Baraza la Mawaziri 2020 Halina Ukanda, Udini wala Ukabila!

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Feb 20, 2016
14,047
20,412
Mh Magufuli kateua baraza la mwaziri, 05-12-2020 mida ya jioni kama alivyotabiri kigogo2014 lakini watu wamelipa kisogo na habari za simba na Plateau zimevuma kuliko Baraza Lenyewe.

Je, watanzania wamechoka na kuona hakuna jipya au?

1. Maji -Juma Aweso
2.Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo- Innocent Bashungwa
3.ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Vijana na wenye ulemavu Jenister Mhagama
4.Waziri wa Afya, maendeleo ya jamii,jinsia na watoto Doroth Gwajima (Mbunge mpya alikuwa naibu nkatibu mkuu)
5.Wizara anayesimamia Uwekezaji ofisi ya Rais Mkumbo Kitilya
6.Wizara ya Katiba na sheria Mwigulu Nchemba
7.Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof Joyce Ndalichako
8.Mifugo na Uvuvi - Mashimba Mashauri Ndaki
9.Maliasili na Utalii DK Ndumbalo Damas
10.Ofisi ya Rais TAMISEMI Suleiman Jaffo
11.Madini Dotto Biteko
12.Nishati Dkt Medard Kalemani
13.Ujenzi na Uchukuzi mbunge mpya Mhandisi Dkt Leonard Chamuliho (alikuwa Katibu Mkuu Uchukuzi)
14.Kilimo Prof.Adolph Mkenda.
15.Viwanda na Biashara Mwambie Geofrey Idelphonce
16.Mambo ya ndani George Simbachawene
17.Muungano na MAZINGIRA Ummy Mwalimu
18.Wizara mpya ya Mawasiliano na Teknolojia ya habari Dkt Faustine Ndugulile
19.Fedha Dkt Philip Mpango
20.Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof Paramagamba Kabudi
21 Ardhi-William Lukuvi
22.Ulinzi na JKT Elias John Kuandikwa
23.Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Capt Mstaafu George Mkuchika


MANAIBU WAZIRI:
1.Viwanda na Biashara-Kigahe Exaud Silaoneka
2.Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi-Dkt.Angelina Mabula
3.Ofisi ya Waziri Mkuu, kazi, Vijana na Ajira-Katambi Pascal Patrobas
4.Mambo ya ndani ya nchi-Hamis Hamza Hamis
5.Fedha na Mipango-Mwanaidi Ali Hamis
6.Elimu Sayansi na Teknolojia-Kipanga Juma Omary
7.Ofisi ya Rais TAMISEMI-Dkt Festo John Lugange
8.Nishati-Byabato Stephen Mjwahuka
9.Ofisi ya Rais Menejiment ya Utumishi wa Umma na Utawala bora- Ndejembi Deogratias John
10.Mawasiliano na Telnolojia ya habari-Mhandisi Kundo Andrea Mathew
11.Mifugo na Uvuvi- Gekul Pauline Philipo
12.Madini-Ndulane Francis Kumba
13.Ujenzi -Mhandisi Msongwe Godfrey Kasekenya
14.Ofisi ya Waziri mkuu wenye Ulemavu-Ummy Hamis Nderiananga @⁨Ummy Ndeliananga⁩
15.Maji-Mhandisi Maryprisca Wilfred Mahundi
16..Habari, Umaduni,Sanaa na Michezo-Abdalah Ulega
17.TAMISEMI Silinde David Ernest
18.Kilimo-Husein M.Bashe
19.Afya, Maendeleo ya Jamii Jinsia, wazee na watoto Dkt Godwin Molel ⁩
20.Katiba na Sheria Pinda Geofrey Mizengo
21.Muungano na Mazingira-Mwita Waitara
22.Mambo ya nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki-William Tate Ole Nasha
23.Maliasili na Utalii - Mary Francis Masanja


KANDA YA ZIWA -MAWAZIRI
Kutoka kanda ya ziwa wapo mawaziri 10 kati ya 23 Tanzania nzima, hapa HAKUNA UKANDA.

MANAIBU:-
wachache sana , ha ha ha

DINI:
Nchi yetu si ya udini na si vyema kuzungumzia maana kila mtu ana dini yake.
Kuna akina John lakini waislamu na Ramadhani lakini mkristo kama alivyokuwa jaji agustino ramadhani
 
Kanda ya nyanda za juu HAKUNA.
Hili ni Baraza ya kanda ya Ziwa.
Tunashindwa kutofautisha kuteuliwa na kuendelea kutumikia nafasi zao.

Hapa ndipo wengi tumejikuta tunajadili ukanda, udini, ukabila na jinsia, pasipo kujua hatujaelewa wapi.

Mtazamo wangu ni kuwa wengi wa Mawaziri ni wale wa Zamani, wangelikuwa wote wapya ndiyo tungelisema haya ya Udini, ukabila, Ukanda na jinsia.
 
Kwani hao kanda ya ziwa sio Watanzania?

Kipindi kile Kigoma ilikuwa na Mawaziri 3 hakuna aliyehoji.
1. MPANGO
2. NDITIYE
3. NDALICHAKO.

Na sasa hivi Kigoma ina mawaziri 2 hakuna anayehoji.

Halafu uwaziri siku hizi unagawiwa kwa ukanda au udini? Kwani mawaziri wanaenda kutekeleza sera za kanda au dini.

Kwenye suala la Ukanda ingekuwa Chadema kweli ningekubali kuwa kulitakiwa kuwe na mawawzir 50 kuwe na uwakilishi wa kila kanda.

Pumbavuu kabisa, sasa hivi mmeanza kuhubiri ukanda na udini utafikiri hii ni serikali ya kidini
 
Back
Top Bottom