Hii issue iko tricked na ina macho makali ya mbali,watu wakae kwa tahadhari pana. Sijui sn lkn nionavyo itakuja ing'oke na watawala na vyama vya siasa vimetawala miaka mingi (hasa wataojifanya rigid).

Nijuavyo wale jamaa hajawah ku fail wanapolitaka jambo lao.
Kwa mbalii nayaona yakirejelea ya kina Saddam,Gadaf.

Ndiy maana Mama Mkulu wetu hapa anaiongelea kijanja sana
 
We si ulikuja hapa kujutia kuwa msagaji Naona Pepo limekurudia tena

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Asee ni ngumu sana kwa watu hawa kuacha tabia hizo, tumeshajaribu kumwachisha ndugu yetu wa kiume imeshindikana kabisa, tulitumia njia zote, mpaka polisi tumempeleka lakin cha ajabu dogo yule akawa mke wa afande kufika kule akaliwa tena ikabidi tumwache, dogo ni handsome inafikia mahali tunamkabizi kwa Pastor lakini ajabu Pastor anamla tena, sisi tunasubiri majibu Pastor kimya, polisi kimya, tukakata tamaa
 
Huu upepo unavuma kwa kasi ya ajabu sana, Tanzania itaponea wapi?

Tanzania ikatae utamaduni huo wa mapenzi ya jinsia moja na isilazimishwe kuunga mkono ushetani huo
sheria ya ulawiti tz imekataza hayo yote....
 
Mh tunaanza kuibiwa wapenzi na wanaume ase nikikuta shoga na bwana wangu wote nawakata mbupu
Kwa relationships type hiyo wengi mnachukuliwa ili mlinde reputation za wanaume zenu in the society but hawawapendi hataa. Girl ukijipata kwa situation hiyo chill because waeza kuta wewe ndio umeingilia mapenzi ya watu. Naongea out of experience usiponizingatia shauri yako
 
Asee ni ngumu sana kwa watu hawa kuacha tabia hizo, tumeshajaribu kumwachisha ndugu yetu wa kiume imeshindikana kabisa, tulitumia njia zote, mpaka polisi tumempeleka lakin cha ajabu dogo yule akawa mke wa afande kufika kule akaliwa tena ikabidi tumwache, dogo ni handsome inafikia mahali tunamkabizi kwa Pastor lakini ajabu Pastor anamla tena, sisi tunasubiri majibu Pastor kimya, polisi kimya, tukakata tamaa
Hii kali
 
Hii issue iko tricked na ina macho makali ya mbali,watu wakae kwa tahadhari pana. Sijui sn lkn nionavyo itakuja ing'oke na watawala na vyama vya siasa vimetawala miaka mingi (hasa wataojifanya rigid). Nijuavyo wale jamaa hajawah ku fail wanapolitaka jambo lao.
Kwa mbalii nayaona yakirejelea ya kina Saddam,Gadaf. Ndiy maana Mama Mkulu wetu hapa anaiongelea kijanja sana
Museven atakuja kupigwa chuma kama Gaddaf mana maraisi wote wenye kiburi wanafyekelewa mbali dadadek,
 
Asee ni ngumu sana kwa watu hawa kuacha tabia hizo, tumeshajaribu kumwachisha ndugu yetu wa kiume imeshindikana kabisa, tulitumia njia zote, mpaka polisi tumempeleka lakin cha ajabu dogo yule akawa mke wa afande kufika kule akaliwa tena ikabidi tumwache, dogo ni handsome inafikia mahali tunamkabizi kwa Pastor lakini ajabu Pastor anamla tena, sisi tunasubiri majibu Pastor kimya, polisi kimya, tukakata tamaa
Umejua kunichekesha, kwa hiyo kwenda polisi akawa mke wa Afande, kwenda Kanisani akawa mke wa Pastor halafu hao wote wakisimama mbele ya jamii wanajifanya kufurukutwa nafsi kupinga ushoga huku wanakulana gizani,

Heko kwa Mozambique,Heko kwa DRC, Heko kwa Ivory Coast, Heko kwa South Africa,

Unafki Noooo
 
Kwa relationships type hiyo wengi mnachukuliwa ili mlinde reputation za wanaume zenu in the society but hawawapendi hataa. Girl ukijipata kwa situation hiyo chill because waeza kuta wewe ndio umeingilia mapenzi ya watu. Naongea out of experience usiponizingatia shauri yako
Lakini why mwanaume mwezie mimi mwanaume akichepuka siwazi na mimi nachepuka na mwanaume ambaye kamzidi kila kitu ila hapo kwa magay hapana
 
Umejua kunichekesha, kwa hiyo kwenda polisi akawa mke wa Afande, kwenda Kanisani akawa mke wa Pastor halafu hao wote wakisimama mbele ya jamii wanajifanya kufurukutwa nafsi kupinga ushoga huku wanakulana gizani,

Heko kwa Mozambique,Heko kwa DRC, Heko kwa Ivory Coast, Heko kwa South Africa,

Unafki Noooo
Tulijua tunamsaidia kumbe ndo tunampoteza kabisa, wote tuliwakabizi wakawa mabasha zake
 
Asee ni ngumu sana kwa watu hawa kuacha tabia hizo, tumeshajaribu kumwachisha ndugu yetu wa kiume imeshindikana kabisa, tulitumia njia zote, mpaka polisi tumempeleka lakin cha ajabu dogo yule akawa mke wa afande kufika kule akaliwa tena ikabidi tumwache, dogo ni handsome inafikia mahali tunamkabizi kwa Pastor lakini ajabu Pastor anamla tena, sisi tunasubiri majibu Pastor kimya, polisi kimya, tukakata tamaa
 
Back
Top Bottom