Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 25,557
- 45,875
utoto unawasumbua nyie .hyo id mpya naitumia muda gani wakati muda wote nipo humu.halafu sina maisha ya kishamba hivo kwamba jf kwangu ni lazima hadi niwe na id kibao .siana id ingine humu wala siitaji labda nijitoe tu nina maisha mengine kabisa .mimi sio mtoto huo upuuzi watafanya watoto kama nyieuzuri wake ukija na id mpya tabia haibadiliki mie nishamjua mbona