The Initiator huru
JF-Expert Member
- Dec 4, 2017
- 1,538
- 1,752
Ndugu zangu wa Tanzania mnisamehe, hii ni kutokana na ugumu wa maisha, nimebeti mechi za Leo za AFCON. Jana pia nilibeti na kushinda sasa Leo nimeweka tena mzigo, timu yetu nimeweka tunafungwa na ndio maana Nawaomba radhi kwani maombi yangu yatakuwa sawa na mkeka wangu.