Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye mazingira yake ya kila siku, iwe ofisini,mtaani n.kanatafuta wapi mkuu?
Humu wapo watu wa mataifa mbali mbali na tamaduni tofauti tofauti, au wa humu wote ni wa mazingira yako uliyopo?ukumbuke wanawake wa mtaani,sokoni,ofisini,kanisani,msikitini,vyuoni,mashuleni ndio hawa wanaotumia jamiiforums
hata aliyeko nje ya jamiiforums huwezi ukamjua tabia yake mpaka utakapoishi nayeHumu wapo watu wa mataifa mbali mbali na tamaduni tofauti tofauti, au wa humu wote ni wa mazingira yako uliyopo?
Na hata kama mtu anatabia chafu utajuaje kwa kumpatia humu?
Sio kweli, ila kama unaamini mitandaoni ni njia sahihi ya kutafuta mpenzi endelee.hata aliyeko nje ya jamiiforums huwezi ukamjua tabia yake mpaka utakapoishi naye
memberz hatuzidi ishirinihahahahahahahahahahaha
ina maana takwimu kuwa JF ina members.... sio za kweli wengine wamejirudia tehe tehe tehe tehe
kwahiyo hata wewe una ID nyingi humu?wale members laki tatu.
watakuwa ni 30,000.
nilikuwa nazo,nikaomba ziunganishwe maana nilikuwa najichanganyakwahiyo hata wewe una ID nyingi humu?
Mimi ndio hii hii moja sina nyingine.nilikuwa nazo,nikaomba ziunganishwe maana nilikuwa najichanganya
ile nyingine?ya ht mena?Mimi ndio hii hii moja sina nyingine.
Nilibadilisha sasa ndio natumia hiiile nyingine?ya ht mena?
mbona sikuoni kule kupuka forum??Nilibadilisha sasa ndio natumia hii
Kule kwangu aisee. Nitakuja muda wowote sasa hivi napitia majukwaa mengine kwanzambona sikuoni kule kupuka forum??