Wakuu ndani ya CCM hatuwezi kupata mawaziri waadilifu, chama ndicho kinacho wapa operating manual hivyoutendaji wao utakuwa vile vile, just like they are doing to waziri mkuu, ameonekana kana boya tu. Linakwenda kule mawimbi yanapo elekea!!.. TUPIGENI KURA UPYA TUDILISHE CHAMA TaWALA.