Haya wale wa Buku 2 mpaka 5

Screenshot_20240308-110542.png
 
all betting sports are time wasting , i think it is better we all focus on our own business with a lot of hustling instead of wasting time and make few richer while the majority are still poorer. Take it or ignore it that's fact
 
Oyoo tupo kama hatupo ila tupo wakuu nimeweka mkeka wa odd 10000 team kama 30 hv nimetia kama elfu 30 ikasoma m27 sasa wakuu nachoshangaa hapa mwanzon mwa mkeka wote niliweka odd kubwa kubwa yaan over 3.5 odd 4.25 kama team 7 na zote zimetiki huku chin zilizobaki ni over 0.5 na double chance ninachoshang nikipiga hesabu odd zilizo win nikaribia 650 ila kwenye cash out nimepewa ka laki 6 katika m27 na team zimebaki 8 hivi hawa jamaa hesabu wanapigaje mpaka caush out isome laki sita? sio wizi kweli?
 
Oyoo tupo kama hatupo ila tupo wakuu nimeweka mkeka wa odd 10000 team kama 30 hv nimetia kama elfu 30 ikasoma m27 sasa wakuu nachoshangaa hapa mwanzon mwa mkeka wote niliweka odd kubwa kubwa yaan over 3.5 odd 4.25 kama team 7 na zote zimetiki huku chin zilizobaki ni over 0.5 na double chance ninachoshang nikipiga hesabu odd zilizo win nikaribia 650 ila kwenye cash out nimepewa ka laki 6 katika m27 na team zimebaki 8 hivi hawa jamaa hesabu wanapigaje mpaka caush out isome laki sita? sio wizi kweli?
Una cashout au unaendelea kukaza fuvu?

Ukiona huna maslahi nayo endelea kukomaa ili baadae uletewe cashout ya sh 200
 
Oyoo tupo kama hatupo ila tupo wakuu nimeweka mkeka wa odd 10000 team kama 30 hv nimetia kama elfu 30 ikasoma m27 sasa wakuu nachoshangaa hapa mwanzon mwa mkeka wote niliweka odd kubwa kubwa yaan over 3.5 odd 4.25 kama team 7 na zote zimetiki huku chin zilizobaki ni over 0.5 na double chance ninachoshang nikipiga hesabu odd zilizo win nikaribia 650 ila kwenye cash out nimepewa ka laki 6 katika m27 na team zimebaki 8 hivi hawa jamaa hesabu wanapigaje mpaka caush out isome laki sita? sio wizi kweli?
Laki sita ni kubwa Sana...afu why hujashare huo mkeka huo ni uchoyo afu unatuambia...kingine ushauri toa hio laki sita unapata faida kutoka 30k parefu Sana hapo ikitokea tu bila bila moja na goal kukataliwa var utaanza kulia...million 27 hushindi
 
Una cashout au unaendelea kukaza fuvu?

Ukiona huna maslahi nayo endelea kukomaa ili baadae uletewe cashout ya sh 200
team nilizoweka ni za uhakika sizan kama asenal mancher city liverpol watashindwa kunitolea hata goli moja hapa nakomaa nao ndio mana anasema weka kiasi unachoweza poteza mi k30 cashout ya laki 6 ikifika kwenye k30 yangu naitoa nitakuwa sijapoteza kitu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom