cheza kwa step humubora umejua kwakuwa upo humu kitambo sana
Ivi wanapata kweli?walichokitaka wakishakipata hawapost tena
humu humu watu wanamegana vizuri tu ila wakiachana ndo shida inapoanza na multiple id zinaanza kufanyakazi
Afu kweliaah kwani kuna ubaya kumegana si maelewano tu
utafiti wangu kiboko siyo ule wa twaweza
Nakubaliana na ww mkuu!!!Mtu mwenye akili timamu hatafuti mpenzi mitandaoni.
duuh kwhyo wewe ni namba 9 mzoefu kila mechi unataka ufunge
Nacheka maana naona huu uzi wako utakuwa umewagusa sana watu, kuna m1 naona nae kashakuja kutafuta mke mda sio mrefu na ID mpya.mbna watabasamu mkuu?