Wafahamu Mawaziri na Manaibu ‘waliotemwa’ na Rais Magufuli katika Baraza jipya la Mawaziri

Influenza

JF-Expert Member
Jul 1, 2018
1,445
3,403
Baada ya Rais Magufuli kuteua Baraza jipya la Mawaziri atakalofanya nalo kazi baada ya kuwa Rais katika muhula wa pili. Katika Baraza hilo jipya, Rais amewatema Mawaziri 7 na kuchagua wengine

Waliotemwa ni;

1. Aliyekuwa Waziri wa Maji, Prof. Makame Mbarawa


2. Aliyekuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina

3. Aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamis Kigwangalla

4. Aliyekuwa Waziri wa Uchukuzi na Ujenzi, Isaac Kamwelwe

5. Aliyekuwa Waziri wa Kilimo, Josephat Hasunga

6. Aliyekuwa Waziri wa Muungano na Mazingira, Mussa Azzan Zungu


Manaibu Waziri walioachwa kwenye Baraza Jipya la Mawaziri ni;

1. Aliyekuwa Naibu Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Juliana Shonza

2. Aliyekuwa Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana na Ajira, Anthony Mavunde

3. Aliyekuwa Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhandisi Stellah Manyanya

4. Aliyekuwa Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Masauni

5. Aliyekuwa Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo

6. Aliyekuwa Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu

7. Aliyekuwa Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Atashanta Nditiye

8. Aliyekuwa Naibu Waziri wa Muungano na Mazingira, Mussa Sima

9. Aliyekuwa Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, anayeshugulikia masuala ya Watu wenye Ulemavu, Stella Ikupa

10. Aliyekuwa Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Costantine Kanyasu

11. Aliyekuwa Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Ashatu Kijaji

12. Aliyekuwa Naibu Waziri wa TAMISEMI, Sinkamba Kandege
 
Baada ya Rais Magufuli kuteua Baraza jipya la Mawaziri atakalofanya nalo kazi baada ya kuwa Rais katika muhula wa pili. Katika Baraza hilo jipya, Rais amewatema Mawaziri 7 na kuchagua wengine

Waliotemwa ni;

1. Aliyekuwa Waziri wa Maji, Prof. Makame Mbarawa

2. Aliyekuwa Waziri wa Uwekezaji, Angela Kairuki

3. Aliyekuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina

4. Aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamis Kigwangalla

5. Aliyekuwa Waziri wa Uchukuzi na Ujenzi, Isaac Kamwelwe

6. Aliyekuwa Waziri wa Kilimo, Josephat Hasunga

7. Aliyekuwa Waziri wa Muungano na Mazingira, Hassan Zungu
Walikuwa 7 vid
 
Baada ya Rais Magufuli kuteua Baraza jipya la Mawaziri atakalofanya nalo kazi baada ya kuwa Rais katika muhula wa pili. Katika Baraza hilo jipya, Rais amewatema Mawaziri 7 na kuchagua wengine

Waliotemwa ni;

1. Aliyekuwa Waziri wa Maji, Prof. Makame Mbarawa

2. Aliyekuwa Waziri wa Uwekezaji, Angela Kairuki

3. Aliyekuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina

4. Aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamis Kigwangalla

5. Aliyekuwa Waziri wa Uchukuzi na Ujenzi, Isaac Kamwelwe

6. Aliyekuwa Waziri wa Kilimo, Josephat Hasunga

7. Aliyekuwa Waziri wa Muungano na Mazingira, Hassan Zungu

Baada ya Rais Magufuli kuteua Baraza jipya la Mawaziri atakalofanya nalo kazi baada ya kuwa Rais katika muhula wa pili. Katika Baraza hilo jipya, Rais amewatema Mawaziri 7 na kuchagua wengine

Waliotemwa ni;

1. Aliyekuwa Waziri wa Maji, Prof. Makame Mbarawa

2. Aliyekuwa Waziri wa Uwekezaji, Angela Kairuki

3. Aliyekuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina

4. Aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamis Kigwangalla

5. Aliyekuwa Waziri wa Uchukuzi na Ujenzi, Isaac Kamwelwe

6. Aliyekuwa Waziri wa Kilimo, Josephat Hasunga

7. Aliyekuwa Waziri wa Muungano na Mazingira, Hassan

Mawaziri wapya Dec 2020

1.Maji -Juma Aweso

2.Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo- Innocent Bashungwa

3.ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Vijana na wenye ulemavu Jenister Mhagama

4.Waziri wa Afya, maendeleo ya jamii,jinsia na watoto Doroth Gwajima (Mbunge mpya alikuwa naibu nkatibu mkuu)

5.Wizara anayesimamia Uwekezaji ofisi ya Rais Mkumbo Kitilya

6.Wizara ya Katiba na sheria Mwigulu Nchemba

7.Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof Joyce Ndalichako

8.Mifugo na Uvuvi - Mashimba Mashauri Ndaki

9.Maliasili na Utalii DK Ndumbalo Damas

10.Ofisi ya Rais TAMISEMI Suleiman Jaffo

11.Madini Dotto Biteko

12.Nishati Dkt Medard Kalemani

13.Ujenzi na Uchukuzi mbunge mpya Mhandisi Dkt Leonard Chamuliho (alikuwa Katibu Mkuu Uchukuzi)

14.Kilimo Prof.Adolph Mkenda.

15.Viwanda na Biashara Mwambie Geofrey Idelphonce

16.Mambo ya ndani George Simbachawene

17.Muungano na MAZINGIRA Ummy Mwalimu

18.Wizara mpya ya Mawasiliano na Teknolojia ya habari Dkt Faustine Ndugulile

19.Fedha Dkt Philip Mpango

20.Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof Paramagamba Kabudi

21 Ardhi-William Lukuvi

22.Ulinzi na JKT Elias John Kuandikwa

23.Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Capt Mstaafu George Mkuchika [05/12, 15:40]


Biashara - Silaoneka

Ardhi - Anjelin mabula

Kazi - Katambi

Mambo ya ndani Hamza

Fedha - mwanaidi

Sayansi - Kipanga

TAMISEMI- festo john

Nishati - Biabati

Utumishi- Ndejembi

Mawasiliano- Kundo andrea matthew

Mifugo na uvivu - Philipo

Madini - Ndulanye

Ujenzi-kasekenya

Ulemavu - Ummy ndalinanga

Maji - Prisca Mahundi

Sanaa - abdala ulega

Mazingira - mwita witara

EAC - William openshaw

Utalii- Marry Masanja

Tamisemi -Ernest

Kilimo - Mbashe

Afya - Dr Godwin Mollel

Katiba na sheria - Mizengo Pinda
 
Back
Top Bottom