fikilia oposite tena kama mnyika akidhibitisha itakuwaje? be a great thinker bana
muda huu wa saa sita na dkk 50 mbunge wa iramba mh. Nchemba amemshika pabay mh. Mnyika bungeni. Nchemba baada ya kuchangia ktk wizara ya maji, amemkumbusha mwenyekiti wa bunge mama mhagama kuwa leo ndiyo siku ya saba na ya mwisho ambazo mnyika alipewa kuthibitisha kuwa nchemba anahusika na wizi wa EPA. Mwenyekiti amemuomba asizungumzie suala hilo kwa kuwa linashughulikiwa na ofisi ya spika.
USHAURI WANGU KWA CHADEMA
Katika kikao cha kamati kuu ya chadema kinachoendelea, wanachadema wakumbushane kulinda kauli zao bungeni. bunge ni pahala patakatifu! siyo kijiweni. vile nchemba amekumbushia leo, inaelekea anaamii kuwa hahusiki. alijiunga na B.O.T baada ya kashfa ya EPA. na alikua ofisa wa chini. inaelekea suala hili litamkalia pabaya mnyika! tuache kuropoka!
Wakatabahu: wakuziba (mzee wa ukweli unaochoma)
Mwenyezi Mungu anatupenda sana sisi watoto wake sote kwa haki sawa. Alituumba na kutupatia akili nzuri na busara za kutosha kutuwezesha kumtumika vizuri ipasavyo. Ila baadhi yetu kama wewe uliamua kumuasi mwenyezi mungu na kutupilia mbali akili timamu alizokupa kusudi umtumikie shetani.!
Sijui kwanini watu wahajiulizi ilikuwaje huyu 'rookie' akapewa cheo cha Treasurer wa chama? Kumbuka hii nafasi iliwahi kushikiliwa na RA!
Mheshimiwa kalewa sifa,It's not what you say but how you say it!Mnyika amekuwa ni kiongozi mzuri mstaarabu aliyekuwa akiheshimika kwa pande zote iwe CDM ama CCM. Nakumbuka mama Anna Abdallah kuna siku alimsifia sana Mnyika kwa hoja anazozitoa Bungeni akasema kuna vijana kama Mnyika ambao wanakuja vizuri sana Bungeni. Pia juzi nakumbuka Spika alisema kuna watu walikuwa wanakuja vizuri lakini sijui wamepatwa na nini. Kwa kweli Mnyika amekuwa ni nguzo bungeni kwa hoja zake zenye mashiko lakini kuanzia Bunge hili naona kama anapoteza mwelekeo. Ameingia kwenye mkumbo ambao si sahihi; mkumbo wa kutafuta umaarufu kwa kukashfu watu. Mbona alikuwa maarufu tu hata kwa wanywa kahawa wenzangu lakini tangia aanze mambo ya kashfa watu wanaanza kumsema ambavyo sivyo.
Mwalimu!Mwenyezi Mungu anatupenda sana sisi watoto wake sote kwa haki sawa. Alituumba na kutupatia akili nzuri na busara za kutosha kutuwezesha kumtumika vizuri ipasavyo. Ila baadhi yetu kama wewe uliamua kumuasi mwenyezi mungu na kutupilia mbali akili timamu alizokupa kusudi umtumikie shetani.!
Chadema si chama makini kama wengi wetu tulivokuwa tukidhani hapo awali......
Umetumwa? Hiyo tabia yako ya ukuhadi itakupeleka pabaya.muda huu wa saa sita na dkk 50 mbunge wa iramba mh. Nchemba amemshika pabay mh. Mnyika bungeni. Nchemba baada ya kuchangia ktk wizara ya maji, amemkumbusha mwenyekiti wa bunge mama mhagama kuwa leo ndiyo siku ya saba na ya mwisho ambazo mnyika alipewa kuthibitisha kuwa nchemba anahusika na wizi wa EPA. Mwenyekiti amemuomba asizungumzie suala hilo kwa kuwa linashughulikiwa na ofisi ya spika.
USHAURI WANGU KWA CHADEMA
Katika kikao cha kamati kuu ya chadema kinachoendelea, wanachadema wakumbushane kulinda kauli zao bungeni. bunge ni pahala patakatifu! siyo kijiweni. vile nchemba amekumbushia leo, inaelekea anaamii kuwa hahusiki. alijiunga na B.O.T baada ya kashfa ya EPA. na alikua ofisa wa chini. inaelekea suala hili litamkalia pabaya mnyika! tuache kuropoka!
Wakatabahu: wakuziba (mzee wa ukweli unaochoma)
Tatizo sio kukatishana tamaa bali magamba mengi yameleta mawakala wao humu jamviniMwalimu!
ni kwanini hii forum siku hizi inapotokea mtu ana mawazo tofauti na wachangiaji wa Pro Chadema basi anaandamwa na kejeli na matusi au kukatishwa tamaa ,Hoja kwa hoja zimekwenda wapi?
Chadema hata cku moja huwa hawaropoki mkuu, tena kwa mtu makini kama mnyika ndo kabisaa we subiria gunia la ushahidi na hautapigwa dana dana kama ule wa lema kwa mzee wa liwalo na liwe sijui...!! Yetu masikio..