Ndugu zangu wa Tanzania mnisamehe, hii ni kutokana na ugumu wa maisha, nimebeti mechi za Leo za AFCON. Jana pia nilibeti na kushinda sasa Leo nimeweka tena mzigo, timu yetu nimeweka tunafungwa na ndio maana Nawaomba radhi kwani maombi yangu yatakuwa sawa na mkeka wangu.
 
Kampuni za kamari za karata kitaani.... Maana hata pool table Ina kodi
Karata za mtaani zina kodi hujapata kuona.
Mtu ananunua karata za buku ila kwa vile mnacheza kwa 5000 basi mtajikuta mmelipia kodi ya 5000 kila mchezaji kwa wakati wake pale alipokuwa na wakati mzuri.
 
Mkuu mambo niaje,Kuna code7EE2AD8 BETPAWA ulituma hapa juzi kati betpawa umetisha imetembea balaa,niliedit kidogo.Fanya utupie code m

Mkuu mambo niaje,Kuna code7EE2AD8 BETPAWA ulituma hapa juzi kati betpawa umetisha imetembea balaa,niliedit kidogo.Fanya utupie code mkuu
Bila shaka ile ilikuwa na timu 18 ambayo mie ilichana timu 2? nikitulia labda baadae mida ya mechi saa 11 jioni maana Kuna zingine nili-share nikapigwa kipigo cha mbwa koko.

Wakati mwingine tunaogopa ku-share zikibuma mbaya kama nyekundu nyingi kuliko kijani unaambiwa "wakala wa Kanji".
 
PARIPESA: Roll Over Day 2 On PARIPESA

Booking Code: 7ZMGS


Register on PARIPESA and deposit here 👇👇👇

PARIPESA

PROMO CODE USE 👉👉👉
TIPS2424

GET $200 ON FIRST DEPOSIT WHEN YOU USE PROMO CODE TIPS2424 TO REGISTER.

⚽⚽⚽ 3.37 ODDS
 
Ndugu zangu wa Tanzania mnisamehe, hii ni kutokana na ugumu wa maisha, nimebeti mechi za Leo za AFCON. Jana pia nilibeti na kushinda sasa Leo nimeweka tena mzigo, timu yetu nimeweka tunafungwa na ndio maana Nawaomba radhi kwani maombi yangu yatakuwa sawa na mkeka wangu.
Tusameheane kimtazamo,

Lakini hii ndio Mechi pekee Taifa Stars anaweza pata matokeo!...

Japo kwa tabu sana!... Ingawa haipingiki Zambia ni timu nzuri... Stars hawezi kubali kufungwa kirahisi hivyo unavyofikiria!

Stars anaweza kushinda hii Mechi kwa 1-0 hawa ni wamakonde wenzetu!... Tunajuana!
 
download_1.jpg


Booking Code: JARJS
Jisajili PARIPESA Na weka Stake Yako Hapa 👇👇👇

PARIPESA

PROMO CODE WEKA NENO👉👉👉
TIPS2424

2.287 ⚽⚽⚽ ODDS

Utapata bonus ya asilimia 100% utakapoweka hela kwenye akaunti yako ya PARIPESA ambayo utaitumia kwa kubetia.
 
Ziogope sana! na zikwepe kabisa!!! mechi za derby!. ...

Mechi ya Sabah masazir/nefchi Baku imenichania mkeka wa stake kubwa sana kwangu...kwa kutokujua tu!.... Kisa!?.. over 0.5

Mechi za derby Zina matokeo ya kishenzi sana na kikatili !! ya 0-0
Screenshot_20240121-165442.png
 
Back
Top Bottom