a04050f2-aa1f-4934-afda-6a6bc52830b7.jpg
 
Taifa likiwa kwenye vita Kali ya kupambanua na kinachoitwa Ushoga, hatimae mastaa mbalimbali waanza kujitokeza hadharani na kujitangaza kuwa wao ni waamini wa Maupinde Upinde..

N.B
Ushoga ni Ulemavu wenye Uraibu ndani yake. Tuwasaidie hata Kwa kuwapiga risasi watu hawa
Mwijaku nae star?
 
Nyuma ya UN

Waombee tu viongozi, si kwamba nao wanapenda uchafu

Shida ni umoja huu unaoitwa "UN" ukijiunga nao tambua unaziweka sheria zako (za nchi) kibindoni. Ni kwamba sheria za kimataifa zipo juu ya sheria za nchi husika. Sharti kila mwanachama ale kiapo cha kulinda haki za binadamu, hali kadhalika elimu ya kimataifa, afya ya kimataifa nk.

Ndio maana viongozi wanapata kigugumizi linapokuja suala la LGBTQ, utaona kana kwamba wanalipinga hivi kwa mdomo huku wakitumia tafsida nyingi. Jua hapo wanafanya siasa lakini wakiwa huko wanapiga kimya na kuonesha ni watii wa sheria za kimataifa. Karibu nchi zote duniani zinasheria kali dhidi ya ushoga, kwa Tanzania ni jinai kabisa lakini kamwe huwezi sikia shoga/msagaji kakamatwa. Tunawaona humu wakijiachia na kujiuza kabisa bila wasiwasi, ni kwasababu wanalindwa na sheria za kimataifa.

Nikukumbushe, miaka kadhaa iliyopita, wakati wa utawala wa Magufuli ambaye si tu kwa kauli alionesha kwa matendo kupinga ushoga, bali kupitia mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam wa wakati huo naam bwana Makonda alitangaza msako wa mashoga. Wengi hasa wananchi walimuunga mkono kwa jitihada hizo nzuri. Lakini matokeo yake, ni UN ikawaka moto kwamba TZ inakanyaga haki za binadamu, hapo hapo Marekani na nchi za magharibi zikatangaza kuwa Tanzania si salama kwa makundi maalum, na zaidi wakaamuru watu wao (mashoga) waondoke Tanzania.

Msukumo (pressure) ukawa mkali kiasi cha wahisani wa uchumi kutishia kujiondoa. Serikali ikafanya jambo la ajabu, ikamtoa kafara Makonda kwa madai ni jambo lake binafsi na si msimamo wa serikali. Kauli hiyo ilitolewa bungeni na waziri wa mambo ya nje bwana Maige, pia waziri wa mambo ya ndani bwana Kangi Lugoe naye akatoa tamko kuwa mashoga wapo salama kabisa na wanalindwa. Mchezo ukabakia kwa Makonda ambaye aliwekewa vikwazo vya kuingia USA na baadhi ya nchi za Ulaya. Na game likawa over hadi leo hivi.

Hivyo basi jaribu kutofautisha siasa na mambo halisi. Marais hasa wa nchi za ulimwengu wa pili na watatu hawana nguvu ya kwenda tofauti na sheria za kimataifa. Kumbuka UN ndio ilitoa kibali cha kuingilia mambo ya ndani ya Libya kwa kivuli cha haki za binadamu. Leo elewa kuwa UN ni zaidi ya umoja ni chombo chenye nguvu kinachoendeshwa na watu wenye nguvu wasiojulikana. Kujiunga ni rahisi lakini kujitoa ni mtihani. Trump alijaribu kujitoa WHO (shirika la afya la UN) alikutwa na mabaya ya kutosha. Ingawa inaonekana kana kwamba UN ni chombo cha west hususani USA lakini kiukweli si chombo rafiki kwa katiba ya Marekani wala kwa Wamarekani. Ni kweli mataifa makubwa kama Marekani, Urusi, China, Uingereza na Ufaransa yanaonekana kama yana msimamo binafsi fulani fulani juu ya mambo yao ya ndani lakini pia yanaathirika kwa namna moja ama nyingine kwa sheria za UN. Maana mataikuni wa UN ni wenye nguvu nyingi (more powerful) wasiofungwa na mipaka, na lengo lao ni kuunda super power ya ulimwengu (global goverment) ikitawaliwa na wao. Na kama hujui basi leo tambua kuwa,

Lengo kuu la UN ni kufikia serikali moja ya dunia. Uchumi mmoja wa dunia. Dini moja ya dunia. Na WEF ndio chombo mkakati cha UN cha kutimiza malengo hayo, na mataifa yote yamekipokea chombo hicho na kutimiza matakwa yake.

Kwa nchi maskini ndio zinapata tabu. Umeona huko Asia kuna nchi hazitaki kuona hao UN na organization zao. Nchi zinazojitambua na zenye nguvu kama Russia, China, India, Iran nknk unaona zikipelekeshwa??. Asia wamekatza ushoga, Russia nao wamekataza. Tatizo letu ni umaskini tunategemea misaada na mikopo uchumi wetu haujajengwa kwa kujitegemea. Tukianza kujitegemea watakosa sauti ndomana tunapingana na Unipolar world.
 
Taifa likiwa kwenye vita Kali ya kupambanua na kinachoitwa Ushoga, hatimae mastaa mbalimbali waanza kujitokeza hadharani na kujitangaza kuwa wao ni waamini wa Maupinde Upinde..

N.B
Ushoga ni Ulemavu wenye Uraibu ndani yake. Tuwasaidie hata Kwa kuwapiga risasi watu hawa

Huyu jamaa naskia sio mzma ni wale mchicha mwiba.
 
Wizara ya Elimu kwa kushirikiana na wamiliki wa shule au bodi ya shule wanapaswa watupie jicho Kali kwenye shule zote za bweni ziwe za wasichana tu au wanaume tu au mchanganyiiko.

Bila usimamizi wa karibu vitendo vya ushoga na usagaji huwa vinaendelea miongoni mwa wanafunzi na hatimaye kuzaliwa kwa mashoga na wasagaji.

Narudia Tena shule zote za bweni zitizamwe kwa ukaribu.

Tanzania bila ushoga Wala usagaji inawezekana, kamwe tusione aibu kukemea na kuchukua hatua Kali.
 
Wizara ya Elimu kwa kushirikiana na wamiliki wa shule au bodi ya shule wanapaswa watupie jicho Kali kwenye shule zote za bweni ziwe za wasichana tu au wanaume tu au mchanganyiiko.

Bila usimamizi wa karibu vitendo vya ushoga na usagaji huwa vinaendelea miongoni mwa wanafunzi na hatimaye kuzaliwa kwa mashoga na wasagaji.

Narudia Tena shule zote za bweni zitizamwe kwa ukaribu.

Tanzania bila ushoga Wala usagaji inawezekana, kamwe tusione aibu kukemea na kuchukua hatua Kali.
Huna lolote hao watoto wadogo ukawadhanie kuleta ushoga! Ushoga upo ngazi ya familia, nyie Makaka, MaAnko, Mababa, Mababu ndio mnawaharibu watoto,

Ushoga haupo mashuleni upo kwenye familia zenu, acheni kulawiti watoto.
 
Wizara ya Elimu kwa kushirikiana na wamiliki wa shule au bodi ya shule wanapaswa watupie jicho Kali kwenye shule zote za bweni ziwe za wasichana tu au wanaume tu au mchanganyiiko.

Bila usimamizi wa karibu vitendo vya ushoga na usagaji huwa vinaendelea miongoni mwa wanafunzi na hatimaye kuzaliwa kwa mashoga na wasagaji.

Narudia Tena shule zote za bweni zitizamwe kwa ukaribu.

Tanzania bila ushoga Wala usagaji inawezekana, kamwe tusione aibu kukemea na kuchukua hatua Kali.
Una Hoja, unapaswa kusikilizwa.
 
Mahari yangu ni milioni 3 tu, na set moja ya dhahabu (cheni, hereni, pete, bracelet, cheni ya kiunoni, vikuku miguu yote)..... sina bei mie

Tuma kwenye namba ile ile
Unajua namna napenda ka cheni ka kiunoni .. kama haka kanafaa ila nakuleta ka gold.. na kila kitu umepata hivyo.. mahalk hata wangepandisha ningetoa tu
images.jpeg



Haya nakucheki chap chap 😊
 
Jamaa yuko sawa kabisa ushoga iko kwenye kundi la wazinifu na ndio maana kwenye amri kumi za mungu hakuna sehemu inayo sema usimfanye ushoga, bali inasema usizini ina maana mashoga wamewekwa kundi moja na wazinzi.

Hapa duniani ushoga anaweza onekana ni mtu muovu ukilinganisha na mzinifu lakini mbele ya mungu madaraja yao yako sawa nikiwa na maana kuwa adhabu atayo pata shoga ndo hiyo hiyo atayo pata mzinzi.
haikuandikwa usifanye ushoga maana Mungu hakudhan kabisa kuwa kiumbe huyu angewaza na kufanya kitu ambacho hata mnnyama hafanyi, however curiosity killed the cat
 
Back
Top Bottom