Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
tatizo ni baba Mwana asha!
Kweliiiii!?
tatizo ni baba Mwana asha!
Wana jamvi,
katika gazeti la Mtanzania la leo kuna habari inayosema kamati kuu ya CCM inakutana leo saa 4 IKULU kujadili mambo mbalimbali ikiwemo kupokea mapendekezo ya party caucus ya kutaka mawaziri 8 kujiuzulu.
Inasemekana kwamba CCM inafanya haraka kubadili BLM ili kuipokonya CHADEMA ajenda yake ya OPERESHENI UWAJIBIKAJI.
Sehemu iliyonivutia katika habari hii ni pale chanzo hicho kilichotaja majina ya mawaziri wanaotarajiwa kuchukua nafasi zitazoachwa wazi kuwa ni:
-GODFREY ZAMBI
-ABDALLAH KIGODA
-KHAMIS KIGWANGALLA
-FAUSTINE NDUGULILE
-CHARLES TIZEBA
-JANUARY MAKAMBA
-STEPHEN MASELE
Wana jamvi, mnawaonaje mawaziri wetu hawa wapya watarajiwa?
wana jamvi,
katika gazeti la mtanzania la leo kuna habari inayosema kamati kuu ya ccm inakutana leo saa 4 ikulu kujadili mambo mbalimbali ikiwemo kupokea mapendekezo ya party caucus ya kutaka mawaziri 8 kujiuzulu.
Inasemekana kwamba ccm inafanya haraka kubadili blm ili kuipokonya chadema ajenda yake ya operesheni uwajibikaji.
Sehemu iliyonivutia katika habari hii ni pale chanzo hicho kilichotaja majina ya mawaziri wanaotarajiwa kuchukua nafasi zitazoachwa wazi kuwa ni:
-godfrey zambi
-abdallah kigoda
-khamis kigwangalla
-faustine ndugulile
-charles tizeba
-january makamba
-stephen masele
wana jamvi, mnawaonaje mawaziri wetu hawa wapya watarajiwa?
Yani Kigoda? Liuza viwanda na mashirika ya umma kwa wawekezaji hewa (wasio na sifa). Tulimsikia Mkapa alipokua anaongea kwenye kigoda cha mwalimu Nyerere! Kwamba watuambia mashirika yaliyobinafsisha yale yameleta tija gani kwa watz! sasa huyu huyu apewe uwaziri? Tazito letu tena hapa ni mfumo mbaya wa kupata mawaziri. Sasa angalia hiyo oradha iliyotolewa inamaanisha CCM watu wasafi wameisha. Inabidi huu mfumo wa kuteua wabunge kuwa mawaziri tuukate kwenye katiba mpya, ili mawaziri watoke sehemu nyingine kabisa, wawe watu wenye utaalamu na mambo ya wizara husika, siyo wanasiasa wanadanganywa kila siku na wafanyakazi wao kwa sababu hawaelewi chochote.
Wana jamvi,
katika gazeti la Mtanzania la leo kuna habari inayosema kamati kuu ya CCM inakutana leo saa 4 IKULU kujadili mambo mbalimbali ikiwemo kupokea mapendekezo ya party caucus ya kutaka mawaziri 8 kujiuzulu.
Inasemekana kwamba CCM inafanya haraka kubadili BLM ili kuipokonya CHADEMA ajenda yake ya OPERESHENI UWAJIBIKAJI.
Sehemu iliyonivutia katika habari hii ni pale chanzo hicho kilichotaja majina ya mawaziri wanaotarajiwa kuchukua nafasi zitazoachwa wazi kuwa ni:
-GODFREY ZAMBI
-ABDALLAH KIGODA
-KHAMIS KIGWANGALLA
-FAUSTINE NDUGULILE
-CHARLES TIZEBA
-JANUARY MAKAMBA
-STEPHEN MASELE
Wana jamvi, mnawaonaje mawaziri wetu hawa wapya watarajiwa?
Wakuu wana JF,naomba tumsaidie Rais Juu ya nani abaki na nani aondolewe na nani abadishiwe wiraza kwenye baraza jipya linalotarajiwa soon:
mawazo yangu:
1.Ngeleja na Malima OUT,wametusababishia madeni makubwa yakiwemo DOWANS
2.Nundu na Naibu wake wabadilishiwe wizara,cant work together kila sikumigogoro
3.Ciril na Nyalandu watenganishwe,na kama nafasi mpya ni chache Nyalandu OUT
4. waziri wa afya abadilishiwe wizara,ya afya imemshinda ila kwa kuwa bado ni kijana mdogo with limited experience apelekwe wizara ndogo ndogo kama ile ya Simba.
5.Sophia Simba OUT-> none existent
6. Mwakyembe na Magufuli should be separated,kila mmoja awe waziri kamili.
7. Kabaka OUT none existent
8. Magembe abaki na wizara yake
9. Mali asili na Utalii OUT
10.Pinda abakie waziri mkuu. SIO FISADI.
11.MKULO OUT ameshindwa kuthibiti matumizi ya dollar nchini.
12.
endeleeni wadau