Mess
JF-Expert Member
- Mar 2, 2009
- 661
- 181
Harafu we don't judge someone by higher GPA they hold we judge them by contribution they have to the society. Kuna mtu huwa anasema elimu ni kile kilichobaki kichwani sio vyeti ulivyonavyo, maana watu wanadesa kweli kweli na wanapata GPA kubwa kumbe hamna kitu.