu, mikoa yetu na hatimaye taifa. Anayekataa ukweli huu halitakii taifa maendeleo. Tanzania ya sasa suala la ukabila halina nafasi kabisa lakini hatuwezi kukataa ukweli kwamba kila kabila lina eneo lake la kujidai.

Labda kwa upande wangu nakubaliana na wazo la kwamba mleta mada angezungumzia mkoa wa Kagera kwa ujumla wake badala ya kuzungumzia wahaya. Kagera kuna wahaya, wanyambo, waangaza n.k. Inawezekana mleta mada lengo lake lilikuwa kuzungumzia suala la elimu katika mkoa wa Kagera ambao kwa ujumla elimu imeshuka sana mkoani Kagera.

Mnaotaka kunishambulia na mimi mnakaribishwa. Dokezo: Sitajibu hoja ya mtu yeyote!!!

Tiba
 
Wabongo bana,basi kajamaa kanavotaja hyo fuculty yake utazania kakigraduate katakua na uwezo wa kucreat hata saa.2naishiaga kufanya wiring kwenye viwanda na majumba ya watu.cku mkiweza hata kutengeneza cm zenu itakua balaa,cjui zatakua katerelo mobiles?cjui.

Mkuu me sio mhaya but wa2 wa electrical engneern hawaucki na kutengeneza ivo vifaa vya electronics unavovitaja.
 
let mi jst leave u alone man coz nishajua ur head z nat okey u need a doctor.na kama wasemavyo ukibishana na taira na ww utaonekana taira n mi nko sawa men real NSHOMIRE.

Hapo kwenye red kumbe ndiyo maana,ngoja na mimi nikuache
 
Kawakomboe kwanza dada zako pale buguruni,wanauza 0713 kwa bei ya jioni!tuna mlinzi wa kihaya siku moja aligombana na dogo akasema hivi"na akajangu kange kashomile"yaani huko uhayani hata paka wake amesoma!hamna lolote ushamba huwa unawatesa sana.
 
Kawakomboe kwanza dada zako pale buguruni,wanauza 0713 kwa bei ya jioni!tuna mlinzi wa kihaya siku moja aligombana na dogo akasema hivi"na akajangu kange kashomile"yaani huko uhayani hata paka wake amesoma!hamna lolote ushamba huwa unawatesa sana.

we nawe ni mteja au pia muuzaji a hyo 0713 lakn 2 bad hapa cio penyewe pa kutangaza biashara yako!
 
Mkuu me sio mhaya but wa2 wa electrical engneern hawaucki na kutengeneza ivo vifaa vya electronics unavovitaja.

punguza wivu ww.na we taja unachosemea 2kucfie basi naona unapondea vya mwenzio wakat hata akili ya kuxoma mambo kama hayo huna you bogas
 
mimi ni muhaya na swez kukana kabra langu kutokana na tabia walionazo wenzangu.ushauli wangu ss wasom 2ngejtahid kubadl tabia za baadhi ya wenze2 wanaofanya 2dharaulke ktk jamii.
 
Kawakomboe kwanza dada zako pale buguruni,wanauza 0713 kwa bei ya jioni!tuna mlinzi wa kihaya siku moja aligombana na dogo akasema hivi"na akajangu kange kashomile"yaani huko uhayani hata paka wake amesoma!hamna lolote ushamba huwa unawatesa sana.
Wana JF na hasa wanafuatilia hii thread,

Maendeleo ya kweli Tanzania yatapatikana kwa kuanzia kwenye kaya zetu, makabila yetu, wilaya zetu, mikoa yetu na hatimaye taifa. Anayekataa ukweli huu halitakii taifa maendeleo. Tanzania ya sasa suala la ukabila halina nafasi kabisa lakini hatuwezi kukataa ukweli kwamba kila kabila lina eneo lake la kujidai.
Mnaotaka kunishambulia na mimi mnakaribishwa. Dokezo: Sitajibu hoja ya mtu yeyote!!!

Tiba

katika research iliyofanyika kwenye hilo eneo wasichana wengi pale sio wa kutoka mkoa unaousema, tafadhali fuatilia kama una nia njema na unaguswa na hii hoja.
Pili mleta hoja atakuwa labda amefanya makosa ya kawaida kwa kusema Wahaya badala ya Kagera kama wengi tunavyoamini kuwa Kilimanjaro yote ni ya Wachagga!

Lakini cha msingi kabisa, Watanzania wengi ukiongelea hoja ya kabila, eneo, unaonekaka unaleta migawanyiko na kumbuka mleta hata kasema kabisa kuwa wakazi wa Kagera hata kama sio Wahaya. Kwa jinsi hii tumeshindwa kuendelea maana linchi hili ni likubwa na ili kulimanage vizuri inabidi kulisplit into manageable areas kama sera ya cdm na Majimbo.

Mbali na hapo namkumbusha tu kuwa zile expectations na mazingira ya chuo outwardly mara nyingi yanatofautiana na outputs (yaani utakachokipata hapo). So, kuwa makini and keep your words!

 
Kwa kuwataja Wahaya ushaweka ukabila.

Mara mia hata ungesema "wenyeji wa mkoa wa Kagera" maana unaweza kukuta mtu ni mwenyeji/mzaliwa wa huko na wala si Muhaya.

Sasa huyu atajisikiaje?

Inabidi ujifunze ustaarabu.
Nadhani huyu dogo ataielewa hii post toka kwa Great Thinker, kama na yeye anataka kuwa Great Thinker wa hapo baadaye.
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom