Mustaphagentleman
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 3,954
- 3,011
Yani hao ni kuwakwepa kama ukoma hawachelewi kukupost Insta huku wakiandika nikiwa na new baby haha Nomaaaamashoga wapo kibao na nawatambua wote tena wanatumia ID za kike
Yani hao ni kuwakwepa kama ukoma hawachelewi kukupost Insta huku wakiandika nikiwa na new baby haha Nomaaaamashoga wapo kibao na nawatambua wote tena wanatumia ID za kike
Duuuh!! Noma sana...utaoa shoga mkuu mtu anajiita anna atafta mume kumbe dume
Kwa hesabu za haraka haraka ukitaka kujua idadi kamili ya members wa jamii forum (idadi ÷ 3)=hahahahahahahahahahaha
ina maana takwimu kuwa JF ina members.... sio za kweli wengine wamejirudia tehe tehe tehe tehe
Kwani ni wote wana ID tatu tatu? kwa mfano mie ni hii tu sasa kwa hiyo formula si nitapata jibu ambalo sio sahihi?Kwa hesabu za haraka haraka ukitaka kujua idadi kamili ya members wa jamii forum (idadi ÷ 3)=
hizo sura za wastani ndo zikoje mkuuWengine wanaona aibu kuandika kupitia ID ya zamani kwa heshima na comments za ufasaha. Yani ID moja unaigiza upo high class na una familia na ndoa, ID nyengine unatafuta mpenzi upo single.
Madem wa jamii forum wana maumbo mazuri a.k.a chura japo sura za wastan lakini wanajitambua
*kuna ambao wamepigwa BANKwani ni wote wana ID tatu tatu? kwa mfano mie ni hii tu sasa kwa hiyo formula si nitapata jibu ambalo sio sahihi?
najua wengi tuhivi unajua kuwa kuna madume wanatumia id za kike na maarufu humu kuna muda unachati nao sana ukijua wanawake wenzio kumbe mapunga
mkuu total member ni laki 3 hebu tuchambue isijekuwa tupo active 80 elfu tu maana wanaochat humu ni walewale*kuna ambao wamepigwa BAN
*kuna ambao wenye ID nyingi 2-5
*kuna ambao wameacha kutumia Jf
*Kuna ambao wamefariki
*Kuna ambao pasword wamezisahau
*Kuna ambao wamebadili ID kutaka jina jipya zuri.
--- niende mkuu
*kuna ambao wamepigwa BAN
*kuna ambao wenye ID nyingi 2-5
*kuna ambao wameacha kutumia Jf
*Kuna ambao wamefariki
*Kuna ambao pasword wamezisahau
*Kuna ambao wamebadili ID kutaka jina jipya zuri.
--- niende mkuu
Basi huenda active members wapo laki 1 tu, ukitoa wale wanaosoma nje ya Jf ambao sio member.kuna memberz 300,000